Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais wa Ujerumani ameacha funzo kwa wanasiasa

Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck alifanya ziara nchini wiki hii, ikiwa ni moja ya harakati za kudumisha ushirikiano wa kisiasa, kiuchumi na kijamii kati ya taifa hilo na Tanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

"BUSARA YA MADIBA NI FUNZO KWA WANAHARAKATI NA WANASIASA WETU"

Nelson Mandela. Historia haina uchoyo na mawazo kwa kila mwanadamu aliyejitosa kutengeneza historia.NELSON MANDELA ni miongoni mwa wanahistoria waliowahi kuijua na kuitengeneza historia ya dunia na kuwastaajabisha magwiji wa kihistoria wa huko ughaibuni kama akina Hegel,almond na wengine wengi. Madiba alikuwa ni mwanasiasa aliyeamini kuwa haki itapatikana kwa njia ya amani kabisa(non violence).Ili kuweza kutimiza ndoto zake za...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais wa Ujerumani aacha gumzo,aenda Zanzibar kwa boti

>Ziara ya rais wa Shirikisho la Ujerumani, Joachim Gauck imeacha mjadala mzito kisiwani hapa kutokana na kitendo chake cha kutumia usafiri wa boti kuja Unguja na kutembea kwa miguu hadi Hoteli ya Serena ya Zanzibar.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je Burundi itakuwa funzo kwa Afrika ?

Je vurugu inayoendelea huko Burundi kupinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu inatufunza nini ?

 

10 years ago

Mwananchi

Uchaguzi wa Nigeria na funzo kwa Tanzania

Mwishoni mwa wiki iliyopita, wananchi wa Nigeria walipiga kura kumchagua Rais katika uchaguzi wenye ushindani mkali kati ya Rais wa sasa, Goodluck Jonathan na mpinzani wake Jenerali Muhamadu Buhari.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola ni funzo kubwa kwa WHO na dunia

Shirika la Afya Duniani, WHO limekutana kuangalia wapi imekosa katika maafa ya Ebola

 

10 years ago

Vijimambo

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU ZIARA YA RAIS WA UJERUMANI HAPA NCHINI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

                                                  

Simu: 255-22-2114615, 211906-12 Barua pepe: nje@nje.go.tz

Barua pepe: gcu@nje.go.tz

Tovuti : www.foreign.go.tz

Nukushi: 255-22-2116600

              

                  20 KIVUKONI FRONT,

                           P.O. BOX 9000,

                  11466 DAR ES SALAAM,  

                                    Tanzania.


 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais...

 

10 years ago

Bongo5

Geez Mabovu ameacha deni kwa vituo vya redio, kucheza nyimbo zake sasa hazililipi

Geez Mabovu amefariki katika kipindi ambacho kwa asilimia kubwa alikuwa amepotea kwenye masikio ya wengi. Na mara nyingi sababu za kupotea kwenye masikio ya watu ni kutochezwa kwa nyimbo za msanii katika vituo vya redio. Kwahiyo haimaanishi kuwa kupotea kwa msanii kwenye masikio ya watu kunatokana na ukimya wake mwenyewe bali ni kutopata nafasi ya […]

 

10 years ago

Michuzi

Rais wa Shirikisho la Ujerumani Bwana Joachik Gauck kuwasili zanzibar kwa boti asubuhi hii

Rais wa Shirikisho la Ujerumani Bwana Joachim Gauck anatarajiwa kuwasili Zanzibar leo asubuhi kwa kufanya ziara ya kutwa moja akitokea Mjini Dar es salaamu. Bwana Joachim atapokewa na Mwenyeji wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali Mohammed Shein, Mawaziri wa Serikali, Viongozi wa Kisiasa na baadhi ya raia wa Ujerumani waliopo Zanzibar huko Bandari ya malindi Mjini Zanzibar. Matayarisho ya mapokezi ya ujio wa Kiongozi huyo wa Shirikisho la Ujerumani yamekamilika...

 

5 years ago

Michuzi

MAAGIZO YA WAZIRI JAFO NI FUNZO KUBWA KWA WATENDAJI WA UMMA

KWA miaka mingi kulijengeka utamaduni kwa viongozi wengi hapa nchini kutoa maagizo mbalimbali bila kufanya ufuatiliaji kitendo kilicholeta tabia ya uzembe kwa watendaji wa umma kutotekeleza maagizo hayo na hivyo kusababisha kutokamilika kwa miradi mingi na upotevu mkubwa wa fedha za umma. 
Katika kipindi cha miaka mitano ya serikali ya awamu ya tano kimekuwa kipindi tofauti sana kwa upande wa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwani Waziri Jafo amekuwa mwiba kwa wazembe Kwani kila kinacho agizwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani