Charles Hillary: Wawekezaji wazawa wamenirudisha TZ
Ilitokea, lakini haikuandikwa. Charles Hilary ndiye Mtanzania wa kwanza kutangaza kwa Kiswahili mechi za fainali za Kombe la Dunia akiwa uwanjani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
AFCON:Charles Hillary awahoji wachambuzi
Dimba la mataifa ya Afrika likisubiriwa kwa hamu, mtangazaji wa BBC Charles Hillary ahawoji wachambuzi kuangazia timu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v6wcuBb1nvsY*NzdpX3PpIAr8BHFkeoE98wR0LzG0vzn3You91v*Y4PUsEzSzD1XjfEtjv4lhk6F39XWsnNhZSHTIX8-ftDs/CHARLESHIRARY.jpg)
CHARLES HILLARY ATUA RASMI AZAM TV
Mtangazaji Charles Hillary akiwa ndani ya studio za Azam TV. MTANGAZAJI mahiri Charles Hillary aliyekuwa Shirika la Habari la BBC jijini London leo ametua rasmi katika kituo cha Television cha Azam TV kuungana na watangazaji wenzake.
Katika tasnia ya habari, Charles Hillary amefanya kazi ya utangazaji kuanzia mwaka 1980 hadi mwaka 1993 akiwa Radio Tanzania Dar es Salaam.
Mwaka 1994 alijiunga na Radio One ikiwa ni radio ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V3ri3ykXuD6DkqwfqqHXa9ewhOiWlx*FJmfbVS0EzBDj6jfRaxVFRKofaX6TrnEYfSdYMDos1rKQFVC8BQvQfIfYRKOn6NnO/unnamed5.jpg?width=650)
CHARLES HILLARY NKWANGA AAGA RASMI BBC, KURUDI AZAM TV
Mtangazaji Charles Hillary (kulia) akiwa na mtangazaji mwanzake wa BBC wakati alipokuwa akiaga rasmi kituoni hapo. Mmoja kati ya wafanya kazi wenzake akionesha jezi iliyoandikwa jina la Nkwanga. Charles Hillary akiwa mtangazaji mwenzake wa BBC Zuhura Yunus katika picha ya pamoja.…
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Wawekezaji wazawa waibana Serikali
>Serikali imetakiwa kuweka ukomo wa mambo ya kuwekeza baina ya wawekezaji wa ndani na wa nje kwa lengo la kuwawezesha wazawa kujijenga na kukua zaidi ili kuinua uchumi wa Taifa.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Soko la sukari lawatesa wawekezaji wazawa
TANZANIA kwa muda mrefu imekuwa na mkakati unaotekelezwa kwa lengo la kufufua na kuendeleza viwanda vya ndani ili kuzalisha bidhaa zitakazokuwa na ubora katika ushindani wa soko. Katika mkakati huo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Vjwvt9KQdDQ/XtFXiuciRoI/AAAAAAALsCI/CFhoCaN2p2czEjpZykdDfrfy5tXr0e5TwCLcBGAsYHQ/s72-c/c74db66d-73a3-48c6-8cfe-4152fd24fdf4.jpg)
WAZIRI KAIRUKI AIPONGEZA BENKI YA TADB KWA KUWASHIKA MKONO WAWEKEZAJI WAZAWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vjwvt9KQdDQ/XtFXiuciRoI/AAAAAAALsCI/CFhoCaN2p2czEjpZykdDfrfy5tXr0e5TwCLcBGAsYHQ/s640/c74db66d-73a3-48c6-8cfe-4152fd24fdf4.jpg)
Charles James, Michuzi TV
SERIKALI imeahidi kuiongezea mtaji Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) kutokana na namna inavyowasaidia wakulima na kuwapa kipaumbele wawekezaji wazawa.
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angela Kairuki leo...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/ZE5FChEQqyQ/default.jpg)
9 years ago
TheCitizen16 Dec
Will Hillary become another first in stiff US polls?
For the first time it is difficult, if not impossible, to predict the outcome of the next US presidential election. With much uncertainty and with too many Republican candidates, one could meet with surprises. Having said this I can share with the readers my thoughts on this important and topical subject.
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Bi Hillary Clinton awalaumu wapinzani
Anayedhaniwa kuwa mstari wa mbele katika uteuzi wa Urais katika chama cha Democratic, Hillary Clinton, amewalaumu wapinzani wake wa chama cha Republican kwa kutumia vifo vya wanadiplomasia nchini Libya kujinufaisha kisiasa.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania