Wawekezaji wazawa waibana Serikali
>Serikali imetakiwa kuweka ukomo wa mambo ya kuwekeza baina ya wawekezaji wa ndani na wa nje kwa lengo la kuwawezesha wazawa kujijenga na kukua zaidi ili kuinua uchumi wa Taifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Charles Hillary: Wawekezaji wazawa wamenirudisha TZ
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Soko la sukari lawatesa wawekezaji wazawa
TANZANIA kwa muda mrefu imekuwa na mkakati unaotekelezwa kwa lengo la kufufua na kuendeleza viwanda vya ndani ili kuzalisha bidhaa zitakazokuwa na ubora katika ushindani wa soko. Katika mkakati huo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Vjwvt9KQdDQ/XtFXiuciRoI/AAAAAAALsCI/CFhoCaN2p2czEjpZykdDfrfy5tXr0e5TwCLcBGAsYHQ/s72-c/c74db66d-73a3-48c6-8cfe-4152fd24fdf4.jpg)
WAZIRI KAIRUKI AIPONGEZA BENKI YA TADB KWA KUWASHIKA MKONO WAWEKEZAJI WAZAWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vjwvt9KQdDQ/XtFXiuciRoI/AAAAAAALsCI/CFhoCaN2p2czEjpZykdDfrfy5tXr0e5TwCLcBGAsYHQ/s640/c74db66d-73a3-48c6-8cfe-4152fd24fdf4.jpg)
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imeahidi kuiongezea mtaji Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) kutokana na namna inavyowasaidia wakulima na kuwapa kipaumbele wawekezaji wazawa.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angela Kairuki leo...
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Wabunge waibana serikali
NA SELINA WILSON, DODOMA
WABUNGE wameendelea kuikalia kooni serikali juu ya misamaha ya kodi kwa wawekezaji wakitaka ipunguzwe na wengine wakitaka ibuni vyanzo vipya vya ukusanyaji mapato badala ya kutegemea wahisani.
Bajeti Kuu ya Serikali inatarajiwa kusomwa bungeni kesho, ambapo kwa wiki nzima, wabunge wamekuwa wakiibana serikali kuitaka kueleza namna...
11 years ago
Habarileo18 Jun
Wabunge waibana Serikali
WABUNGE wameendelea kuitaka Serikali kubuni vyanzo vipya vya mapato, huku baadhi yao wakionesha wasiwasi kama Serikali itafanikiwa kukusanya Sh trilioni 19, kutokana na kukosa mbinu za upanuzi wa wigo wa kodi.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0xyY5QDXxz4/U8wuDxjiVAI/AAAAAAAF4Jc/_Ks21eodOUw/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Serikali, Wabunge waibana Kabanga Nickel
![](http://1.bp.blogspot.com/-0xyY5QDXxz4/U8wuDxjiVAI/AAAAAAAF4Jc/_Ks21eodOUw/s1600/unnamed+(4).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Apr
‘Serikali iwezeshe makandarasi wazawa’
SERIKALI imeombwa kuzijengea uwezo na kuzipa kipaumbele kampuni za ujenzi za ndani katika ujenzi wa miradi mikubwa kwa kuwa sasa zina uwezo wa teknolojia na vifaa vya kisasa. Meneja miradi...
10 years ago
Mwananchi31 Aug
Serikali yashauriwa kutumia samani za wazawa
10 years ago
Mwananchi07 Nov
MKAMA: Serikali ijenge mazingira kwa wazawa kumiliki DART