NEW VIDEO: CHEGE ft. RUNTOWN & UHURU - SWEETY SWEETY (Official Video)
Published on Dec 18, 2015Watch and share , brand new music video "Sweety sweety" by Tanzania bongo flava artist Chege Featuring artist from Nigeria Runtown and Uhuru from South Africa xelimpilo.
Directed by Justin Campos | Produced by Dj Maphorisa.
Africanjam is website that was launched in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo519 Dec
Video: Chege Feat.Runtown & Uhuru – Sweety sweety

Video mpya kutoka kwa msanii toka Temeke Dar es Salaam, Chege amewashirikisha Uhuru na Runtown wimbo unaitwa “Sweety Sweety” angalia hapa, Video imeongozwa na Justin Campos wa South Africa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Dakika 4 za ‘Sweety Sweety’ iliyoletwa na Chege kutoka South Africa, Feat. Uhuru & Runtown.. (+Video)
Inawezekana kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015 pamoja na shughuli za uchaguzi wenyewe vilifanya wasanii wengi wakakaa zao na mizigo ya ngoma kali chimbo ili kusubiri hali ikae sawa ndio vitu viachiwe. Chege nae alikuwa chimbo na mzigo wa bondeni nini ??!! Kama umeshtukia ni kwamba mawimbi ya radio TZ yamepakua ngoma mpya karibu kila siku […]
The post Dakika 4 za ‘Sweety Sweety’ iliyoletwa na Chege kutoka South Africa, Feat. Uhuru & Runtown.. (+Video) appeared first on...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
9 years ago
Bongo522 Dec
Music: Chege Ft. Runtown & Uhuru – Sweety Sweety

Msanii kutoka TMK Chege Chigunda ameachia rasmi single yake mpya inaitwa “Sweety Sweety” amewashirikisha Runtown kutoka Nigeria na Uhuru kutoka South Afrika. Producer Dj Maphorisa.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Bongo523 Dec
Tatizo kubwa la kiafya la Chege lilikaribia kutia doa utengenezaji wa video yake ya Sweety Sweety Afrika Kusini

Chege amesimulia changamoto kubwa iliyompata wakati akishoot video ya wimbo wake Sweety Sweety nchini Afrika Kusini na director Justin Campos.
Chege ameiambia Bongo5 kuwa moja ya changamoto kubwa iliyomkuta ni kupata maumivu ya kiuno hali ambayo ilisababisha kusitishwa kwa shughuli hiyo.
“Kuna ile short ya kwanza kabisa nilipata tatizo la maumivu ya kiuno, kilikuwa kinauma sana ikabidi tupumzike na director akanipa dawa,” amesema.
“Lakini nashukuru Mungu baada ya muda fulani kikapoa na...
9 years ago
Bongo530 Dec
Video mpya ya Chege ‘Sweety Sweety’ yaanza kuinyemelea chati ya MTV Base

Ni ndoto za kila msanii anayewekeza pesa zake kwenda kufanya video nje ya nchi na waongozaji wa nje kuona video yake inampigisha hatua moja mbele, moja wapo ikiwa ni kuchezwa kwenye vituo vikubwa vya nje.
Chege ni miongoni mwa wasanii walioachia video mpya hivi karibuni, na video yake ya ‘Sweety Sweety’ iliyoongozwa na Justin Campos wa kampuni ya Gorilla Films baada ya kupata airplay kwenye kituo cha MTV Base kwa siku 12 imeanza kunusa chati ya nyimbo bora za Afrika za kituo hicho wiki hii...
10 years ago
Africanjam.Com
VIDEO: Runtown - The Banger [Official Video] ft. Uhuru

Directed by Justin Campos, the club banger is an interesting tune that features catchy and energetic dancing.
10 years ago
Vijimambo
9 years ago
Bongo525 Nov
Chege kuitambulisha video ya ngoma aliyofanya na Runtown, SA na Nigeria

Chege Chigunda amesafiri kuelekea nchini Afrika Kusini na baadaye ataelekea Nigeria ili kuweka mazingira mazuri ya kuanza kuitambulisha video ya wimbo aliomshirikisha Runtown wa Nigeria.
Meneja wa TMK Wanaume Family, Said Fella ameiambia Bongo5 kuwa video na wimbo huo kwa hapa nyumbani vitaachiwa December 4.
“Chege yupo South kwaajili ya ile kazi na Runtown,” amesema Fella.
“Hapa nyumbani itatambulishwa tarehe 4 lakini hivi karibuni Chege ataanza kuitambulisha South Africa na...