Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tatizo kubwa la kiafya la Chege lilikaribia kutia doa utengenezaji wa video yake ya Sweety Sweety Afrika Kusini

CHEGE-NEW

Chege amesimulia changamoto kubwa iliyompata wakati akishoot video ya wimbo wake Sweety Sweety nchini Afrika Kusini na director Justin Campos.

CHEGE-NEW

Chege ameiambia Bongo5 kuwa moja ya changamoto kubwa iliyomkuta ni kupata maumivu ya kiuno hali ambayo ilisababisha kusitishwa kwa shughuli hiyo.

“Kuna ile short ya kwanza kabisa nilipata tatizo la maumivu ya kiuno, kilikuwa kinauma sana ikabidi tupumzike na director akanipa dawa,” amesema.

“Lakini nashukuru Mungu baada ya muda fulani kikapoa na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Chege Feat.Runtown & Uhuru – Sweety sweety

CHEGE-NEW

Video mpya kutoka kwa msanii toka Temeke Dar es Salaam, Chege amewashirikisha Uhuru na Runtown wimbo unaitwa “Sweety Sweety” angalia hapa, Video imeongozwa na Justin Campos wa South Africa.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

MillardAyo

Dakika 4 za ‘Sweety Sweety’ iliyoletwa na Chege kutoka South Africa, Feat. Uhuru & Runtown.. (+Video)

Inawezekana kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015 pamoja na shughuli za uchaguzi wenyewe vilifanya wasanii wengi wakakaa zao na mizigo ya ngoma kali chimbo ili kusubiri hali ikae sawa ndio vitu viachiwe. Chege nae alikuwa chimbo na mzigo wa bondeni nini ??!! Kama umeshtukia ni kwamba mawimbi ya radio TZ yamepakua ngoma mpya karibu kila siku […]

The post Dakika 4 za ‘Sweety Sweety’ iliyoletwa na Chege kutoka South Africa, Feat. Uhuru & Runtown.. (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

Africanjam.Com

NEW VIDEO: CHEGE ft. RUNTOWN & UHURU - SWEETY SWEETY (Official Video)



Published on Dec 18, 2015Watch and share , brand new music video "Sweety sweety" by Tanzania bongo flava artist Chege Featuring artist from Nigeria Runtown and Uhuru from South Africa xelimpilo.
Directed by Justin Campos | Produced by Dj Maphorisa.
Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from...

 

9 years ago

Global Publishers

9 years ago

Bongo5

Music: Chege Ft. Runtown & Uhuru – Sweety Sweety

sweety sweety

Msanii kutoka TMK Chege Chigunda ameachia rasmi single yake mpya inaitwa “Sweety Sweety” amewashirikisha Runtown kutoka Nigeria na Uhuru kutoka South Afrika. Producer Dj Maphorisa.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Video mpya ya Chege ‘Sweety Sweety’ yaanza kuinyemelea chati ya MTV Base

chege nw

Ni ndoto za kila msanii anayewekeza pesa zake kwenda kufanya video nje ya nchi na waongozaji wa nje kuona video yake inampigisha hatua moja mbele, moja wapo ikiwa ni kuchezwa kwenye vituo vikubwa vya nje.

chege nw

Chege ni miongoni mwa wasanii walioachia video mpya hivi karibuni, na video yake ya ‘Sweety Sweety’ iliyoongozwa na Justin Campos wa kampuni ya Gorilla Films baada ya kupata airplay kwenye kituo cha MTV Base kwa siku 12 imeanza kunusa chati ya nyimbo bora za Afrika za kituo hicho wiki hii...

 

10 years ago

Bongo5

Chege adai kushoot video yake Afrika Kusini hakumaanishi Tanzania hakuna maeneo mazuri

Muimbaji wa TMK Wanaume Family, Chege Chigunda amedai kuwa uamuzi wake na Temba kwenda kufanya video yao ‘Kaunyaka’ nchini Afrika Kusini, hakumaanishi kuwa Tanzania haina maeneo mazuri ya kufanya video bali waliamua kufanya hivyo ili kupata kitu tofauti. Akiongea na East Africa Radio hivi karibuni, Chege amemtolea mfano msanii wa Marekani, John Legend aliyeamua kwenda […]

 

11 years ago

Bongo5

Picha 10 za utengenezaji wa video ya Feza Kessy ‘My papa’, Afrika Kusini

Aliyekuwa mshiriki wa Tanzania katika shindano la Big Brother mwaka jana, Feza Kessy ameshoot video ya wimbo wake mpya ‘My Papa’ aliouachia radioni mwezi April mwaka huu. Video hiyo inayotarajiwa kutoka 08.08.2014 imeshutiwa nchini Afrika Kusini na director aitwaye Kyle White. Models watakaoonekana kwenye video hiyo ni pamoja na Mtanzania aitwaye Daxx, Tandi wa Afrika […]

 

9 years ago

Bongo5

BTS za utengenezaji wa video tofauti za Ben Pol na Mwana FA Afrika Kusini (Picha)

11925676_463374680501587_1567968702_n

Ben Pol na Mwana FA wote wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kushoot video zao.

11925676_463374680501587_1567968702_n
Ben Pol akiwa kwenye moja ya scene za video yake

Ben ameendelea kushoot video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ aliowashiriki Avril na Rossie M.

11421986_522616981241607_718948242_n
Ben Pol na Rossie M wakiwa location huku Justin Campos akiendelea na kazi yake

Muimbaji huyo amemaliza kufanya video hiyo Jumapili hii akimtumia muongozaji wa nchini humo, Justin Campos wa Gorilla Films. Avril wa Kenya hakuonekana kwenye location hizo.

11419262_1157084614313211_1074544956_n
12063219_1642635846024710_765721299_n

12230784_1720278058206242_744544065_n
Timu nzima...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani