Dk Shein apigia debe serikali mbili
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya na wakati wa marekebisho ya Katiba ya Zanzibar, mamlaka za nchi hizo zilikubaliana kuwepo kwa serikali mbili pekee.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Magufuli apigia debe makandarasi wazawa
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameutaka uongozi wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) kuhakikisha wanatumia makandarasi wa ndani katika ujenzi wa miradi ya nyumba inayofanywa na wakala huo. Akizungumza...
11 years ago
Tanzania Daima27 May
Tarishi apigia debe utalii wa ndani
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Maimuna Tarishi, amevipa changamoto vyombo vya habari nchini, kupigia debe utalii wa ndani kama sehemu ya kuongeza pato la taifa na kuimarisha...
9 years ago
StarTV17 Nov
Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja
Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.
Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.
Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, na nchi za awali kabisa kulitumia zao hili zinatajwa kuwa...
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Dk Shein:Serikali mbili muafaka
11 years ago
Mwananchi02 Mar
Shein ‘agusa’ Serikali mbili
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]
11 years ago
Habarileo07 Apr
Theluthi mbili kuelekea serikali mbili si tatizo
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kama wataacha ushabiki wa vyama na kujikita zaidi kwenye hoja, uwezekano wa kupatikana kwa theluthi mbili kuelekea katika mfumo wa serikali mbili upo.
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Cheka azipigia debe ndondi kwa serikali
BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka ‘SMG’, ameitaka serikali kuusaidia mchezo huo kwa maslahi ya vijana wenye vipaji na taifa kwa ujumla. Cheka alisema ngumi ni mchezo unaoitangaza...
10 years ago
Habarileo25 Mar
Serikali ina haki ya ‘kuipigia debe’ Katiba mpya
SERIKALI imesema kuwa ina haki ya kuwahamasisha wananchi kuipigia kura ya ndiyo Katiba Inayopendekezwa kwa kuwa ndio iliyohusika kuiandaa.