‘Serikali iwezeshe makandarasi wazawa’
SERIKALI imeombwa kuzijengea uwezo na kuzipa kipaumbele kampuni za ujenzi za ndani katika ujenzi wa miradi mikubwa kwa kuwa sasa zina uwezo wa teknolojia na vifaa vya kisasa. Meneja miradi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Magufuli: Makandarasi wazawa wajaliwe
SERIKALI imewaagiza mameneja wa Wakala wa Barabara nchini (Tanroads) na wakurugenzi watendaji wa halmashauri za wilaya, manispaa na majiji nchini, kutoa vipaumbele kwa makandarasi wazalendo. Agizo hilo limetolewa wilayani hapa jana...
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Magufuli apigia debe makandarasi wazawa
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, ameutaka uongozi wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) kuhakikisha wanatumia makandarasi wa ndani katika ujenzi wa miradi ya nyumba inayofanywa na wakala huo. Akizungumza...
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
Magufuli awapa tano makandarasi wazawa
Waziri wa Ujenzi, Dk.John Pombe Magufuli, akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida Mhandisi, Leonard Kapongo kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa barabara ya Manyoni mjini yenye urefu wa kilometa mbili kwa kiwango cha lami.Wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya ya Manyoni na anayefuatia ni mkuu wa mkoa wa Singida .Dk.Parseko Kone.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
Serikali imewaagiza Mameneja wa TANROADS na Wakurugenzi watendaji wa...
11 years ago
Habarileo02 Jun
Serikali yawaonya makandarasi
SERIKALI imeonya makandarasi wenye tabia ya kuhonga watumishi wa Serikali ili wapatiwe zabuni za ujenzi wa miradi mbalimbali kuacha mara moja.
10 years ago
Habarileo08 Jun
Serikali yaahidi kuwalipa makandarasi
WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amesema Serikali italipa madeni ya makandarasi na watumishi ambayo yamehakikiwa na pia itapeleka TAMISEMI orodha ya halmashauri ambazo zimetoa madeni hewa ili yalipwe.
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Makandarasi waidai serikali bil. 400/-
CHAMA cha Makandarasi Tanzania (CATA) kinaidai serikali zaidi ya sh bilioni 400, hali inayosababisha utekelezaji wa miradi mbalimbali hususan ya barabara kutekelezwa kwa kasi ndogo, kusuasua ama kusimama kabisa. Katibu...
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Wawekezaji wazawa waibana Serikali
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Serikali yashauriwa kutumia samani za wazawa
10 years ago
Mwananchi07 Nov
MKAMA: Serikali ijenge mazingira kwa wazawa kumiliki DART