Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO

Gari ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji likiwa eneo la Mwanyamala mapema leo mchana,ambapo moto mkubwa umezuka na kuteketeza nyumba nzima na  mali zilizokuwemo,ambazo thamani yake haikujulikana mapema,tukio hilo limetokea maeneo ya Mwananyamala jirani na hospitali ya Mwananyamala.Baadhi ya watu wakishuhudia tukio la Moto lililotokea mapema leo mchana,ambapo moto huo umeteketeza nyumba nzima na mali zilizokuwemo,ambazo thamani yake mpaka Globu ya jamii inaondoka eneo la tukio haikufahamika.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA, DAR

Nyumba iliyoteketea kwa moto. Mashuhuda wa tukio wakitazama nyumba iliyoungua.…

 

9 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO ILALA JIJINI DAR LEO

 Sehemu ya waokoaji katika Nyumba iliyoteketea kwa moto, wakiangalia namna ya kuokoa wa baadhi ya mali zilizokuwepo ndani ya nyumba hiyo, moto huo umetokea mchana wa leo katika mtaa wa Tabora, Ilala jijini Dar es salaam. Chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mara moja.
Shughuli ya uzimaji moto huo ikielekea ukingoni baada ya kikosi cha zima moto kufika eneo la tukio na kuifanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa.

 

10 years ago

Michuzi

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO ENEO LA SOWETO JIJINI MBEYA LEO

Nyumba ikiendelea kuteketea kwa moto mapema leo katika eneo la Soweto jijini Mbeya,Chanzo cha moto huo hakikuweza kufahamika mara moja.Picha na Fadhiri Atick Mr.Pengo,Mbeya.Juhudi za kuuzima moto huo zikiendelea kufanywa na baadhi ya majirani wa eneo ilipo nyumba hiyo,huku wakiendelea kukisubiria kikosi cha Zimamoto.Hakuna kilichobaki ndani ya Nyumba hiyo.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

11 years ago

GPL

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO JIJINI MBEYA

Wakazi wa eneo la Makunguru jijini Mbeya wakiwa wamesimama nje nyumba iliopo kwenye eneo hilo ambayo imepatwa na dhahma ya kuungua moto na kuteketea kwa mali zote zilizokuwemo ndani ya nyumba hiyo, kutokana na kinachosadikiwa kuwa ni hitilafu ya umeme. Bado haijadhibitika mpaka sasa kama kuna mtu yeyote aliedhurika kwenye tukio hilo lililotokea mchana wa jana jijini humo.…
...

 

10 years ago

GPL

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KIJITONYAMA, DAR

Nyumba moja iliyopo eneo la Kijitonyama Mpakani 'A' jirani na Kituo cha Polisi Kijitonyama 'Mabatini' jijini Dar imeteketea kwa moto Septemba 14, 2014. Chanzo cha moto huo kinadaiwa kuwa ni kulipuka kwa mtungi wa gesi.

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KILWA MASOKO USIKU WA KUAMKIA LEO

Na Abdulaziz Ahmeid,Kilwa Masoko 
Familia moja ya Bw Bernad Towele dereva wa Gari la Takukuru Wilayani Kilwa Imenusurika baada ya Nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia katika mji mdogo wa kilwa masoko.
Akithibitisha kutokea kwa tukio la Ajali hiyo iliyotokea majira ya saa 6 usiku kuamkia leo,Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,Joseph Mfungomara alieleza kuwa chanzo cha Moto huo bado hakijajulikana ila hakuna majeruhi.
Kamanda Mfungomara alimalizia kuwa Vitu...

 

10 years ago

Mwananchi

Familia yateketea kwa moto jijini Dar

 “Yesu tuokoe, Yesu tuokoe”. Ndiyo sauti ya mwisho iliyosikia toka kwenye nyumba ya vyumba vitatu na sebule iliyoteketea kwa moto na kusababisha watu sita wa familia moja kupoteza maisha, huku miili ya baba na mama wa familia hiyo ikikutwa pamoja imekumbatiana, ikiwa ni ishara ya kufa pamoja.

 

11 years ago

Dewji Blog

Maduka matatu ikiwemo nyumba vyateketea kwa moto karibia na Hospitali ya Mwananyamala leo

1 Moto ukiwa umeanza kama utani, watu wakiwa wanaendelea na kazi kama kawaida.(Picha zote na Dar es salaam yetu Blog).

*******

Moto mkubwa uliosababishwa na hitilafu ya Umeme umewaka eneo la jirani na Hospitali ya Mwananyamala na kusababisha kuungua kwa Maduka matatu pamoja na nyumba moja ambayo ilikuwa imeungana na duka moja wapo ambamo walikuwa wanauza vitambaa na kushona nguo.

Moto huo ulichukua zaidi ya masaa mawili ambapo wakazi wa eneo hilo ndio waliosaidia kwa kiasi kikubwa kuzima...

 

10 years ago

GPL

PIKIPIKI YATEKETEA KWA MOTO UBUNGO JIJINI DAR

Wananchi wakishuhudia pikipiki iliyoteketea kwa moto baada ya kugongana na daladala eneo la Ubungo Mataa mchana huu. Dalaldala aina ya DCM linalofanya safari zake kati ya Mbagala - Ubungo baada ya kugongana na pikipiki iliyoteketea.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani