Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wawekezaji wazawa waibana Serikali

>Serikali imetakiwa kuweka ukomo wa mambo ya kuwekeza baina ya wawekezaji wa ndani na wa nje kwa lengo la kuwawezesha wazawa kujijenga na kukua zaidi ili kuinua uchumi wa Taifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Charles Hillary: Wawekezaji wazawa wamenirudisha TZ

Ilitokea, lakini haikuandikwa. Charles Hilary ndiye Mtanzania wa kwanza kutangaza kwa Kiswahili mechi za fainali za Kombe la Dunia akiwa uwanjani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Soko la sukari lawatesa wawekezaji wazawa

TANZANIA kwa muda mrefu imekuwa na mkakati unaotekelezwa kwa lengo la kufufua na kuendeleza viwanda vya ndani ili kuzalisha bidhaa zitakazokuwa na ubora katika ushindani wa soko. Katika mkakati huo,...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI KAIRUKI AIPONGEZA BENKI YA TADB KWA KUWASHIKA MKONO WAWEKEZAJI WAZAWA

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB), Japhet Justine akizungumza mbele ya Waziri wa Uwekezaji, Angela Kairuki wakati wa ziara ya kutembelea ujenzi wa kiwanda cha Qstek wilayani Manyoni, Singida leo.

Charles James, Michuzi TV

SERIKALI imeahidi kuiongezea mtaji Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) kutokana na namna inavyowasaidia wakulima na kuwapa kipaumbele wawekezaji wazawa.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angela Kairuki leo...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wabunge waibana serikali

Wataka bajeti mpya iwe ya utekelezaji si ahadi Misamaha ya kodi kwa vigogo yazidi kupingwa January: Misamaha iwe asilimia moja ya bajeti
NA SELINA WILSON, DODOMA
WABUNGE wameendelea kuikalia kooni serikali juu ya misamaha ya kodi kwa wawekezaji wakitaka ipunguzwe na wengine wakitaka ibuni vyanzo vipya vya ukusanyaji mapato badala ya kutegemea wahisani.
Bajeti Kuu ya Serikali inatarajiwa kusomwa bungeni kesho, ambapo kwa wiki nzima, wabunge wamekuwa wakiibana serikali kuitaka kueleza namna...

 

11 years ago

Habarileo

Wabunge waibana Serikali

WABUNGE wameendelea kuitaka Serikali kubuni vyanzo vipya vya mapato, huku baadhi yao wakionesha wasiwasi kama Serikali itafanikiwa kukusanya Sh trilioni 19, kutokana na kukosa mbinu za upanuzi wa wigo wa kodi.

 

11 years ago

Michuzi

Serikali, Wabunge waibana Kabanga Nickel

Ujumbe kutoka Tanzania ukiongozwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga (wa kwanza kushoto), ukimsikiliza Bw.Stephen Flewelling (aliyesimama), Mtendaji wa kampuni ya Glancore yenye leseni ya kuchimba Nickel katika eneo la Kabanga wilayani Ngara wakati walipofika katika makao makao makuu ya kampuni hiyo yaliyoko Toronto, Canada. Wengine katika picha ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge, Nishati na Madini, Victor Mwambalaswa (Mb.), (wa pili kushoto), Deogratias...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali iwezeshe makandarasi wazawa’

SERIKALI imeombwa kuzijengea uwezo na kuzipa kipaumbele kampuni za ujenzi za ndani katika ujenzi wa miradi mikubwa kwa kuwa sasa zina uwezo wa teknolojia na vifaa vya kisasa. Meneja miradi...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yashauriwa kutumia samani za wazawa

Serikali imeshauriwa kuhakikisha inatumia bidhaa zinazotengenezwa nchini na kuacha kuagiza samani za ofisini kutoka nje ya nchi, ambazo zina ubora mdogo zikilinganishwa na zinazotengenezwa nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

MKAMA: Serikali ijenge mazingira kwa wazawa kumiliki DART

>Wakati utawala wa kibaguzi wa Afrika Kusini ulipofikia ukomo na mwaka 1994, uongozi mpya wa Chama cha ANC chini ya  Mzee Nelson Mandela, ulikumbana na changamoto kubwa ya kuwawezesha kiuchumi Waafrika walio wengi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani