Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha 10 za utengenezaji wa video ya Feza Kessy ‘My papa’, Afrika Kusini

Aliyekuwa mshiriki wa Tanzania katika shindano la Big Brother mwaka jana, Feza Kessy ameshoot video ya wimbo wake mpya ‘My Papa’ aliouachia radioni mwezi April mwaka huu. Video hiyo inayotarajiwa kutoka 08.08.2014 imeshutiwa nchini Afrika Kusini na director aitwaye Kyle White. Models watakaoonekana kwenye video hiyo ni pamoja na Mtanzania aitwaye Daxx, Tandi wa Afrika […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

New Video: Feza Kessy — My Papa

Feza Kessy ameachia video ya wimbo wake My Papa iliyofanyika nchini Afrika Kusini. Kuwa wa kwanza kuiona hapa.

 

11 years ago

Michuzi

Exclusibve: Behind the scene shooting of Feza Kessy's new music video "My Papa"

 The video was done in South Africa by Director Kyle White,It also features Tanzanian model Daxx, Tandi model from South Africa and Lexi who participated in the Big brother South Africa. Lexi ,Feza and Tandi on Location -Northcliff JBFeza being made up on Location JAB GYM, JohannesburgSouth African Police at the airport they are just FansFor more photos CLICK HERE

 

9 years ago

Bongo5

BTS za utengenezaji wa video tofauti za Ben Pol na Mwana FA Afrika Kusini (Picha)

11925676_463374680501587_1567968702_n

Ben Pol na Mwana FA wote wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kushoot video zao.

11925676_463374680501587_1567968702_n
Ben Pol akiwa kwenye moja ya scene za video yake

Ben ameendelea kushoot video ya wimbo wake ‘Ningefanyaje’ aliowashiriki Avril na Rossie M.

11421986_522616981241607_718948242_n
Ben Pol na Rossie M wakiwa location huku Justin Campos akiendelea na kazi yake

Muimbaji huyo amemaliza kufanya video hiyo Jumapili hii akimtumia muongozaji wa nchini humo, Justin Campos wa Gorilla Films. Avril wa Kenya hakuonekana kwenye location hizo.

11419262_1157084614313211_1074544956_n
12063219_1642635846024710_765721299_n

12230784_1720278058206242_744544065_n
Timu nzima...

 

10 years ago

Habarileo

`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m

MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.

 

9 years ago

Bongo5

Tatizo kubwa la kiafya la Chege lilikaribia kutia doa utengenezaji wa video yake ya Sweety Sweety Afrika Kusini

CHEGE-NEW

Chege amesimulia changamoto kubwa iliyompata wakati akishoot video ya wimbo wake Sweety Sweety nchini Afrika Kusini na director Justin Campos.

CHEGE-NEW

Chege ameiambia Bongo5 kuwa moja ya changamoto kubwa iliyomkuta ni kupata maumivu ya kiuno hali ambayo ilisababisha kusitishwa kwa shughuli hiyo.

“Kuna ile short ya kwanza kabisa nilipata tatizo la maumivu ya kiuno, kilikuwa kinauma sana ikabidi tupumzike na director akanipa dawa,” amesema.

“Lakini nashukuru Mungu baada ya muda fulani kikapoa na...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA FEZA KESSY YAYEYUKA

Stori: Laurent Samatta
Habari mbaya! Mpenzi msomaji tunasikitika kukujuza kwamba ile ndoa iliyosubiriwa kwa hamu kubwa imeyeyuka baada ya uchumba wa staa wa Bongo Fleva aliyeiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’, Feza Kessy na jamaa kutoka Botswana, Oneal umeanguka chali. Staa wa Bongo Fleva aliyeiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’,...

 

10 years ago

Africanjam.Com

NEW MUSIC: SANUKA - FEZA KESSY ft. CHEGE (DOWNLOAD)



Africanjam is website that came into service December 2013(with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Technology tips and some Amazing Facts. We also provide Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in...

 

10 years ago

GPL

FEZA KESSY AMTAKA STTI MTEMVU KUACHIA TAJI

Stori: Mwandishi wetu
MSHIRIKI wa shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Feza Kessy, amemtaka mshindi wa taji la Miss Tanzania 2014, Sitti Mtemvu kuachia ngazi kama kweli madai dhidi yake yanamgusa nafsi yake. Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Feza Kessy. “Yeye ndiye anajua ukweli, arudishe kiroho safi, tumche Mungu, katika maisha haya, hasa katika tasnia ya burudani,...

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA ZA DIAMOND NA WAJE WAKISHUTI VIDEO YA COLLABO MJINI CAPE TOWN NCHINI AFRIKA KUSINI

Diamond Platnumz ameamua kusafiri hadi jijini Cape Town, Afrika Kusini kimya kimya kwenda kushoot video ya wimbo alioshirikishwa na msanii wa Nigeria, Waje.Diamond na Waje Video hiyo imefanyika kwenye fukwe za bahari ya Atlantic jijini Cape Town.Diamond alipost picha hii kwenye Instagram bila kusema chochote ni wapi alipoipigiaDiamond na Waje wakiwa locationPicha hii iliweka Instagram na Jesse Ebuka Okoli aliyeandika:On set yesterday with the ever amazing @officialwaje ft diamond #Coco baby...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani