Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Alikiba kutumbuiza jukwaa moja na Mafikizolo, Black motion, Beatenberg na Sauti soul tarehe 15 August

ali

Kingkiba au Alikiba ataperfom jukwaa moja kwa mara ya kwanza na kundi la wasanii wakubwa kutoka Afrika kusini Mafikizolo, Black Motion, Beatenberg, Sol M na Kenya number one music group Sauti soul, Jumamosi ya wiki ijayo tarehe 15 Agust kwenye Tamasha la ‘Party at the Park’  litakalofanyika The Green, Oysterbay, Kenyatta Drive.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Alikiba ,Mafikizolo, Black motion, Sauti soul ndani ya jukwaa moja leo katika Party at the Park!

aliMpango mzima wa shoo ya leo hii ndio huu hapa..

Na Andrew Chale wa modewjiblog

(Kinondoni Dar es Salaam). Jiji la Dar es Salaam na viunga vyake siku ya leo lipo katika pilikapilika za burudani za hapa na pale huku kubwa ni pamoja na shoo moja kabambe ya ‘PARTY AT HE PARK’ itakayofanyika The Green, Oysterbay, Kenyatta Drive itakayowakutanisha kwa mara ya kwanza Mfalme wa muziki Bongo

Ali Kiba au KingKiba ambaye ataangusha shoo kali kwa mara ya kwanza  jukwaa moja na kundi la wasanii wakubwa...

 

10 years ago

Habarileo

`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m

MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.

 

10 years ago

Habarileo

Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar

MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la muziki la Party in the Park litakalofanyika Jumamosi jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na Awilo, Iyanya, Burna Boy, Nigeria mwezi ujao

Miongoni mwa wasanii wa muziki wa kike wanaofanya vizuri kwa sasa hapa Tanzania ni pamoja na Vanessa “Vee Money” Mdee. Juhudi zake zimemsababisha kwa muda mfupi aliokuwepo kwenye muziki kuanza kupata deals kubwa za makampuni, matangazo, na video zake kuchezwa kwenye vituo vikubwa vya TV za nje na sasa milango ya shows za nje inaendelea […]

 

10 years ago

Bongo5

Wyclef Jean kutumbuiza jukwaa moja na Shaa, Chidinma kwenye finali za Coke Studio, Kenya Jumamosi hii

Member wa kundi la miaka ya 90 Fugees, Wyclef Jean anatarajiwa kuwa nchini Kenya weekend hii, ambapo atatumbuiza kwenye jukwaa moja na wasanii wengine wa Africa akiwemo Shaa kutoka Tanzania, katika fainali za msimu wa pili wa Coke Studio Africa. Wasanii wengine wa Afrika watakaotumbuiza kwenye fainali hizo ni pamoja na Chidinma wa Nigeria, Navio […]

 

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol kupanda jukwaa moja na Beyonce, Usher kwenye Global Citizen Festival

Kundi la Sauti Sol la nchini Kenya litapanda kutumbuiza kwenye jukwaa moja na wasanii wakubwa wa Marekani akiwemo Beyonce kwenye Global Citizen Festival itakayofanyika Jumamosi hii jijini New York. Wasanii wengine watakaotumbuiza ni pamoja na Usher, Common na Tori Kelly. Kwenye tamasha hilo mastaa wengine watakaoshiriki ni muigizaji wa filamu, Leonardo DiCaprio, Bono, mshindi wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na mastaa wa Afrika akiwemo Wizkid, Davido, AKA, K.O kwenye tamasha la ‘AMC 2015′ Afrika Kusini

Vanessa Mdee a.k.a Vee Money anaendelea kupata mashavu ya kimataifa, ambapo hivi sasa ataiwakilisha Bongo katika tamasha la ‘African Music Concert’ 2015 (AMC) linalotarajiwa kufanyika October 24, 2015 Johannesburg, Afrika Kusini. Hit maker wa ‘No Body But Me’ atashare jukwaa na mastaa wengine wa Afrika akiwemo Wizkid, Davido, Uhuru, A.K.A, K.O, RunTown, Victoria Kimani, Dama […]

 

10 years ago

Michuzi

Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.


  Mwanamuziki kutoka nchini Marekani ajulikanae kwa jina la Kisanii T.I akizungumza na Waandishi wa Habari jioni ya leo kwenye moja ya ukumbi wa Sea Cliff hotel jijini Dar kuhusiana na onesho lake la kwanza atakalotumbuiza katika viwanja vya leaders Club,jijini Dar katika tamasha la Fiesta 2014,ambalo hufanyika kila mwaka mara moja,chini ya waandaji bingwa wa burudani hapa nchini kampuni ya Prime Time Promotions Lts sambamba na Clouds Media Group.. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya...

 

9 years ago

Habarileo

Sauti Sol, Mafikizolo wakonga Dar

KUNDI la Mafikizolo kutoka Afrika Kusini pamoja na kundi la Sauti Sol kutoka Kenya juzi walizikonga nyoyo za mashabiki wao katika tamasha la Party in the Park lililofanyika Oysterbay, Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani