Shein ‘agusa’ Serikali mbili
Siku nne baada ya CCM kuweka hadharani msimamo wake juu ya muundo wa Serikali wanayoitaka ndani ya Katiba Mpya, Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein ameibuka na kufichua siri ya mwongozo huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Dk Shein:Serikali mbili muafaka
11 years ago
Habarileo02 Mar
Dk Shein apigia debe serikali mbili
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) imesema mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya na wakati wa marekebisho ya Katiba ya Zanzibar, mamlaka za nchi hizo zilikubaliana kuwepo kwa serikali mbili pekee.
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Kamati mbili zakamilisha kujadili #rasimu, zote zapendekeza serikali mbili[VIDEO]
11 years ago
Habarileo07 Apr
Theluthi mbili kuelekea serikali mbili si tatizo
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba kama wataacha ushabiki wa vyama na kujikita zaidi kwenye hoja, uwezekano wa kupatikana kwa theluthi mbili kuelekea katika mfumo wa serikali mbili upo.
9 years ago
Mtanzania31 Dec
Malinzi agusa suala la Niyonzima, Yanga
ADAM MKWEPU NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
RAIS wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, ameitaka klabu ya Yanga kukaa ili kumalizana na mchezaji Haruna Niyonzima, kama ikishindikana wapeleke kesi hiyo yenye mgogoro wa kimkataba kwenye Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji kabla ya wao kuingilia.
Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Yanga kuvunja mkataba wa mchezaji wake kiungo mkabaji, Haruna Niyonzima, kwa madai alikuwa akivunja utaratibu pamoja na kutaka kuwa juu ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LoK3NXOIwpEAnr9hjcRfxQ5sLBhDmkzcymiYKpbD4xMshCIBuhGo96UuFJc-veC-CGIEDVW7sO-IiafOJ0LJlpSzvsDZJz-x/wo.jpg?width=650)
WOLPER: NATAKA SERIKALI MBILI
11 years ago
Habarileo18 Feb
CCM yasisitiza Serikali mbili
WAKATI Bunge Maalumu la Katiba likianza leo mjini hapa, Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesisitiza kuwa msimamo wa kuwapo kwa Serikali mbili na kuunga mkono maoni ya wengi, lakini ikaonya kuwa si vyema kutishana na kuburuzana.
11 years ago
Mwananchi19 Feb
CCM watofautiana Serikali mbili
11 years ago
Habarileo26 Feb
Shibuda -Nataka serikali mbili
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda amesema msimamo wake ni kuwapo kwa Serikali mbili, huku akisisitiza kuwa ilipaswa wajumbe wa bunge hilo wapewe elimu ya ufahamu ya kazi yao.