Tarishi apigia debe utalii wa ndani
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi, amevipa changamoto vyombo vya habari nchini, kupigia debe utalii wa ndani kama sehemu ya kuongeza pato la taifa na kuimarisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo02 Mar
Dk Shein apigia debe serikali mbili
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya na wakati wa marekebisho ya Katiba ya Zanzibar, mamlaka za nchi hizo zilikubaliana kuwepo kwa serikali mbili pekee.
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Magufuli apigia debe makandarasi wazawa
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameutaka uongozi wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) kuhakikisha wanatumia makandarasi wa ndani katika ujenzi wa miradi ya nyumba inayofanywa na wakala huo. Akizungumza...
11 years ago
Michuzi06 Jul
MAKAMPUNI YA UTALII YATAKIWA KUTANGAZA UTALII NDANI NA NJE YA NCHI
![IMG-20140704-WA0013](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/r2LSli62xS-DrKoeE7H18HvhROyRrcWbYRYYnHPzYQQ-QLdjsfuLNmYfe1gfw3k98Lvm2kOBQA-1lydnyBiRbOwjXAvkN-mRLl3TJa7Zds3Ccx8tJE_Kssk18jy8xzU8cAjFxMb0Gm7J=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/img-20140704-wa0013.jpg?w=627&h=459)
![IMG-20140704-WA0009](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/4NDdpxtkd9rxmhSs1_0-F0Krc-z7zBzfwMvqlWZ0g-cmcVKjjo9O9Yx3jmw1Xe9bu32x2LXLhqUrXexKsES8OUGAT0enFPZOcfPo2zLpssFEmiSRWUQ19m5YQQqrmh6o4Ev5hHjaPmYT=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/img-20140704-wa0009.jpg?w=627&h=475)
![IMG-20140704-WA0004](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Srya6vP9bRhpBSugEtJsKszO677yH65MOHYRHikT8DFmUSWIVFP4cLTD3KMX4iP4QoXv20_ucVrfmOrzC-oIZcWDOM5YM88EVnvmF84MLmHePhE7zsmH75zWZjbsBn001TqaSuPHsEfI=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/img-20140704-wa0004.jpg?w=627&h=402)
9 years ago
StarTV17 Nov
Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja
Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.
Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.
Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, na nchi za awali kabisa kulitumia zao hili zinatajwa kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GaMB9GUMK_U/U63XDSmPfVI/AAAAAAAFtQ8/fWme4ay58_E/s72-c/SAFA8.jpg)
WANAHABARI KIGOMA NA UTALII WA NDANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GaMB9GUMK_U/U63XDSmPfVI/AAAAAAAFtQ8/fWme4ay58_E/s1600/SAFA8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4GJn6blBw0/U63XTzBu1XI/AAAAAAAFtRQ/JbeCIRWj1g0/s1600/twiga10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WpPctdp8Prk/U63XIbxrxmI/AAAAAAAFtRI/26LARESCGgI/s1600/WANA1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WbM_lmj0sEc/U63XCZ7t5kI/AAAAAAAFtQ4/jYeY1OFZ9mU/s1600/WANATEMBO.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7UqgJWcPcV0/U4-rzsxj6wI/AAAAAAAFnus/Z6v6KzqgRiM/s72-c/unnamed+(7).jpg)
kijasti afanya utalii wa ndani kilwa masoko
![](http://2.bp.blogspot.com/-7UqgJWcPcV0/U4-rzsxj6wI/AAAAAAAFnus/Z6v6KzqgRiM/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-6UHTVtfOE8g/U4-r0KNjlHI/AAAAAAAFnuw/7AqUt4TQMbg/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bhDvHHhlxqo/U4-r0p7gq3I/AAAAAAAFnu8/t3C9upFwR2g/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Dewji Blog30 Dec
Sekta ya Maliasili na Utalii ndani ya Utawala Mpya
Profesa Jumanne Maghembe, Waziri wa Maliasili na Utalii.
Siku chache zimepita Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipomalizia kujaza nafasi za Mawaziri na Naibu Waziri zilizobakia wakati alipotangaza baraza lake la Mawaziri la serikali ya awamu ya tano.
Katika uteuzi wake, Kampuni ya JovagoTanzania inapendelea kumpa pongezi Profesa Jumanne Maghembe, ambaye aliteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika wa serikali ya mpya ya awamu ya tano.
Kwa upande wake, Bw. Andrea Guzzoni, Meneja Mkazi...
10 years ago
Tanzania Daima04 Dec
Utalii wa ndani ukiimarishwa utapunguza ujangili hifadhini
HIVI karibuni Tanzania ilipata fursa ya kuwa mwenyeji wa kongamano la utalii wa ndani barani Afrika la Usimamizi Endelevu wa Utalii katika hifadhi za Taifa. Kongamano hilo lililofanyika jiji Arusha,...
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Raia wa kigeni na utalii ndani ya Mlima Kilimanjaro
Baadhi ya wageni kundi la KJIYA 7 kutoka Hispania wakiwa ndani ya geti la KINAPA wakijiandikisha kuanza kupanda Mlima Kilimanjaro kama walivyokutwa na kamera ya matukio mkoani Kilimanjaro.(Picha na Mahmoud Ahmad -Kinapa).