NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KIJITONYAMA, DAR
Nyumba moja iliyopo eneo la Kijitonyama Mpakani 'A' jirani na Kituo cha Polisi Kijitonyama 'Mabatini' jijini Dar imeteketea kwa moto Septemba 14, 2014. Chanzo cha moto huo kinadaiwa kuwa ni kulipuka kwa mtungi wa gesi.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA, DAR
11 years ago
MichuziNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MWANANYAMALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-YAFfqE9PXDQ/U8ULlNRDAPI/AAAAAAAF2UE/cWvvVv0Dir0/s1600/DSC_0128.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-BXRWBqsbAlg/VlMcCI1IrBI/AAAAAAAIIBw/qn91bhqfi2o/s72-c/1100313d-b04d-43be-9583-271f834d449e.jpeg)
NEWS ALERT: NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO ILALA JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-BXRWBqsbAlg/VlMcCI1IrBI/AAAAAAAIIBw/qn91bhqfi2o/s640/1100313d-b04d-43be-9583-271f834d449e.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Y8XIkoCW5w4/VlMcCK4kmvI/AAAAAAAIIBo/wgZBHlG2O2o/s640/26c8f4e5-4a06-4be8-8222-69335b6e35f5.jpeg)
Shughuli ya uzimaji moto huo ikielekea ukingoni baada ya kikosi cha zima moto kufika eneo la tukio na kuifanya kazi hiyo kwa ufanisi mkubwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-0PcoWdcA0QU/VlMcCODcpfI/AAAAAAAIIBs/GBH4NXBT-u8/s640/16b32c2a-ef2b-47e1-a435-5833636ea51f.jpeg)
9 years ago
Bongo524 Aug
Nyumba ya Batuli yateketea kwa moto
11 years ago
GPLNYUMBA YATEKETEA KWA MOTO JIJINI MBEYA
9 years ago
Mtanzania28 Aug
Nyumba yateketea kwa moto na kuua tisa wa familia moja
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MOTO ulioteketeza nyumba na kuua watu tisa wa familia moja, umeacha simanzi baada ya kuelezwa kwamba mmoja wa waliopoteza maisha ni bibi aliyefariki akiwa amekumbatia wajukuu zake watatu na mama aliyemkumbatia mwanawe.
Katika tukio hilo lililotokea usiku wa kuamkia jana eneo la Buguruni Malapa, Ilala jijini Dar es Salaam, baba mwenye nyumba hiyo, Masoud Mattar, ndiye aliyesalimika kwa sababu alikuwa kazini.
Moto huo unadaiwa kutokea saa 9 usiku wa kuamkia...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gEQHHwcvejU/VQqj1JK_uDI/AAAAAAAAzoE/mDDBp9RPq_0/s72-c/AvFHz3Z3axW9fTVzf1H3YCDGczQe1DM22On1aaxGoRE4.jpg)
NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO ENEO LA SOWETO JIJINI MBEYA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-gEQHHwcvejU/VQqj1JK_uDI/AAAAAAAAzoE/mDDBp9RPq_0/s640/AvFHz3Z3axW9fTVzf1H3YCDGczQe1DM22On1aaxGoRE4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-1CX84JFaZLI/VQqj1CuKkDI/AAAAAAAAzn8/7llhOkLhNm4/s640/AvAmViZ9cRQ6QgdtSB6cdVeK5fugidnQIyY45eGKhou_.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pw3GXJuDHXs/UvtmO4eNnOI/AAAAAAAFMig/YWHlaH5RKJg/s72-c/unnamed+(3).jpg)
NEWS ALERT: NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO KILWA MASOKO USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-pw3GXJuDHXs/UvtmO4eNnOI/AAAAAAAFMig/YWHlaH5RKJg/s1600/unnamed+(3).jpg)
Familia moja ya Bw Bernad Towele dereva wa Gari la Takukuru Wilayani Kilwa Imenusurika baada ya Nyumba waliyokuwa wakiishi kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia katika mji mdogo wa kilwa masoko.
Akithibitisha kutokea kwa tukio la Ajali hiyo iliyotokea majira ya saa 6 usiku kuamkia leo,Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi,Joseph Mfungomara alieleza kuwa chanzo cha Moto huo bado hakijajulikana ila hakuna majeruhi.
Kamanda Mfungomara alimalizia kuwa Vitu...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Familia yateketea kwa moto Dar
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10