Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Linah na Feza Kessy kupanda jukwaa moja na Davido, Iyanya Lagos

12301250_207304429604231_67909760_n

Feza Kessy na Linah watapanda jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015 Ijumaa hii.

12301250_207304429604231_67909760_n

Msanii wa Kenya, Victoria Kimani naye atatumbuiza.

“Nigeria I hope your ready cos Ive been so ready. Tanzanian angels about to rock Lagos soon. Ayeee,” ameandika Feza kwenye Instagram.

Shilole pia ameongoza na wasanii hao japo haijulikani kama naye atatumbuiza.

12357796_1532490560405730_1494566873_n
Feza akiwa na meneja wa Panamusiq Doreen Estazia

Jiunge na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido, Iyanya, Kiss Daniel Nigeria leo

Linah Sanga

Estelina Peter Sanga.

Na Mwandishi wetu

Wanamuziki nyota wa Bongo Fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy leo ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.

Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan,...

 

9 years ago

Michuzi

Linah, Feza Kessy ndani ya jukwaa moja na Davido nchini Nigeria

 Na Mwandishi wetu
Wanamuziki nyota wa bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga maarufu kwa jina la Linah Sanga na Feza Kessy  ijumaa watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival.
Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii nyota wa Nigeria kama, Davido, Kiss Daniel, Iyanya na  Olamide. Katika orodha hiyo wapo wasanii nyota wengine kama  Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle...

 

9 years ago

Mtanzania

Linah, Feza jukwaa moja na Davido Nigeria leo

linNA MWANDISHI WETU

WANAMUZIKI nyota wa Bongo fleva nchini, Estelina Peter Sanga ‘Linah Sanga’ na Feza Kessy, leo watapanda jukwaa moja na nyota kibao wa Nigeria, katika tamasha kubwa la mwaka la muziki lijulikanalo kwa jina la Soundcity Urban Festival, litakalofanyika Lagos, Nigeria.

Tamasha hilo pia litawashirikisha wasanii wakali nchini humo kama vile Davido, Kiss Daniel, Iyanya na  Olamide, huku wengine wakiwa Victoria Kimani, Runtown, Sound Sultan, Lil Kesh, Ycee, Sean Tizzle na...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Davido na Wizkid watumbuiza pamoja kwenye jukwaa moja Lagos

wizkid-davido2

Mastaa wa muziki wa Nigeria, Davido na Wizkid wamethibitisha kumaliza kabisa tofauti zozote zilizowahi kuwepo kati yao, baada ya kutumbuiza pamoja jukwaani kwenye show iliyofanyika Alhamisi Dec.3, 2015 jijini Lagos.

Kwa mujibu wa video iliyosambaa ya show hiyo ya club, Davido ndiye aliyekuwa wa kwanza kupanda jukwaani na kuimba wimbo wake wa ‘Dami Duro’, na wakati wimbo unaelekea kuisha ghafla Wizkid alitokea upande wa mashabiki na kuvutwa mkono na Davido kupanda jukwaani, wakaendelea...

 

10 years ago

Habarileo

`Ushindani wa namba ni mkubwa Azam’ Alikiba, Mafikizolo, Sauti Sol kutumbuiza pamoja Dar Na Mwandishi Wetu MWANAMUZIKI wa Tanzania Alikiba na Feza Kessy watapanda jukwaa moja na wakali Mafikizolo na Black Motion zote za Afrika Kusini katika tamasha la m

MCHEZAJI wa Azam FC, Kelvin Friday amesema ushindani wa namba ni mkubwa katika kikosi chake, hivyo anahitaji kuonesha juhudi ili kufanya vizuri na kuingizwa katika kikosi cha kwanza.

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na Awilo, Iyanya, Burna Boy, Nigeria mwezi ujao

Miongoni mwa wasanii wa muziki wa kike wanaofanya vizuri kwa sasa hapa Tanzania ni pamoja na Vanessa “Vee Money” Mdee. Juhudi zake zimemsababisha kwa muda mfupi aliokuwepo kwenye muziki kuanza kupata deals kubwa za makampuni, matangazo, na video zake kuchezwa kwenye vituo vikubwa vya TV za nje na sasa milango ya shows za nje inaendelea […]

 

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol kupanda jukwaa moja na Beyonce, Usher kwenye Global Citizen Festival

Kundi la Sauti Sol la nchini Kenya litapanda kutumbuiza kwenye jukwaa moja na wasanii wakubwa wa Marekani akiwemo Beyonce kwenye Global Citizen Festival itakayofanyika Jumamosi hii jijini New York. Wasanii wengine watakaotumbuiza ni pamoja na Usher, Common na Tori Kelly. Kwenye tamasha hilo mastaa wengine watakaoshiriki ni muigizaji wa filamu, Leonardo DiCaprio, Bono, mshindi wa […]

 

10 years ago

Vijimambo

SERENGETI FIESTA YAWATAMBULISHA T.I, DAVIDO, VICTORIA KIMANI NA WENGINEO LEO KABLA YA KUPANDA KWENYE JUKWAA LA FIESTA MUDA MFUPI UJAO

Msanii TI akiingia katika Ukumbi wa Bongoyo uliopo katika Hoteli ya Sea Cliff Jijini Dar Es Salaam kwaajili ya kufanya mkutano na waandishi wa Habari kabla ya kupanda kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta muda mfupi ujaoMkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia ya Serengeti, Bw Steve Ganon akiongea na wanahabari leo katika ukumbi wa mikutano wa Bongoyo uliopo katika Hoteli ya Sea Cliff Jijini Dar wakati timu nzima ya Serengeti na Prime Time Promotions ambao ndio waandaaji wa Tamasha la Fiesta walipokuwa...

 

10 years ago

GPL

NDOA YA FEZA KESSY YAYEYUKA

Stori: Laurent Samatta
Habari mbaya! Mpenzi msomaji tunasikitika kukujuza kwamba ile ndoa iliyosubiriwa kwa hamu kubwa imeyeyuka baada ya uchumba wa staa wa Bongo Fleva aliyeiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’, Feza Kessy na jamaa kutoka Botswana, Oneal umeanguka chali. Staa wa Bongo Fleva aliyeiwakilisha Bongo kwenye Shindano la Big Brother Africa 2013 ‘The Chase’,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani