Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baadhi ya wanasiasa, wachambuzi wamkosoa Rais Kikwete

Na  Waandishi wetu

Dar Es Salaam, Kagera, Tanga.

 

Baadhi ya wanasiasa na wachambuzi wa siasa nchini wamekosoa hatua iliyochukuliwa na Rais Jakaya Kikwete dhidi ya watuhumiwa wa kashfa ya uchotwaji wa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow kwa kusema kuwa ameshindwa kukata kiu ya watanzania waliotaka kuona anawawajibisha wahusika wote wa sakata hilo.

Wamesema kumfukuza kazi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka na kumuweka kiporo Waziri wa Nishati na Madini na...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

VIJANA MSIKUBALI KUTUMIWA VIBAYA NA BAADHI YA WANASIASA KWA FAIDA YA WACHACHE-MAMA SALMA KIKWETE

Na Anna Nkinda – Maelezo, LindiVIJANA wametakiwa kutokubali kutumiwa vibaya na baadhi ya wanasiasa  kwa maslahi ya watu wachache huku hao wanaowatumia wanasonga mbele kimaendeleo na wao wanazidi kurudi nyuma.
Rai hiyo imetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na wananchi wa  kijiji cha Kikomolela kilichopo  jimbo la Mchinga na mtaa wa Likotwa uliopo Jimbo la Lindi mjini waliohudhuria kampeni ya kuwanadi wagombea wa nafasi za udiwani, ubunge na urais...

 

10 years ago

Habarileo

Wanasiasa waonywa kumsemea Rais Kikwete

VIONGOZI wa kisiasa wametakiwa kutomsemea wala kumuwekea maneno mdomoni Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete kuwa ana nia ya kukata baadhi ya majina ya ugombea urais kwenye uchaguzi mkuu.

 

10 years ago

Mtanzania

Wabunge wamkosoa Maghembe

maghembeNa Arodia Peter, Dodoma

WABUNGE wamemkosoa Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe, wakisema miradi mingi aliyoisema katika hotuba yake haina uhalisia.

Wakichangia mapitio ya utekelezaji wa bajeti ya wizara hiyo kwa mwaka wa fedha wa 2015/2016, wabunge hao bila kujali itikadi zao za kisiasa, waliikosoa hotuba yake wakisema miradi mingi haitekelezeki.

Mbunge wa Viti Maalumu, Azza Hamad (CCM), aliikosoa kwa kuainisha kuwa vituo vya maji vinavyofanya kazi katika Kijiji cha Kagongwa, mkoani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Neville na Scholes wamkosoa Van Gaal

Louis Van Gaal amewaambia wachezaji wa zamani Gary NevilLe na mwenzake Paul Scholes kwamba hawajui chochote kuhusu kilabu hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mama Maria Nyerere akerwa na wanasiasa wanaomkejeli Kikwete

FAMILIA ya baba wa Taifa, Hayati mwalimu Julius Nyerere, imetoa pole kwa Rais Jakaya Kikwete, kutokana na kufanyiwa upasuaji wa tezi dume. Taarifa iliyotolewa jana na kusainiwa na mbunge wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA


RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.

Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba awakuna wasomi, wachambuzi

>Baadhi ya wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa hapa nchini wamesema hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadilko ya Katiba, Jaji  Joseph Warioba itasaidia kubadilisha msimamo wa wajumbe wengi wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais wa Ujerumani ameacha funzo kwa wanasiasa

Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck alifanya ziara nchini wiki hii, ikiwa ni moja ya harakati za kudumisha ushirikiano wa kisiasa, kiuchumi na kijamii kati ya taifa hilo na Tanzania.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON:Charles Hillary awahoji wachambuzi

Dimba la mataifa ya Afrika likisubiriwa kwa hamu, mtangazaji wa BBC Charles Hillary ahawoji wachambuzi kuangazia timu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani