Rais wa Ujerumani ameacha funzo kwa wanasiasa
Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck alifanya ziara nchini wiki hii, ikiwa ni moja ya harakati za kudumisha ushirikiano wa kisiasa, kiuchumi na kijamii kati ya taifa hilo na Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pJanJcsrIwH8zM0bbrfBJ4Xcjwd2Iqjw7gjADtof7OrhffnYO*xqXkz8DQi1rtFX2Z4amkPKWsDlmZrGmBGwAtDTMD4wl4BS/mandela.jpg?width=650)
"BUSARA YA MADIBA NI FUNZO KWA WANAHARAKATI NA WANASIASA WETU"
Nelson Mandela. Historia haina uchoyo na mawazo kwa kila mwanadamu aliyejitosa kutengeneza historia.NELSON MANDELA ni miongoni mwa wanahistoria waliowahi kuijua na kuitengeneza historia ya dunia na kuwastaajabisha magwiji wa kihistoria wa huko ughaibuni kama akina Hegel,almond na wengine wengi. Madiba alikuwa ni mwanasiasa aliyeamini kuwa haki itapatikana kwa njia ya amani kabisa(non violence).Ili kuweza kutimiza ndoto zake za...
10 years ago
Mwananchi06 Feb
Rais wa Ujerumani aacha gumzo,aenda Zanzibar kwa boti
>Ziara ya rais wa Shirikisho la Ujerumani, Joachim Gauck imeacha mjadala mzito kisiwani hapa kutokana na kitendo chake cha kutumia usafiri wa boti kuja Unguja na kutembea kwa miguu hadi Hoteli ya Serena ya Zanzibar.
10 years ago
BBCSwahili08 May
Je Burundi itakuwa funzo kwa Afrika ?
Je vurugu inayoendelea huko Burundi kupinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu inatufunza nini ?
10 years ago
Mwananchi01 Apr
Uchaguzi wa Nigeria na funzo kwa Tanzania
Mwishoni mwa wiki iliyopita, wananchi wa Nigeria walipiga kura kumchagua Rais katika uchaguzi wenye ushindani mkali kati ya Rais wa sasa, Goodluck Jonathan na mpinzani wake Jenerali Muhamadu Buhari.
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Ebola ni funzo kubwa kwa WHO na dunia
Shirika la Afya Duniani, WHO limekutana kuangalia wapi imekosa katika maafa ya Ebola
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZSTtdIFRLmk/VM5lyHoP6uI/AAAAAAADXBA/L2bHxkFl5CU/s72-c/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU ZIARA YA RAIS WA UJERUMANI HAPA NCHINI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZSTtdIFRLmk/VM5lyHoP6uI/AAAAAAADXBA/L2bHxkFl5CU/s1600/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600 20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais...
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZSTtdIFRLmk/VM5lyHoP6uI/AAAAAAADXBA/L2bHxkFl5CU/s1600/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti : www.foreign.go.tzNukushi: 255-22-2116600 20 KIVUKONI FRONT, P.O. BOX 9000, 11466 DAR ES SALAAM, Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais...
10 years ago
Bongo514 Nov
Geez Mabovu ameacha deni kwa vituo vya redio, kucheza nyimbo zake sasa hazililipi
Geez Mabovu amefariki katika kipindi ambacho kwa asilimia kubwa alikuwa amepotea kwenye masikio ya wengi. Na mara nyingi sababu za kupotea kwenye masikio ya watu ni kutochezwa kwa nyimbo za msanii katika vituo vya redio. Kwahiyo haimaanishi kuwa kupotea kwa msanii kwenye masikio ya watu kunatokana na ukimya wake mwenyewe bali ni kutopata nafasi ya […]
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rfxakhWD68Q/VNGiLETuANI/AAAAAAAHBcE/QiMIkStle80/s72-c/unnamed%2B(36).jpg)
Rais wa Shirikisho la Ujerumani Bwana Joachik Gauck kuwasili zanzibar kwa boti asubuhi hii
Rais wa Shirikisho la Ujerumani Bwana Joachim Gauck anatarajiwa kuwasili Zanzibar leo asubuhi kwa kufanya ziara ya kutwa moja akitokea Mjini Dar es salaamu. Bwana Joachim atapokewa na Mwenyeji wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein, Mawaziri wa Serikali, Viongozi wa Kisiasa na baadhi ya raia wa Ujerumani waliopo Zanzibar huko Bandari ya malindi Mjini Zanzibar. Matayarisho ya mapokezi ya ujio wa Kiongozi huyo wa Shirikisho la Ujerumani yamekamilika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DFT0bx_tseU/XtZTOFrCapI/AAAAAAALsT8/ZNjKDiK8Y0gKUEVBxURKo8zkuoFFBsCwQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-01%2Bat%2B7.58.55%2BPM.jpeg)
MAAGIZO YA WAZIRI JAFO NI FUNZO KUBWA KWA WATENDAJI WA UMMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DFT0bx_tseU/XtZTOFrCapI/AAAAAAALsT8/ZNjKDiK8Y0gKUEVBxURKo8zkuoFFBsCwQCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-01%2Bat%2B7.58.55%2BPM.jpeg)
Katika kipindi cha miaka mitano ya serikali ya awamu ya tano kimekuwa kipindi tofauti sana kwa upande wa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwani Waziri Jafo amekuwa mwiba kwa wazembe Kwani kila kinacho agizwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania