Tatizo la gharama kubwa za kufanya video linatokana na uwepo wa kampuni moja tu ya kukodisha vifaa — Hanscana
Miaka kadhaa iliyopita waongozaji wa video za muziki Tanzania walikuwa wakikabiliwa na changamoto nyingi, na kubwa ilikuwa ni upatikanaji wa vifaa bora vya kuwezesha utengenezaji wa video nzuri. Muongozaji wa video za muziki Tanzania anayefanya vizuri kwa sasa, Hanscana amesema kuwa kwa sasa vifaa vinapatikana lakini changamoto iliyopo ni gharama kubwa ya kukodisha vifaa hivyo. […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo517 Nov
Hanscana ataja gharama ya video mpya ya Avril ‘ No Stress’ na mtu aliyewakutanisha
![Avril bts](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Avril-bts-300x194.jpg)
Video mpya ya Avril wa Kenya aliyomshirikisha AY ‘No Stress’ iliyoongozwa na director wa Tanzania, Hanscana imepata mapokezi mazuri kutoka kwa mashabiki wa muziki walioisifia toka siku ya kwanza ilipowekwa Youtube November 15, 2015.
Uzuri na ubora wa video hiyo umebebwa na uwezo na ubunifu wa director na timu nzima iliyohusika, pamoja na bajeti ya kuridhisha iliyotumika katika kuandaa video hiyo iliyoshutiwa Dar.
Hanscana ameiambia Bongo5 kuwa video pekee, kwa maana ya ku-design location,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ixQ2_eQwmx4/VagRdKNP3QI/AAAAAAAHqJ8/b9U-PIM7CaE/s72-c/001.jpg)
KAMPUNI YA LAFARGE NA HOLCIM ZAUNDA KAMPUNI MOJA YA LAFARGEHOLCIM, ITAKAYOSHUGHULIKA NA VIFAA VYA UJENZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ixQ2_eQwmx4/VagRdKNP3QI/AAAAAAAHqJ8/b9U-PIM7CaE/s320/001.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kJU4H4ojsao/VagSXLwSpEI/AAAAAAAHqKI/PY-GiQ3gOfU/s640/002.jpg)
Kampuni mbili zinazoongoza katika sekta ya ujenzi hapa nchini, Lafarge S.A. na Holcim Ltd zimekamilisha muungano wao uliosubiriwa kwa muda mrefu na kuunda kampuni moja itakayo fahamika kwa jina la LafargeHolcim.
Vigezo...
9 years ago
Bongo507 Oct
Hanscana adai studio ya video anayojenga itakuwa kubwa zaidi Afrika Mashariki
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gBpBKzuJkxg/UzWi99axNLI/AAAAAAAFXC0/1-e_p57UPL8/s72-c/unnamed+(58).jpg)
JUST IN: KAMPUNI KUBWA ZA UJEZI ZA UTURUKI ZAVUTIWA KUFANYA KAZI TANZANIA
9 years ago
Michuzi29 Aug
9 years ago
Bongo530 Nov
Nikki Wa Pili: Najipanga kufanya video kubwa ya ‘Baba Swalehe’ na director mkubwa wa nje
![Nikk](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Nikk-300x194.jpg)
Baada ya Joh Makini kufanya video mbili (Nusu Nusu na Don’t Bother), na G-Nako kufanya video moja (Original) Afrika Kusini na muongozaji Justin Campos, sasa ni zamu ya Nikki kufanya video na muongozaji huyo ambaye ameonekana kukubalika sana na wasanii wengi wa Bongo wanaomkimbilia kufanya naye kazi kwa sasa.
Rapa wa Weusi Nikki Wa Pili ameieleza Bongo5 kuwa anajiandaa kufanya video kubwa ya wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’, na mpango wake ni kufanya na director wa nje.
“Baba Swalehe’...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-p5djVPPO6S8/VH2lzb6dj_I/AAAAAAAG0x8/ytOFBXv2XWc/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-12-02%2Bat%2B2.41.44%2BPM.png)
KAMPUNI YA BRITAM YAONGEZA UWEPO WAKE KATIKA SOKO LA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-p5djVPPO6S8/VH2lzb6dj_I/AAAAAAAG0x8/ytOFBXv2XWc/s1600/Screen%2BShot%2B2014-12-02%2Bat%2B2.41.44%2BPM.png)
Kufutia hatua hiyo Kampuni ya REAL itakuwa na wigo mpana wa kutoa huduma za bima zikiwemo bima za Afya na Bima za maisha ambazo tayari kampuni ya Britam imekuwa ikitoa kwa muda mrefu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Muungano huu utaboresha huduma...
9 years ago
Bongo523 Dec
Tatizo kubwa la kiafya la Chege lilikaribia kutia doa utengenezaji wa video yake ya Sweety Sweety Afrika Kusini
![CHEGE-NEW](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/CHEGE-NEW-300x194.jpg)
Chege amesimulia changamoto kubwa iliyompata wakati akishoot video ya wimbo wake Sweety Sweety nchini Afrika Kusini na director Justin Campos.
Chege ameiambia Bongo5 kuwa moja ya changamoto kubwa iliyomkuta ni kupata maumivu ya kiuno hali ambayo ilisababisha kusitishwa kwa shughuli hiyo.
“Kuna ile short ya kwanza kabisa nilipata tatizo la maumivu ya kiuno, kilikuwa kinauma sana ikabidi tupumzike na director akanipa dawa,” amesema.
“Lakini nashukuru Mungu baada ya muda fulani kikapoa na...
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA RITHT HERE NCHINI IMEPATA MWEKEZAJI MPYA NA KUPATA UBIA NA KAMPUNI KUBWA YA KIMATAIFA.
Kampuni ya matangazo ya FLAMETREE iliyojikita Africa mashariki sasa imezinduliwa upya na kupewa jina jipya la RIGHT HERE TANZANIA, mabadiliko haya yametokana na kuingia kwa mwekezaji mpya wa kimataifa ambaye ameonyesha nia ya dhati ya kuwekeza kwenye kampuni hii kufuatia utendaji mzuri aliouona kwenye kampuni hiyo na kuamua kuongeza nguvu zaidi katika kuinua utendaji, uwekezaji huu unatarajiwa kuongeza tija na muamko wa wafanyakazi na wateja wao. Kufuatia mabadiliko haya sasa kampuni ya...