Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Neville na Scholes wamkosoa Van Gaal

Louis Van Gaal amewaambia wachezaji wa zamani Gary NevilLe na mwenzake Paul Scholes kwamba hawajui chochote kuhusu kilabu hiyo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Van Gaal ajibu shutuma za Scholes

Kocha wa Manchester United, Louis van Gaal amemjibu kiungo wa zamani wa klabu hiyo, Paul Scholes aliyetoa maoni yake kuhusu aina yake ya ufundishaji akisema ina tofauti na alivyokuwa na mafanikio katika klabu ya Ajax.

 

9 years ago

Mwananchi

Scholes, Ferdinand wamchana van Gaal, ajitetea

Manchester United imetolewa kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kipigo cha mabao 3-2 kutoka Wolfsburg ya Ujerumani juzi usiku, wachezaji wa zamani, Paul  Scholes, Ferdinand wamemchamba kocha Louis van Gaal.

 

9 years ago

Bongo5

Paul Scholes: Nisingeweza kucheza Man United, kwa mfumo wa Louis van Gaal

scholes-615580Kiungo wa zamani wa Manchester United na England, Paul Scholes ameendelea kumtetea nahodha wa Manchester United Wayne Rooney na kudai kuwa ni vigumu kwa straika yeyote yule kufunga kwa mfumo na staili ya Van Gaal. Paul Scholes amesema amecheza na washambuliaji nguli duniani wakiwemo Rud Van Nisterlooy, Yorke na Teddy Sheringham lakini akasisitiza kuwa mfumo […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

IFAHAMU 'HOTEL FOOTBALL' INAYOMILIKIWA NA G.NEVILLE, GIGGS, SCHOLES, P.NEVILLE NA BUTT

Hotel hiyo ambayo inaitwa Hotel Football na ipo karibu kabisa karibu na uwanja wa Old Trafford.Hotel hiyo ambayo ni wazo la kwanza kabisa la Neville na Ryan Giggs lakini baadae wakaja wamiliki wapya kama Phil Neville, Nicky Butt na Paul Scholes, kuanzia nje hadi ndani imekua branded ki-football zaidi.Kuwa na uhusiano wa ki-football unaipa advantage ya kuwa sehemu busy sana siku za mechi au hata sio siku za mechi. Ukiingia ndani kuna picha za malegend wa soka na pia juu kabisa kuna uwanja wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hatufikirii ubingwa:Van gaal

meneja wa Manchester United Louis van Gaal amegoma kujitumbukiza katika mbio za ubingwa

 

9 years ago

BBCSwahili

Van Gaal:Tutashinda Wolfsburg

Mkufunzi wa kilabu ya Manchester United Louis Van Gaal amekiri kwamba klabu hiyo inakabiliwa na mechi ngumu itakapokutana na Worlfsburg.

 

11 years ago

BBCSwahili

VAN GAAL : FIFA IMETUONEA

Mkufunzi wa Uholanzi Louis va Gaal ameikashifu ratiba ya mechi za mkondo wa pili akisema inapendelea mataifa mengine

 

10 years ago

BBCSwahili

Mourinho amsifu Van Gaal

Mkufunzi wa timu ya Manchester Louis van Gaal amesisitiza kuwa hakuchukuwa jukumu kubwa la kumboresha Mourinho

 

9 years ago

BBCSwahili

Louis van Gaal hana kisingizio

Bosi wa Manchester United Louis van Gaal amesema hana kisingizio chochote cha kwanini wametolewa kwenye UEFA Champions ligi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani