Raia wa kigeni na utalii ndani ya Mlima Kilimanjaro
Baadhi ya wageni kundi la KJIYA 7 kutoka Hispania wakiwa ndani ya geti la KINAPA wakijiandikisha kuanza kupanda Mlima Kilimanjaro kama walivyokutwa na kamera ya matukio mkoani Kilimanjaro.(Picha na Mahmoud Ahmad -Kinapa).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziASKARI CHUO CHA POLISI MOSHI WAFANYA UTALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-PQLi7CFm3_0/VVQxeL0FhGI/AAAAAAAAPgk/ESbXHxt6Jnc/s72-c/E86A7406%2B(800x533).jpg)
HIFADHI YA MLIMA KILIMANJARO YATANGAZA OFA YA KUPANDA MLIMA HUO KWA WATALII WA NDANI WA AFRIKA MASHARIKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PQLi7CFm3_0/VVQxeL0FhGI/AAAAAAAAPgk/ESbXHxt6Jnc/s640/E86A7406%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nk0KZCcGQN4/VVQxgn_gTwI/AAAAAAAAPg8/7xN5938A0zA/s640/E86A7410%2B(800x533).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GlZpcsbrQw0/VVQxh9G8W4I/AAAAAAAAPhE/UPUw9RgUWu8/s640/E86A7429%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-enM6rRU2dM8/VVQxizBL0aI/AAAAAAAAPhM/p5osEa44hGU/s640/E86A7444%2B(800x533).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-4aKvL6XrIiI/VVQxjbG9bzI/AAAAAAAAPhQ/ugq5vjzVRTI/s640/E86A7450%2B(800x533).jpg)
10 years ago
MichuziMEMBE AZINDUA SAFARI YA MABALOZI KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KUTANGAZA UTALII
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe amewataka Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali ulimwenguni kuhakikisha kuwa wanatangaza vivutio vya utalii vilivyopo nchini ikiwa ni njia mojawapo ya kutekeleza diplomasia ya uchumi.
Waziri Membe aliyasema hayo wakati akizindua zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro linalofanywa na mabalozi mbalimbali wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi kwa lengo la kuutangaza Mlima Kilimanjaro ili uweze kuvutia watalii...
Waziri Membe aliyasema hayo wakati akizindua zoezi la kupanda Mlima Kilimanjaro linalofanywa na mabalozi mbalimbali wanaoiwakilisha Tanzania nje ya nchi kwa lengo la kuutangaza Mlima Kilimanjaro ili uweze kuvutia watalii...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Oo9uuIkcAjo/VV_12URxIOI/AAAAAAAAP54/WlO5mrU2aaY/s72-c/E86A7770%2B%2528800x533%2529.jpg)
MANDHARI MWANANA YAWAVUTIA WATALII WA NDANI HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Oo9uuIkcAjo/VV_12URxIOI/AAAAAAAAP54/WlO5mrU2aaY/s640/E86A7770%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WaYtmPuiMAw/VV_2CZVwbQI/AAAAAAAAP7I/5tAFugg5B5E/s640/E86A7835%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9ydoPD0m-js/VV_2WVuRlqI/AAAAAAAAP9U/YoPiyv5EcRQ/s640/E86A7936%2B%2528800x533%2529.jpg)
Wafanyakazi wa Benki ya CRDB tawi la Mwanga wakiongozwa na meneja wao ,Innocent Silayo(wa pili toka kulia) wakishuka mara baada ya kutembelea vivutio...
11 years ago
MichuziWATALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO WAFURAHIA KUFIKA SHIRA CATHEDRAL(KANISANI)
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
11 years ago
MichuziKUNDI LA KWANZA LA WATALII WA NDANI MLIMA KILIMANJARO LAPANDA KILELE CHA SHIRA
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_pAKbc5AtJc/Va3Xrrw8vFI/AAAAAAAASeY/4FipmXcrILQ/s72-c/E86A6533%2B%25281280x853%2529.jpg)
RAIA WA AFRIKA KUSINI WALIOPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA WATOTO YATIMA WASHUKA,32 KATI YA 37 WAFIKA KILELE CHA UHURU
![](http://2.bp.blogspot.com/-_pAKbc5AtJc/Va3Xrrw8vFI/AAAAAAAASeY/4FipmXcrILQ/s640/E86A6533%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-O1ISCkBa118/Va3YrVKkEsI/AAAAAAAAShg/-jMBbxTy3Ow/s640/E86A6692%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9w7_veiwB38/Va3YcPgDhVI/AAAAAAAASgw/aYZU_FFuUpk/s640/E86A6648%2B%25281280x853%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GlZpcsbrQw0/VVQxh9G8W4I/AAAAAAAAPhE/UPUw9RgUWu8/s72-c/E86A7429%2B(800x533).jpg)
KINAPA YATANGAZA OFA YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KWA WATALII WA NDANI WA AFRIKA MASHARIKI
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
IDADI ya watalii wanaotembelea hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) imeongezeka kutoka 37,000 hadi kufikia 51,287 ndani ya kipindi cha miaka 10 huku asilimia 4 na sita kati yao wakiwa ni wazawa.
Asilimia hiyo inatajwa ni ya watanzania ambao wamekuwa wakipanda Mlima huo kwa muda wa siku moja hali inayoilazimu uongozi wa hifadhi hiyo kuendelea kuhamsisha wananchi kutembelea hifadhi zetu ili kujionea urithi tuliopewa na...
IDADI ya watalii wanaotembelea hifadhi ya taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA) imeongezeka kutoka 37,000 hadi kufikia 51,287 ndani ya kipindi cha miaka 10 huku asilimia 4 na sita kati yao wakiwa ni wazawa.
Asilimia hiyo inatajwa ni ya watanzania ambao wamekuwa wakipanda Mlima huo kwa muda wa siku moja hali inayoilazimu uongozi wa hifadhi hiyo kuendelea kuhamsisha wananchi kutembelea hifadhi zetu ili kujionea urithi tuliopewa na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2V1qh-QY0Ds/VV2EC9oeRCI/AAAAAAAAPs0/LVwOntqGDJI/s72-c/E86A7629%2B%2528800x533%2529.jpg)
UBOVU WA BARABARA WAWAKOSESHA RAHA WATALII WA NDANI KATIKA HIFADHI YA TAIFA YA MLIMA KILIMANJARO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-2V1qh-QY0Ds/VV2EC9oeRCI/AAAAAAAAPs0/LVwOntqGDJI/s640/E86A7629%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XFgZ2e0IQ_w/VV2EDMAnb6I/AAAAAAAAPtA/yLsxAmACJfA/s640/E86A7627%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZiAPhsh7Ves/VV2EC_UDxII/AAAAAAAAPs4/tHWYDSpz2_4/s640/E86A7630%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-__nNIjyhxkA/VV2EHi2ufcI/AAAAAAAAPtU/l6ja7_XzRBQ/s640/E86A7636%2B%2528800x533%2529.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania