Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MGOMBEA MWENZA WA UKAWA KUPITIA CHADEMA AFANYA MIKUTANO KILWA KUSINI

 Mgombea mwenza wa urais Chadema, Juma Duni Haji akiwapungia mikono wananchi wakati akielekea jukwaani kuwahutubia kwenye mkutano wa kampeni katika kiwanja cha Mandawa Jimbo la Kilwa Kusini mkoani Lindi. (Na Mpigapicha Wetu)  Mgombea mwenza wa urais Chadema, Juma Duni Haji akimkabidhi kadi ya CUF aliyekuwa mwanachama wa CCM baada ya kurudisha kadi ya chama hicho kwenye mkutano wa kampeni katika kiwanja cha Mandawa Jimbo la Kilwa Kusini mkoani Lindi.
 Mgombea mwenza wa urais Chadema, Juma...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA WA UKAWA JUMA HAJI DUNI AFANYA MIKUTANO YA KAMPENI URAMBO, TABORA

Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni akihutubia mamia ya wakazi wa jimbo la Urambo Mashariki mkoani Tabora wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Mwananchi Square. (Picha na Francis Dande)Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Haji Duni (kushoto) akimkabidhi kadi ya Chadema aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM Kata ya Ugala Urambo, Tabora, Hamidu Mussa baada ya kukiahama chama hicho na kujiunga na Chadema wakati wa mkutano wa kampeni...

 

9 years ago

Michuzi

MIKUTANO YA KAMPENI YA MGOMBEA MWENZA WA CHADEMA KISARAWE

 Mgombea Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Juma Duni Haji akiwahutubia mamia ya wakazi wa Kisarawe katika mkutano wa kampeni.
 Mgombea ubunge jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu” akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni. 
Mgombea ubunge jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu”  
 Mgombea Mwenza wa Ukawa kupitia Chadema, Juma Duni Haji akimtambulisha mgombea ubunge jimbo la Kisarawe, Rashid Mwishehe “Kingwendu”...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA WA CHADEMA AENDELEA NA MIKUTANO YA KAMPENI

 Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Zanzibar, Said Issa Mohamed,z (wa pili kushoto) akiwa na kutoka kulia aliyekuwa mbunge viti maalum Chadema, Rose Kamili, mwenyekiti Bawacha mkoa wa Geita, Husna Amri na Mwenyekiti Mstaafu wa CCM mkoani Dar es Salaam, John Guninita wakisali kumuombea dua aliyekuwa Mwenyekiti ya NLD, Emmanuel Makaidi wakati wa mkutano wa kampeni kati ofisi za Chadema Wilaya Hanang mkoa wa Manyara. Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Zanzibar, Said Issa Mohamed akizungumza...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA WA CHADEMA JUMA DUNI HAJI AFANYA MKUTANO RUFIJI

 Mgombea mwenza wa urais Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Juma Duni Haji akikaribishwa na mkazi wa Chumba, Futa Bakari wakati wa mkutano wa kampeni katika Viwanja vya Muhoro, Rufiji mkoani Pwani.Wananchi wakifuatili mkutano.
 Mgombea mwenza wa urais Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Juma Duni Haji akimnadi mgombea ubunge Jimbo la Kibiti CUF, Abdallah Ismail wakati wa mkutano wa kampeni katika Viwanja vya Jaribu mkoani Pwani. Mgombea mwenza wa Chadema anayeungwa mkono na Ukawa, Juma Duni...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA UBUNGE MOSHI MJINI KUPITIA CHADEMA NA UKAWA AZINDUA KAMPENI ZAKE

Red Brigade akiimarisha ulinzi katika iwanja ya Dkt Slaa mjini Moshi wakati wa uzinduzi wa Kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo la Moshi mjini ,Jafary Michael kupitia Chadema na Ukawa uliofanyika jana.Baadhi ya viongozi na wagombea wa nafasi za Udiwani Kupitia Chadema na Ukawa.
Mbunge wa Jimbo la Moshi mjini ,Philemoni Ndesamburo(kushoto) akiteta jambo na  mgombea Ubunge katika jimbo hilo ,Jafary Michael kupitia Chadema na UKAWA wakati wa uzinduzi wa kampeni mjini MoshiUmati wa wakazi wa mji wa...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA MWENZA WA UKAWA AMNADI MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA KISARAWE RASHID MWISHEHE "KINGWENDU"



 Mgombea Mwenza wa Ukawa Juma Duni Haji akipokea kadi ya CCM kutoka kwa mwanachama wa chama hicho, Kasim Msham aliyekihama na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinji Mkoa wa Lindi. (Picha na Francis Dande)Kadi za CCM zilizorudishwa na wanachama wa Chama hicho na kujiunga na CUF katika kijiji cha Nanjilinjimkoa wa Lindi.
 Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi Majengo wilayani Bagamoyo. Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa kampeni...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA URAIS KUPITIA CHADEMA NA UKAWA EDWARD LOWASA ALIPOWASILI UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA KILIMANJARO KIA.

Na Dixon Busagaga

Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro,Phlemoni Ndesamburo akisalimiana na aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Arumeru Magharibi ,Godluck Ole Medeye walipokutana uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) kwa ajili ya mapokezi ya mgombea urais wa UKAWA na Chadema, Edward Ngoyai ,Lowasa.

Mwenyekii wa Chadema mkoa wa Kilimanjaro akisalimiana na James Lembeli walipokutana uwanja wa Ndege wa KIA.
Mbunge wa jimbo la Rombo ,Joseph Selasni akizungumza jambo na aliyekuwa mbunge...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani