Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je Burundi itakuwa funzo kwa Afrika ?

Je vurugu inayoendelea huko Burundi kupinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kuwania urais kwa muhula wa tatu inatufunza nini ?

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Hanscana adai studio ya video anayojenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki

Muongozaji wa video na mshindi wa Tuzo za Watu, Hanscana amesema studio ya video anayoijenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki. Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa ujenzi wa studio hiyo umeanza tayari na unatarajia kukamilika muda wowote. “Studio ninayojenga ni studio kubwa ambayo haijawahi kutokea Afrika Mashariki,” amesema. “Hata ukitaka nije nikuonyeshe studio yangu inavyojenga mwenyewe utakubali. […]

 

9 years ago

Bongo5

Rihanna asema akipata nafasi ya kuja tena Afrika itakuwa ni kwaajili ya show ya bure!

Katika mahojiano na jarida la The New York Style, mwimbaji wa Barbados, Rihanna amesema kuwa endapo atapata nafasi ya kuja tena Afrika basi huenda ikawa ni kwaajili ya kufanya show ya bure. Bahati mbaya ni kuwa hii haiwahusu mashabiki wa Afrika Mashariki kwasababu staa huyo alikuwa akizungumzia Afrika Magharibi. “You know what? If I ever […]

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola ni funzo kubwa kwa WHO na dunia

Shirika la Afya Duniani, WHO limekutana kuangalia wapi imekosa katika maafa ya Ebola

 

10 years ago

Mwananchi

Uchaguzi wa Nigeria na funzo kwa Tanzania

Mwishoni mwa wiki iliyopita, wananchi wa Nigeria walipiga kura kumchagua Rais katika uchaguzi wenye ushindani mkali kati ya Rais wa sasa, Goodluck Jonathan na mpinzani wake Jenerali Muhamadu Buhari.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais wa Ujerumani ameacha funzo kwa wanasiasa

Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck alifanya ziara nchini wiki hii, ikiwa ni moja ya harakati za kudumisha ushirikiano wa kisiasa, kiuchumi na kijamii kati ya taifa hilo na Tanzania.

 

5 years ago

Michuzi

MAAGIZO YA WAZIRI JAFO NI FUNZO KUBWA KWA WATENDAJI WA UMMA

KWA miaka mingi kulijengeka utamaduni kwa viongozi wengi hapa nchini kutoa maagizo mbalimbali bila kufanya ufuatiliaji kitendo kilicholeta tabia ya uzembe kwa watendaji wa umma kutotekeleza maagizo hayo na hivyo kusababisha kutokamilika kwa miradi mingi na upotevu mkubwa wa fedha za umma. 
Katika kipindi cha miaka mitano ya serikali ya awamu ya tano kimekuwa kipindi tofauti sana kwa upande wa Ofisi ya Rais TAMISEMI kwani Waziri Jafo amekuwa mwiba kwa wazembe Kwani kila kinacho agizwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Kwa mpango huu, Yanga itakuwa haishikiki kwa Utajiri

KATIBU Mkuu wa Klabu ya Yanga, Dr. Jonas Tiboroa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kulia ni Mkuu wa kitengo cha habari na Mawasiliano wa Yanga, Jerry Muro.
Na. Richard Bakana, Dar Es Salaam
Kwa miaka mingi sasa klabu Kongwe za Simba na Yanga zimekuwa zikiibiwa bila kujua zinapoteza mamilioni ya pesa kila mwaka kupitia uuzwaji wa jezi zenye nembo ya klabu yao (Logo), Lakini kama kweli mpango huu hautaishia midomo tu basi Yanga itakuja kuwa bonge la Timu Tajiri Tanzania kupitia...

 

11 years ago

Bongo5

Video:Terrance J, Chaka Zulu na David Banner watimiza ahadi ya Kikwete, watoa funzo kwa wasanii

Bongo5 leo imepata nafasi ya kufanya mahojiano na wadau wakubwa wa Muziki, filamu na maigizo kutoka Marekani ambao Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete aliwaahidi wasanii wa muziki na filamu siku ya uzinduzi wa kampeni ya kuhamasisha uzalendo kwa vijana jijini Dodoma wiki kadhaa zilizopita. Terrance J, Chaka Zulu, Ravi Shelton na David Banner Wadau hao ni […]

 

10 years ago

GPL

"BUSARA YA MADIBA NI FUNZO KWA WANAHARAKATI NA WANASIASA WETU"

Nelson Mandela. Historia haina uchoyo na mawazo kwa kila mwanadamu aliyejitosa kutengeneza historia.NELSON MANDELA ni miongoni mwa wanahistoria waliowahi kuijua na kuitengeneza historia ya dunia na kuwastaajabisha magwiji wa kihistoria wa huko ughaibuni kama akina Hegel,almond na wengine wengi. Madiba alikuwa ni mwanasiasa aliyeamini kuwa haki itapatikana kwa njia ya amani kabisa(non violence).Ili kuweza kutimiza ndoto zake za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani