NEWS ALERT: NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KILWA MASOKO USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-pw3GXJuDHXs/UvtmO4eNnOI/AAAAAAAFMig/YWHlaH5RKJg/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Na Abdulaziz Ahmeid,Kilwa Masoko
Familia moja ya Bw Bernad Towele dereva wa Gari la Takukuru Wilayani Kilwa Imenusurika baada ya Nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia katika mji mdogo wa kilwa masoko.
Akithibitisha kutokea kwa tukio la Ajali hiyo iliyotokea majira ya saa 6 usiku kuamkia leo,Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,Joseph Mfungomara alieleza kuwa chanzo cha Moto huo bado hakijajulikana ila hakuna majeruhi.
Kamanda Mfungomara alimalizia kuwa Vitu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BXRWBqsbAlg/VlMcCI1IrBI/AAAAAAAIIBw/qn91bhqfi2o/s72-c/1100313d-b04d-43be-9583-271f834d449e.jpeg)
NEWS ALERT: NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO ILALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-BXRWBqsbAlg/VlMcCI1IrBI/AAAAAAAIIBw/qn91bhqfi2o/s640/1100313d-b04d-43be-9583-271f834d449e.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y8XIkoCW5w4/VlMcCK4kmvI/AAAAAAAIIBo/wgZBHlG2O2o/s640/26c8f4e5-4a06-4be8-8222-69335b6e35f5.jpeg)
Shughuli ya uzimaji moto huo ikielekea ukingoni baada ya kikosi cha zima moto kufika eneo la tukio na kuifanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0PcoWdcA0QU/VlMcCODcpfI/AAAAAAAIIBs/GBH4NXBT-u8/s640/16b32c2a-ef2b-47e1-a435-5833636ea51f.jpeg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s72-c/IMG-20141014-WA0002.jpg)
NEWS ALERT: LORI LA MAFUTA LAWAKA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s1600/IMG-20141014-WA0002.jpg)
Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
11 years ago
Michuzi16 Mar
NEWS ALERT: NYUMBA YA MKUU WA WILAYA YA KILWA YAUNGUA MOTO ASUBUHI HII
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
News Alert: Mlemavu wa ngozi Mkuranga anyofolewa nyama usiku wa kuamkia leo
Mwenyekiti wa chama cha watu wenye ulemavu Tanzania (TAS) “Tanzania Albino Society” ndugu Ernest Kimaya amedhibitisha kutokea kwa tukio hilo asubuhi ya leo kupitia kipindi cha Radio cha Morning Magic kinachorushwa na Radio ya Magic FM.
Modewjiblog inaendelea kufuatilia taarifa hizi kwa ukaribu na tutaendelea kuwajuza zaidi hapo baadae.
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/BVS-nIfVpmM/default.jpg)
11 years ago
MichuziNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-YAFfqE9PXDQ/U8ULlNRDAPI/AAAAAAAF2UE/cWvvVv0Dir0/s1600/DSC_0128.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gEQHHwcvejU/VQqj1JK_uDI/AAAAAAAAzoE/mDDBp9RPq_0/s72-c/AvFHz3Z3axW9fTVzf1H3YCDGczQe1DM22On1aaxGoRE4.jpg)
NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO ENEO LA SOWETO JIJINI MBEYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gEQHHwcvejU/VQqj1JK_uDI/AAAAAAAAzoE/mDDBp9RPq_0/s640/AvFHz3Z3axW9fTVzf1H3YCDGczQe1DM22On1aaxGoRE4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1CX84JFaZLI/VQqj1CuKkDI/AAAAAAAAzn8/7llhOkLhNm4/s640/AvAmViZ9cRQ6QgdtSB6cdVeK5fugidnQIyY45eGKhou_.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s72-c/IMG-20141014-WA0002.jpg)
LORI LA MAFUTA LATEKETEA KWA MOTO MBAGALA JIJINI DAR USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-WhV0YN4Dquo/VDzFrAlZ-RI/AAAAAAAGqaA/1locxe5rtdk/s1600/IMG-20141014-WA0002.jpg)
Lori hilo pamoja na kupiga kwake mweleka halikuwa na madhara yeyote wala dalili ya kusema litawaka moto.Baada ya muda likaja kundi la vijana likiwa na madumu na mifuko ya plastiki na kuanza...
11 years ago
GPLMOTO WAZUKA CHUO CHA UDOM USIKU WA KUAMKIA LEO
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10