Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hanscana adai studio ya video anayojenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki

Muongozaji wa video na mshindi wa Tuzo za Watu, Hanscana amesema studio ya video anayoijenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki. Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa ujenzi wa studio hiyo umeanza tayari na unatarajia kukamilika muda wowote. “Studio ninayojenga ni studio kubwa ambayo haijawahi kutokea Afrika Mashariki,” amesema. “Hata ukitaka nije nikuonyeshe studio yangu inavyojenga mwenyewe utakubali. […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Tanzania kujenga bandari kubwa zaidi Afrika Mashariki

Tanzania imeanzisha ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo inayopangiwa kuwa bandari kubwa zaidi Afrika Mashariki.

 

9 years ago

Bongo5

Hanscana adai ‘Moyoni’ ya Navy Kenzo ni video iliyomfungulia njia

Hanscana na campos-5

Muongozaji wa video, Hanscana, ameitaja Moyoni ya Navy Kenzo kuwa ni video iliyomfungulia njia.

Hanscana na campos-5

Hanscana ameandika kwenye Instagram:

Is 1year of Moyoni video by NAVYKENZO Ilitoka 28 NOV 2014 Kuanzia hapo ndio maana nipo hapa. Video ilifanyika kwa changamoto nyiiiingi sana na kubwa zaidi Clip zote tulizoshoot 1st day zilipotea dah. Ilikuwa ni changamoto kubwa sana ut tukarudia kushoot tena na ikawa super zaidi hata ya iliyopotea. Nili edit 1st cut then nikawaonesha Aika na Nahreel....

 

10 years ago

Bongo5

Shaa adai Coke Studio imempa connection kubwa, afanya colabo na Redsan na Chidinma

Msugua Gaga nambari moja nchini, Sarah Kaisi aka Shaa, amedai kuwa kushiriki kwenye msimu wa pili wa kipindi cha Coke Studio Africa kumempa connection kubwa. Shaa ameiambia Bongo5 kuwa hakutegemea kama angeitwa kwenye msimu huu wa pili wa kipindi hicho. “Namshukuru sana Mungu anajua Tanzania tupo wasanii wengi kwahiyo ilikuwa ni furaha sana kupata nafasi […]

 

9 years ago

Bongo5

Tatizo la gharama kubwa za kufanya video linatokana na uwepo wa kampuni moja tu ya kukodisha vifaa — Hanscana

Miaka kadhaa iliyopita waongozaji wa video za muziki Tanzania walikuwa wakikabiliwa na changamoto nyingi, na kubwa ilikuwa ni upatikanaji wa vifaa bora vya kuwezesha utengenezaji wa video nzuri. Muongozaji wa video za muziki Tanzania anayefanya vizuri kwa sasa, Hanscana amesema kuwa kwa sasa vifaa vinapatikana lakini changamoto iliyopo ni gharama kubwa ya kukodisha vifaa hivyo. […]

 

10 years ago

Vijimambo

SNOW KUBWA INAKUJA PWANI YA MASHARIKI YA MAREKANI, ZAIDI YA NDEGE 2,000 ZASITISHA SAFARI ZAKE

Evelina Federyuk Evelina Federyuk (R) shovels snow out of her driveway as her 4 -year-old twin siblings Roman (L) and Lia play during a major snow storm January 12, 2011 in Greenfield, Massachusetts.  A winter storm is dumping over a foot of snow across New England closing most state and local facilities.Theluji ya futi 3 inayitarajiwa kuanguka leo pwani ya mashariki na kuingia katika historia ya tufani za theluji zilizowahi anguka hapo nyuma. Mamlaka ya hali ya hewa walitoa onyo kwa wananchi wanaoishi maeneo ya New Jersey kuelekea Jimbo la Indiana watarajie tufani kubwa ya theluji.

Miji itakayoathirika ni New York City, Boston, Providence, Hartford na Portland kikubwa kilichoelezewa hapa ni upepo mkali utakaoambatana na tufani hii ya theluji watu zaidi ya milioni 28 wataathirika na tufani...

 

10 years ago

Habarileo

Dewji tajiri zaidi Afrika Mashariki

MFANYABIASHARA maarufu nchini, Mohammed `Mo’ Dewji (39), amezidi kupaa kwa utajiri, kiasi cha sasa kuwa ndiye bilionea kijana zaidi katika nchi za Afrika Mashariki, lakini pia akitajwa ndiye bilionea kijana zaidi barani Afrika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jumba refu zaidi Afrika mashariki lafunguliwa TZ

Jengo refu zaidi lililokamilika Afrika Mashariki na kati lazinduliwa nchini Tanzania.

 

9 years ago

BBCSwahili

Soka ya Tanzania iko chini zaidi Afrika mashariki

Licha ya kupanda nafasi nne hadi nambari 136,Tanzania imeorodheshwa ya chini zaidi na shirikisho la soka duniani FIFA katika soka Afrika mashariki.

 

10 years ago

Michuzi

MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI

Na Bakari Issa,Dar es Salaam
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani