Alikiba ,Mafikizolo, Black motion, Sauti soul ndani ya jukwaa moja leo katika Party at the Park!
Mpango mzima wa shoo ya leo hii ndio huu hapa..
Na Andrew Chale wa modewjiblog
(Kinondoni Dar es Salaam). Jiji la Dar es Salaam na viunga vyake siku ya leo lipo katika pilikapilika za burudani za hapa na pale huku kubwa ni pamoja na shoo moja kabambe ya ‘PARTY AT HE PARK’ itakayofanyika The Green, Oysterbay, Kenyatta Drive itakayowakutanisha kwa mara ya kwanza Mfalme wa muziki Bongo
Ali Kiba au KingKiba ambaye ataangusha shoo kali kwa mara ya kwanza jukwaa moja na kundi la wasanii wakubwa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM04 Aug
Alikiba kutumbuiza jukwaa moja na Mafikizolo, Black motion, Beatenberg na Sauti soul tarehe 15 August
Kingkiba au Alikiba ataperfom jukwaa moja kwa mara ya kwanza na kundi la wasanii wakubwa kutoka Afrika kusini Mafikizolo, Black Motion, Beatenberg, Sol M na Kenya number one music group Sauti soul, Jumamosi ya wiki ijayo tarehe 15 Agust kwenye Tamasha la ‘Party at the Park’ litakalofanyika The Green, Oysterbay, Kenyatta Drive.
10 years ago
Habarileo09 Aug
`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m
MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.
10 years ago
Habarileo09 Aug
Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar
MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la muziki la Party in the Park litakalofanyika Jumamosi jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido, Iyanya, Kiss Daniel Nigeria leo
Estelina Peter Sanga.
Na Mwandishi wetu
Wanamuziki nyota wa Bongo Fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy leo ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan,...
10 years ago
Dewji Blog24 Dec
Black & White Bash 55th Birthday party ya Asia Idarous Khamsin kufanyika leo ndani ya M.O.G Bar
..Ndani ya M.O.G Bar (Nyumbani Lounge) Desemba 24
Na Andrew Chale
WABUNIFU wa Mavazi wachanga na chipukizi wamemwandalia Sherehe za kuzaliwa ya Mama wa Mitindo, Asia Idarous Khamsin, zitakazofanyika usiku wa leo Desemba 24, ndani ya ukumbi wa M.O.G Bar (Nyumbani Lounge) huku ikisindikizwa na Spice Modern Taarab pamoja na Mini fashion show.
Katika usiku huo maalum, kiingilio ni sh 5,000, huku vazi maalum likiwa Black & White, ambapo pia wadau watakaojumuika na Mama wa Mitindo, watapata...
9 years ago
Bongo528 Sep
Sauti Sol kupanda jukwaa moja na Beyonce, Usher kwenye Global Citizen Festival
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-3WgwXRk4gN8/VnOqXyh_NwI/AAAAAAAINNQ/0WWAjHgnBSg/s72-c/indexM.jpg)
Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido nchini Nigeria
![](http://1.bp.blogspot.com/-3WgwXRk4gN8/VnOqXyh_NwI/AAAAAAAINNQ/0WWAjHgnBSg/s400/indexM.jpg)
Wanamuziki nyota wa bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dUBGrCUuK8TqJyoypDJSVBwLBZTklzucGItpqi**5QYjhHv-GJgj9kl7MT*orIpVDhgr2h1Phnqf*7vzWukYuuetMwaSCPOA/DarLiveA3.jpg?width=750)
SKYLIGHT, YAMOTO BAND NDANI YA JUKWAA MOJA DAR LIVE JUNI 28, 2014
10 years ago
Dewji Blog14 Jan
Diamond Platnumz jukwaa moja na T-PAIN ndani ya CCM Kirumba 21st Februari 2015
Msanii maarufu Nasib Abdul almaarufu kama Diamond Platnumz a.k.a CHIBU DANGOTE anatarajia kufanya bonge la show jukwa moja akiwa na msanii wa maarufu wa Hip hop kutoka nchini Marekani katika show ya kuzaliwa kwa redio JEMBE FM ya jijini Mwanza iliyoandaliwa na STEP UP Ltd kwa kushirikiana na JEMBE NI JEMBE Itakayofanyika kwa mara ya kwanza Jijini Mwanza ndani ya uwanja wa CCM Kirumba tarehe 21st mwezi Februari mwaka huu.
Diamond alipost kupitia ukura wake wa Instagram maneno haya.