Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tarishi apigia debe utalii wa ndani

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi, amevipa changamoto vyombo vya habari nchini, kupigia debe utalii wa ndani kama sehemu ya kuongeza pato la taifa na kuimarisha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Dk Shein apigia debe serikali mbili

Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed SheinSERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya na wakati wa marekebisho ya Katiba ya Zanzibar, mamlaka za nchi hizo zilikubaliana kuwepo kwa serikali mbili pekee.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magufuli apigia debe makandarasi wazawa

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameutaka uongozi wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) kuhakikisha wanatumia makandarasi wa ndani katika ujenzi wa miradi ya nyumba inayofanywa na wakala huo. Akizungumza...

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMPUNI YA UTALII YATAKIWA KUTANGAZA UTALII NDANI NA NJE YA NCHI

IMG-20140704-WA0013Waziri wa Maliasili na utalii Mh. Lazaro Nyarandu akifungua rasmi mkutano wa 30 wa asasi ya wamiliki wa makampuni ya kusafirisha watalii TATO jijini Arusha hivi karibuni. IMG-20140704-WA0009Wadau mbalimbali wa utalii wakisikiliza mada kwa umakiniIMG-20140704-WA0004MAKAMPUNI ya kitalii hapa nchii yametakiwa kuutangaza kwa kiasi kikubwa utalii wa vivutio vyetu hapa nchini  ndani ya nchi pamoja na nje ya nchi ili kuwapa wanachi moyo wa kizalendo katika kujali vivutio walivyo navyo. Hayo yalisemwa juzi jijini Arusha na waziri...

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja

Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.

Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.

Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo  ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita,  na nchi za awali kabisa kulitumia  zao hili zinatajwa kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

WANAHABARI KIGOMA NA UTALII WA NDANI

 Safari ya wanahabari toka Mkoani Kigoma kutembelea hifadhi ya Taifa ya arusha ikaanza   Wanahabri toka Mmkoa wa Kigoma wakiwa ndani ya hifadhi ya Taifa ya Arusha  Waandishi wa habri wa Mkoa wa Kigoma wakipata maelezo kuhusu hifadhi ya Taifa ya Arusha kutoka kwa Mhifadhi  Ikolojia Bi Maria Kirombo Mambo ya utalii wa ndani kwa wanahabri toka Kigoma ndani ya hifadhi ya Taifa ya Arusha yalikuwa kama hivi.(picha zote na Editha Karlo)

 

11 years ago

Michuzi

kijasti afanya utalii wa ndani kilwa masoko

Mchora vibonzo, Nathan Mpangala akiwa mbele ya gofu la Makutano Palace lililo Kilwa Kisiwani, Lindi hivi karibuni. Hakika Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo!  Mchora vibonzo, Nathan Mpangala akiwa makaburi ya Familia ya Sultani wa Kilwa, Al Hassan Bin Suleiman, Kilwa Kisiwani, Lindi hivi karibuni. Makaburi haya yanayodaiwa ya karne ya 16 yana alama ambazo ni rahisi kugundua lipi la mwanaume na lipi la mwanamke. Mchora katuni, Nathan Mpangala (mwenye sanigogozi) akisikiliza simulizi toka kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Sekta ya Maliasili na Utalii ndani ya Utawala Mpya

03-Maghenbe

Profesa Jumanne Maghembe, Waziri wa Maliasili na Utalii.

Siku chache zimepita Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipomalizia kujaza nafasi za Mawaziri na Naibu Waziri zilizobakia wakati alipotangaza baraza lake la Mawaziri la serikali ya  awamu ya tano.

Katika uteuzi wake, Kampuni ya JovagoTanzania inapendelea kumpa pongezi Profesa Jumanne Maghembe, ambaye aliteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika wa serikali ya mpya ya awamu ya tano.

Kwa upande wake, Bw. Andrea Guzzoni, Meneja Mkazi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utalii wa ndani ukiimarishwa utapunguza ujangili hifadhini

HIVI karibuni Tanzania ilipata fursa ya kuwa mwenyeji wa kongamano la utalii wa ndani barani Afrika la Usimamizi Endelevu wa Utalii katika hifadhi za Taifa. Kongamano hilo lililofanyika jiji Arusha,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Raia wa kigeni na utalii ndani ya Mlima Kilimanjaro

DSC00047(1)

Baadhi ya wageni kundi la  KJIYA 7 kutoka Hispania wakiwa ndani ya geti la KINAPA wakijiandikisha kuanza kupanda Mlima Kilimanjaro kama walivyokutwa na kamera ya matukio mkoani Kilimanjaro.(Picha na Mahmoud Ahmad -Kinapa).

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani