Hanscana adai studio ya video anayojenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki
Muongozaji wa video na mshindi wa Tuzo za Watu, Hanscana amesema studio ya video anayoijenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki. Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa ujenzi wa studio hiyo umeanza tayari na unatarajia kukamilika muda wowote. “Studio ninayojenga ni studio kubwa ambayo haijawahi kutokea Afrika Mashariki,” amesema. “Hata ukitaka nije nikuonyeshe studio yangu inavyojenga mwenyewe utakubali. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Oct
Tanzania kujenga bandari kubwa zaidi Afrika Mashariki
9 years ago
Bongo528 Nov
Hanscana adai ‘Moyoni’ ya Navy Kenzo ni video iliyomfungulia njia
![Hanscana na campos-5](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Hanscana-na-campos-5-300x194.jpg)
Muongozaji wa video, Hanscana, ameitaja Moyoni ya Navy Kenzo kuwa ni video iliyomfungulia njia.
Hanscana ameandika kwenye Instagram:
Is 1year of Moyoni video by NAVYKENZO Ilitoka 28 NOV 2014 Kuanzia hapo ndio maana nipo hapa. Video ilifanyika kwa changamoto nyiiiingi sana na kubwa zaidi Clip zote tulizoshoot 1st day zilipotea dah. Ilikuwa ni changamoto kubwa sana ut tukarudia kushoot tena na ikawa super zaidi hata ya iliyopotea. Nili edit 1st cut then nikawaonesha Aika na Nahreel....
10 years ago
Bongo530 Aug
Shaa adai Coke Studio imempa connection kubwa, afanya colabo na Redsan na Chidinma
9 years ago
Bongo514 Sep
Tatizo la gharama kubwa za kufanya video linatokana na uwepo wa kampuni moja tu ya kukodisha vifaa — Hanscana
10 years ago
Vijimambo26 Jan
SNOW KUBWA INAKUJA PWANI YA MASHARIKI YA MAREKANI, ZAIDI YA NDEGE 2,000 ZASITISHA SAFARI ZAKE
![Evelina Federyuk Evelina Federyuk (R) shovels snow out of her driveway as her 4 -year-old twin siblings Roman (L) and Lia play during a major snow storm January 12, 2011 in Greenfield, Massachusetts. A winter storm is dumping over a foot of snow across New England closing most state and local facilities.](http://www2.pictures.zimbio.com/gi/Evelina+Federyuk+East+Coast+Snow+Storm+Brings+XQ-Fvt_2Gq5l.jpg)
Miji itakayoathirika ni New York City, Boston, Providence, Hartford na Portland kikubwa kilichoelezewa hapa ni upepo mkali utakaoambatana na tufani hii ya theluji watu zaidi ya milioni 28 wataathirika na tufani...
10 years ago
Habarileo14 Nov
Dewji tajiri zaidi Afrika Mashariki
MFANYABIASHARA maarufu nchini, Mohammed `Mo’ Dewji (39), amezidi kupaa kwa utajiri, kiasi cha sasa kuwa ndiye bilionea kijana zaidi katika nchi za Afrika Mashariki, lakini pia akitajwa ndiye bilionea kijana zaidi barani Afrika.
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Jumba refu zaidi Afrika mashariki lafunguliwa TZ
9 years ago
BBCSwahili03 Oct
Soka ya Tanzania iko chini zaidi Afrika mashariki
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....