Sauti Sol kupanda jukwaa moja na Beyonce, Usher kwenye Global Citizen Festival
Kundi la Sauti Sol la nchini Kenya litapanda kutumbuiza kwenye jukwaa moja na wasanii wakubwa wa Marekani akiwemo Beyonce kwenye Global Citizen Festival itakayofanyika Jumamosi hii jijini New York. Wasanii wengine watakaotumbuiza ni pamoja na Usher, Common na Tori Kelly. Kwenye tamasha hilo mastaa wengine watakaoshiriki ni muigizaji wa filamu, Leonardo DiCaprio, Bono, mshindi wa […]
Bongo5
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania