Dk Magufuli achekelea makandarasi kuadhibiwa
Waziri wa Ujenzi, John Magufuli ameupongeza Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroad) kwa kuwachukulia hatua watendaji wa Kampuni ya Dott Services kwa kosa la kuchelewesha ujenzi wa barabara ya Mkumbara hadi Same yenye urefu wa kilomita 96.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Magufuli awatunishia msuli makandarasi
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli amewaambia makandarasi kwamba serikali itaendelea kusitisha mikataba yao pindi wanaposhindwa kufuata sheria za mikataba ya barabara wanayoingia. Akizungumza wakati wa kusaini mikataba na makandarasi...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Magufuli awanyima likizo makandarasi
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amewataka wahandisi wote nchini kutokwenda likizo kwa ajili ya Sikukuu ya Pasaka hadi miundombinu iliyoharibiwa na mvua itakapokamilika kukarabatiwa. Dk. Magufuli alitoa kauli hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Magufuli: Makandarasi wazawa wajaliwe
SERIKALI imewaagiza mameneja wa Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) na wakurugenzi watendaji wa halmashauri za wilaya, manispaa na majiji nchini, kutoa vipaumbele kwa makandarasi wazalendo. Agizo hilo limetolewa wilayani hapa jana...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Dk Magufuli aapa kufa na makandarasi
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
Magufuli awapa tano makandarasi wazawa
Waziri wa Ujenzi, Dk.John Pombe Magufuli, akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida Mhandisi, Leonard Kapongo kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa barabara ya Manyoni mjini yenye urefu wa kilometa mbili kwa kiwango cha lami.Wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya ya Manyoni na anayefuatia ni mkuu wa mkoa wa Singida .Dk.Parseko Kone.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
Serikali imewaagiza Mameneja wa TANROADS na Wakurugenzi watendaji wa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Magufuli apigia debe makandarasi wazawa
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameutaka uongozi wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) kuhakikisha wanatumia makandarasi wa ndani katika ujenzi wa miradi ya nyumba inayofanywa na wakala huo. Akizungumza...
10 years ago
Michuzi
10 years ago
GPL
VAI ACHEKELEA KUACHIKA!
10 years ago
BBCSwahili07 Jun
Mwanablogu aliyetusi uislamu kuadhibiwa