Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diamond Platnumz jukwaa moja na T-PAIN ndani ya CCM Kirumba 21st Februari 2015

Diamond-and-Tpain

Msanii maarufu Nasib Abdul almaarufu kama Diamond Platnumz a.k.a CHIBU DANGOTE anatarajia kufanya bonge la show jukwa moja akiwa na msanii wa maarufu wa Hip hop kutoka nchini Marekani katika show ya kuzaliwa kwa redio JEMBE FM ya jijini Mwanza iliyoandaliwa na STEP UP Ltd kwa kushirikiana na JEMBE NI JEMBE Itakayofanyika kwa mara ya kwanza Jijini Mwanza ndani ya uwanja wa CCM Kirumba tarehe 21st mwezi Februari mwaka huu.

Diamond alipost kupitia ukura  wake wa Instagram maneno haya.

Tpain-600x357

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

TAMASHA KUBWA LA UJASIRIAMALI LAZIDI KURINDIMA NDANI YA CCM KIRUMBA, MWANZA

Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers Ltd na Mwalimu wa Ujasiriamali nchini, Eric James Shigongo akiwasalimia wakazi wa Mwanza leo. Eric Shigongo akimkaribisha mkufunzi wa masuala ya ujasiriamali, James Mwang'amba aongee na wakazi wa Mwanza leo.…

 

11 years ago

Bongo5

Picha: Serengeti Fiesta 2014 Mwanza yafana ndani ya uwanja wa CCM Kirumba

Wasanii mbalimbali jana August 9 waliwaburudisha mashabiki wa muziki wao katika tamasha la Serengeti Fiesta jijini Mwanza. Diamond na Linah Miongoni mwa wasanii waliotoa burudani ni pamoja na Stamina,Madee,Dogo Janja,Jokate, Nay wa Mitego,Nyandu Tozi, Mr Blue, Diamond, Chege na Temba na wengine wengi. Hizi ni picha za show hiyo iliyofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba. […]

 

9 years ago

Michuzi

Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido nchini Nigeria

 Na Mwandishi wetu
Wanamuziki nyota wa bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy  ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na  Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama  Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle...

 

11 years ago

GPL

SKYLIGHT, YAMOTO BAND NDANI YA JUKWAA MOJA DAR LIVE JUNI 28, 2014

Na Nassor Gallu
PATAKUWA hapatoshi katika Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live, uliopo Mbagala-Zakhem pale watakapozishusha bendi mbili zinazosumbua mjini, Skylight pamoja na Yamoto, Jumamosi ya Juni 28, mwaka huu. Bendi ya Skylight na Yamoto Bendi wakiwa katika picha ya pamoja kujiandaa na Funga Kazi ndani ya Dar Live siku ya Jumamosi Juni 28, 2014. Meneja wa Skylight Band, Aneth Kushaba, ameliambia Championi Jumatano kuwa,...

 

9 years ago

Global Publishers

Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido, Iyanya, Kiss Daniel Nigeria leo

Linah Sanga

Estelina Peter Sanga.

Na Mwandishi wetu

Wanamuziki nyota wa Bongo Fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy leo ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.

Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Alikiba ,Mafikizolo, Black motion, Sauti soul ndani ya jukwaa moja leo katika Party at the Park!

aliMpango mzima wa shoo ya leo hii ndio huu hapa..

Na Andrew Chale wa modewjiblog

(Kinondoni Dar es Salaam). Jiji la Dar es Salaam na viunga vyake siku ya leo lipo katika pilikapilika za burudani za hapa na pale huku kubwa ni pamoja na shoo moja kabambe ya ‘PARTY AT HE PARK’ itakayofanyika The Green, Oysterbay, Kenyatta Drive itakayowakutanisha kwa mara ya kwanza Mfalme wa muziki Bongo

Ali Kiba au KingKiba ambaye ataangusha shoo kali kwa mara ya kwanza  jukwaa moja na kundi la wasanii wakubwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Kingunge jukwaa moja na Ukawa, asema CCM imeishiwa pumzi

Mwanasiasa mkongwe na miongoni wa waasisi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kingunge Ngombale Mwiru leo amehutubia katika jukwaa la kampeni za Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na kusema chama tawala kimeishiwa pumzi.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND PLATNUMZ NDANI YA GLOBAL TV ONLINE

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akiwa katika pozi ndani ya studio za Global TV Online. Diamond akiweka vizuri kiatu chake kabla ya kuanza mahojiano na Global TV Online hivi punde.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Serengeti FIESTA 2014 leo kutikisa jiji la Mwanza ndani ya viwanja vya CCM Kirumba jijini Mwanza

02 (1)

Mmoja wa wasanii watakaotoa burudani katika matamasha ya mwaka huu ya Serengeti Fiesta, Vanessa Mdee akizungumza wakati wa uzinduzi wa  tamasha la muziki la mwaka huu la Serengeti Fiesta litakaloanza kutimua vumbi leo katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapo. Kushoto kwake ni Meneja wa Bia ya Serengeti, Rodney Rugambo na mmoja wa waratibu wa tamasha hilo, Sebastian Maganga . Fiesta ya mwaka huu inadhaminiwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Premium Lager....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani