Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SKYLIGHT, YAMOTO BAND NDANI YA JUKWAA MOJA DAR LIVE JUNI 28, 2014

Na Nassor Gallu
PATAKUWA hapatoshi katika Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live, uliopo Mbagala-Zakhem pale watakapozishusha bendi mbili zinazosumbua mjini, Skylight pamoja na Yamoto, Jumamosi ya Juni 28, mwaka huu. Bendi ya Skylight na Yamoto Bendi wakiwa katika picha ya pamoja kujiandaa na Funga Kazi ndani ya Dar Live siku ya Jumamosi Juni 28, 2014. Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba, ameliambia Championi Jumatano kuwa,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SKYLIGHT, YAMOTO BAND KUSHUSHA SHOW YA UKWELI NDANI YA DAR LIVE JUNI 28, 2014

Bendi ya Skylight na Yamoto Bendi wakiwa katika picha ya pamoja kujiandaa na Funga Kazi ndani ya Dar Live siku ya Jumamosi 28, 2014. (Picha na Global WhatsApp +255 753 715 779)

 

11 years ago

GPL

YAMOTO NA SKYLIGHT BAND ZAFANYA KUFURU DAR LIVE

Mwanadada Aneth Kushaba wa Skylight Band akiwapagawisha mashabiki wa Dar Live. Yamoto Band chini ya Prezidaa wake, Dodo Aslay (wa pili kulia) wakifanya yao stejini.…

 

10 years ago

Michuzi

FM Academia, Yamoto, Sylight, Mapacha jukwaa moja katika Beach Band Bonanza

BENDI nne nyota nchini, FM Academia, Yamoto, Mapacha na SkyLight zitatumbuiza katika jukwaa moja kwenye tamasha la Beach band Bonanza lililopangwa kufanyika Desemba 20 kwenye ufukwe wa Azura, Kawe darajani.
Bonanza hilo limeandaliwa na kampuni ya Team Mamba na mbali ya bendi hizo nyota, wasanii wa bongo fleva wakiongozwa na Dully Sykes, CPWAA na Damian Soul ambaye atakuja na bendi yake.
Msemaji wa kampuni ya Team Mamba, Doris Godfrey alisema kuwa bonanza hilo lililodhaminiwa Coca-Cola...

 

10 years ago

GPL

TWANGA PEPETA WAKIWASHA MOTO KATIKA UZINDUZI WA YAMOTO BAND NDANI YA DAR LIVE USIKU HUU

Msafiri Diouf 'Lewandowsky' wa Twanga Pepeta akifanya vitu vyake jukwaani kwenye uzinduzi wa Yamoto Band ndani ya Dar Live usiku huu.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Sauti Sol, Skylight Band na Yamoto Band wapagawisha wakazi wa Dar BEAUTY and MUSIC Night!

DSC_0437

Kundi la muziki kutoka nchini Kenya Sauti Sol waking’ara kwenye Red Carpet mwishoni mwa juma kwenye BEAUTY and MUSIC Night uliofanyika kwenye fukwe za Escape One Mikocheni jijini Dar.

DSC_0429

Petit Man (katikati) akishow love na wasanii wa bongo flava waliotumbuiza kwenye usiku huo maalum Kulia ni Mirror na Kushoto ni msanii wa bongo flava Jordan.

DSC_0424

Mwanadada mrembo akishow love mbele ya camera yetu.

DSC_0427

Petit Man Wakuache aking’ara kwenye Red Carpet.

DSC_0434

 Mirror na msanii mwenzake Jordan wakishow love...

 

9 years ago

MillardAyo

Pichaz za Show ya kwanza ya Yamoto Band Dar Live baada ya kutoka Marekani, Kayumba wa BSS na Baby J ndani !!

Baada ya Yamoto Band kumaliza ziara ya Show zao za Marekani wamerudi Bongo na kwa mara ya kwanza baada ya kurudi Tanzania, wameamua kuanza kwa kudondosha burudani ya nguvu katika uwanja wa taifa wa burudani Dar Live Mbagala, Yamoto Band walipiga Show usiku wa December 19 huku wakipewa sapoti na mshindi wa BSS Kayumba pamoja […]

The post Pichaz za Show ya kwanza ya Yamoto Band Dar Live baada ya kutoka Marekani, Kayumba wa BSS na Baby J ndani !! appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Global Publishers

Yamoto Band Hakukaliki Dar Live Leo

YAMOTO.pngHAKAI mtu! Unaweza sema kwa maana nyingine wakati bendi inayokimbiza mjini, Yamoto leo (Desemba 19), itakapoporomosha ngoma mpya na zote zinazobamba ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala Zakhem jijini Dar.

Akizungumza na kona ya Muziki wa Dansi, Mohamed Seif ‘Mudy K’ alisema kuwa kwa mara ya kwanza baada ya kubamba na Ngoma ya Cheza kwa Madoido, Yamoto watatambulisha ngoma yao mpya ijulikanayo kama Imo.

“Mbali na Imo, Yamoto pia watatambulisha nyimbo nyingine mbili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani