Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AFCON:Charles Hillary awahoji wachambuzi

Dimba la mataifa ya Afrika likisubiriwa kwa hamu, mtangazaji wa BBC Charles Hillary ahawoji wachambuzi kuangazia timu

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Charles Hillary: Wawekezaji wazawa wamenirudisha TZ

Ilitokea, lakini haikuandikwa. Charles Hilary ndiye Mtanzania wa kwanza kutangaza kwa Kiswahili mechi za fainali za Kombe la Dunia akiwa uwanjani.

 

10 years ago

GPL

CHARLES HILLARY ATUA RASMI AZAM TV

Mtangazaji Charles Hillary akiwa ndani ya studio za Azam TV. MTANGAZAJI mahiri Charles Hillary aliyekuwa Shirika la Habari la BBC jijini London leo ametua rasmi katika kituo cha Television cha Azam TV kuungana na watangazaji wenzake.
Katika tasnia ya habari, Charles Hillary amefanya kazi ya utangazaji kuanzia mwaka 1980 hadi mwaka 1993 akiwa Radio Tanzania Dar es Salaam.
Mwaka 1994 alijiunga na Radio One ikiwa ni radio ya...

 

10 years ago

GPL

CHARLES HILLARY NKWANGA AAGA RASMI BBC, KURUDI AZAM TV

Mtangazaji Charles Hillary (kulia) akiwa na mtangazaji mwanzake wa BBC wakati alipokuwa akiaga rasmi kituoni hapo. Mmoja kati ya wafanya kazi wenzake akionesha jezi iliyoandikwa jina la Nkwanga. Charles Hillary akiwa mtangazaji mwenzake wa BBC Zuhura Yunus katika picha ya pamoja.…

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba awakuna wasomi, wachambuzi

>Baadhi ya wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa hapa nchini wamesema hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadilko ya Katiba, Jaji  Joseph Warioba itasaidia kubadilisha msimamo wa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

StarTV

Baadhi ya wanasiasa, wachambuzi wamkosoa Rais Kikwete

Na  Waandishi wetu

Dar Es Salaam, Kagera, Tanga.

 

Baadhi ya wanasiasa na wachambuzi wa siasa nchini wamekosoa hatua iliyochukuliwa na Rais Jakaya Kikwete dhidi ya watuhumiwa wa kashfa ya uchotwaji wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow kwa kusema kuwa ameshindwa kukata kiu ya watanzania waliotaka kuona anawawajibisha wahusika wote wa sakata hilo.

Wamesema kumfukuza kazi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka na kumuweka kiporo Waziri wa Nishati na Madini na...

 

10 years ago

Mwananchi

WACHAMBUZI:Watangaza nia WANAYO KAZI YA KUWAKUNA Watanzania

Mpaka sasa wanaCCM waliotangaza nia ni Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa, Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk Titus Kamani, Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, Charles Makongoro ambaye ni mtoto wa Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere.

 

10 years ago

Mwananchi

Idadi ya wapigakura siyo msingi wa vyama kushinda-Wachambuzi

Wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini wamesema idadi kubwa ya wapigakura katika mikoa ambayo ni ngome kuu za baadhi ya vyama vya siasa siyo msingi wa vyama hivyo kushinda Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.

 

9 years ago

TheCitizen

Will Hillary become another first in stiff US polls?

For the first time it is difficult, if not impossible, to predict the outcome of the next US presidential election. With much uncertainty and with too many Republican candidates, one could meet with surprises. Having said this I can share with the readers my thoughts on this important and topical subject.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani