kijasti afanya utalii wa ndani kilwa masoko
![](http://2.bp.blogspot.com/-7UqgJWcPcV0/U4-rzsxj6wI/AAAAAAAFnus/Z6v6KzqgRiM/s72-c/unnamed+(7).jpg)
Mchora vibonzo, Nathan Mpangala akiwa mbele ya gofu la Makutano Palace lililo Kilwa Kisiwani, Lindi hivi karibuni. Hakika Tanzania ni zaidi ya tuijuavyo!
Mchora vibonzo, Nathan Mpangala akiwa makaburi ya Familia ya Sultani wa Kilwa, Al Hassan Bin Suleiman, Kilwa Kisiwani, Lindi hivi karibuni. Makaburi haya yanayodaiwa ya karne ya 16 yana alama ambazo ni rahisi kugundua lipi la mwanaume na lipi la mwanamke.
Mchora katuni, Nathan Mpangala (mwenye sanigogozi) akisikiliza simulizi toka kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo17 Nov
11 years ago
GPLMELI YA MIZIGO MV MERCI II YAZAMA KILWA MASOKO
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pw3GXJuDHXs/UvtmO4eNnOI/AAAAAAAFMig/YWHlaH5RKJg/s72-c/unnamed+(3).jpg)
NEWS ALERT: NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KILWA MASOKO USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-pw3GXJuDHXs/UvtmO4eNnOI/AAAAAAAFMig/YWHlaH5RKJg/s1600/unnamed+(3).jpg)
Familia moja ya Bw Bernad Towele dereva wa Gari la Takukuru Wilayani Kilwa Imenusurika baada ya Nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia katika mji mdogo wa kilwa masoko.
Akithibitisha kutokea kwa tukio la Ajali hiyo iliyotokea majira ya saa 6 usiku kuamkia leo,Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,Joseph Mfungomara alieleza kuwa chanzo cha Moto huo bado hakijajulikana ila hakuna majeruhi.
Kamanda Mfungomara alimalizia kuwa Vitu...
11 years ago
Michuzi06 Jul
MAKAMPUNI YA UTALII YATAKIWA KUTANGAZA UTALII NDANI NA NJE YA NCHI
![IMG-20140704-WA0013](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/r2LSli62xS-DrKoeE7H18HvhROyRrcWbYRYYnHPzYQQ-QLdjsfuLNmYfe1gfw3k98Lvm2kOBQA-1lydnyBiRbOwjXAvkN-mRLl3TJa7Zds3Ccx8tJE_Kssk18jy8xzU8cAjFxMb0Gm7J=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/img-20140704-wa0013.jpg?w=627&h=459)
![IMG-20140704-WA0009](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/4NDdpxtkd9rxmhSs1_0-F0Krc-z7zBzfwMvqlWZ0g-cmcVKjjo9O9Yx3jmw1Xe9bu32x2LXLhqUrXexKsES8OUGAT0enFPZOcfPo2zLpssFEmiSRWUQ19m5YQQqrmh6o4Ev5hHjaPmYT=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/img-20140704-wa0009.jpg?w=627&h=475)
![IMG-20140704-WA0004](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/Srya6vP9bRhpBSugEtJsKszO677yH65MOHYRHikT8DFmUSWIVFP4cLTD3KMX4iP4QoXv20_ucVrfmOrzC-oIZcWDOM5YM88EVnvmF84MLmHePhE7zsmH75zWZjbsBn001TqaSuPHsEfI=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/07/img-20140704-wa0004.jpg?w=627&h=402)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4kkKAzEXum4/Vgq-i_X1ENI/AAAAAAABhSk/788WB_FKtBg/s72-c/DUNI_2.jpg)
MGOMBEA MWENZA WA UKAWA KUPITIA CHADEMA AFANYA MIKUTANO KILWA KUSINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-4kkKAzEXum4/Vgq-i_X1ENI/AAAAAAABhSk/788WB_FKtBg/s640/DUNI_2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-iXWjbY6i3Vg/Vgq-jcYSAfI/AAAAAAABhSo/gjdCftDEPGs/s640/KADI.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-MbNo-vjv9lA/Vgq-jWJpCrI/AAAAAAABhS4/FD0bvoRbprI/s640/KADI_2.jpg)
10 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI UMMY MWALIMU AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA MASOKO YA MANISPAA ZA TEMEKE NA ILALA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iGEweiuQM7s/VBmOui5po4I/AAAAAAAGkGM/ofrVsJPBgSg/s72-c/unnamed%2B(60).jpg)
WAZIRI WA HABARI NA UTALII WA ZANZIBAR AFANYA KATIKA UWANJA NDEGE WA KIMATAIFA WA ABEID KARUME
Waziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo,Zanzibar,Mh. Saidi Ali Mbarouk amezitaka Taasisi zinazosimamia kupokea Watalii Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Amani Abeid Karume kujenga mashirikiano ili kuondosha usumbufu kwa wageni wanaoingia na kuotoka nchini. Ameyasema hayo alipofanya ziara Uwanjani hapo kwa lengo la kuangalia hali halisi ya Wageni wanaoingia na kutoka nchini.
Waziri Mbarouk amesema suala la Mashirikiano kwa wageni ni jambo muhimu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GaMB9GUMK_U/U63XDSmPfVI/AAAAAAAFtQ8/fWme4ay58_E/s72-c/SAFA8.jpg)
WANAHABARI KIGOMA NA UTALII WA NDANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-GaMB9GUMK_U/U63XDSmPfVI/AAAAAAAFtQ8/fWme4ay58_E/s1600/SAFA8.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4GJn6blBw0/U63XTzBu1XI/AAAAAAAFtRQ/JbeCIRWj1g0/s1600/twiga10.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WpPctdp8Prk/U63XIbxrxmI/AAAAAAAFtRI/26LARESCGgI/s1600/WANA1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WbM_lmj0sEc/U63XCZ7t5kI/AAAAAAAFtQ4/jYeY1OFZ9mU/s1600/WANATEMBO.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Tarishi apigia debe utalii wa ndani
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi, amevipa changamoto vyombo vya habari nchini, kupigia debe utalii wa ndani kama sehemu ya kuongeza pato la taifa na kuimarisha...