Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m

MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

Alikiba kutumbuiza jukwaa moja na Mafikizolo, Black motion, Beatenberg na Sauti soul tarehe 15 August

ali

Kingkiba au Alikiba ataperfom jukwaa moja kwa mara ya kwanza na kundi la wasanii wakubwa kutoka Afrika kusini Mafikizolo, Black Motion, Beatenberg, Sol M na Kenya number one music group Sauti soul, Jumamosi ya wiki ijayo tarehe 15 Agust kwenye Tamasha la ‘Party at the Park’  litakalofanyika The Green, Oysterbay, Kenyatta Drive.

 

10 years ago

Dewji Blog

Alikiba ,Mafikizolo, Black motion, Sauti soul ndani ya jukwaa moja leo katika Party at the Park!

aliMpango mzima wa shoo ya leo hii ndio huu hapa..

Na Andrew Chale wa modewjiblog

(Kinondoni Dar es Salaam). Jiji la Dar es Salaam na viunga vyake siku ya leo lipo katika pilikapilika za burudani za hapa na pale huku kubwa ni pamoja na shoo moja kabambe ya ‘PARTY AT HE PARK’ itakayofanyika The Green, Oysterbay, Kenyatta Drive itakayowakutanisha kwa mara ya kwanza Mfalme wa muziki Bongo

Ali Kiba au KingKiba ambaye ataangusha shoo kali kwa mara ya kwanza  jukwaa moja na kundi la wasanii wakubwa...

 

10 years ago

Habarileo

Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar

MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la muziki la Party in the Park litakalofanyika Jumamosi jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Sauti Sol, Mafikizolo wakonga Dar

KUNDI la Mafikizolo kutoka Afrika Kusini pamoja na kundi la Sauti Sol kutoka Kenya juzi walizikonga nyoyo za mashabiki wao katika tamasha la Party in the Park lililofanyika Oysterbay, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na mastaa wa Afrika akiwemo Wizkid, Davido, AKA, K.O kwenye tamasha la ‘AMC 2015′ Afrika Kusini

Vanessa Mdee a.k.a Vee Money anaendelea kupata mashavu ya kimataifa, ambapo hivi sasa ataiwakilisha Bongo katika tamasha la ‘African Music Concert’ 2015 (AMC) linalotarajiwa kufanyika October 24, 2015 Johannesburg, Afrika Kusini. Hit maker wa ‘No Body But Me’ atashare jukwaa na mastaa wengine wa Afrika akiwemo Wizkid, Davido, Uhuru, A.K.A, K.O, RunTown, Victoria Kimani, Dama […]

 

9 years ago

Bongo5

Linah na Feza Kessy kupanda jukwaa moja na Davido, Iyanya Lagos

12301250_207304429604231_67909760_n

Feza Kessy na Linah watapanda jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015 Ijumaa hii.

12301250_207304429604231_67909760_n

Msanii wa Kenya, Victoria Kimani naye atatumbuiza.

“Nigeria I hope your ready cos Ive been so ready. Tanzanian angels about to rock Lagos soon. Ayeee,” ameandika Feza kwenye Instagram.

Shilole pia ameongoza na wasanii hao japo haijulikani kama naye atatumbuiza.

12357796_1532490560405730_1494566873_n
Feza akiwa na meneja wa Panamusiq Doreen Estazia

Jiunge na...

 

9 years ago

Michuzi

Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido nchini Nigeria

 Na Mwandishi wetu
Wanamuziki nyota wa bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy  ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na  Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama  Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanamuziki wa Afrika Kusini Bo Denim ‘Bo’ kutumbuiza Tamasha la Karibu Music Festival 2015

bo

Na Andrew Chale, Modewjiblog

Mwanamuziki nyota wa na balozi wa kutetea haki za watoto nchini Afrika Kusini Bo Denim  ‘Bo’ kutoka Afrika Kusini ametajwa kuwa miongoni mwa wasanii wanaotarajia kutumbuiza katika tamasha kubwa la Kimataifa la Muziki la ‘Karibu Music Festival’ linaloratibiwa na Karibu Cultural Promotions Organization (KCPO) na Legendary Music Entertainment and Promotions Co. Ltd. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa tamasha hilo, Amarido Charles  kupitia kurasa zake za mitandao ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani