SERENGETI FIESTA YAWATAMBULISHA T.I, DAVIDO, VICTORIA KIMANI NA WENGINEO LEO KABLA YA KUPANDA KWENYE JUKWAA LA FIESTA MUDA MFUPI UJAO
Msanii TI akiingia katika Ukumbi wa Bongoyo uliopo katika Hoteli ya Sea Cliff Jijini Dar Es Salaam kwaajili ya kufanya mkutano na waandishi wa Habari kabla ya kupanda kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta muda mfupi ujao
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia ya Serengeti, Bw Steve Ganon akiongea na wanahabari leo katika ukumbi wa mikutano wa Bongoyo uliopo katika Hoteli ya Sea Cliff Jijini Dar wakati timu nzima ya Serengeti na Prime Time Promotions ambao ndio waandaaji wa Tamasha la Fiesta walipokuwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
T.I, Waje, Ash Hamman na Kimani kuwasili leo Dar kwa ajili Tamasha la Serengeti Fiesta 2014
Baada ya kuzunguka maelfu ya maili, tamasha la Serengeti Fiesta 2014 litafunga ziara yake katika viwanja vya leaders jijini Dar es Salaam kesho kutwa jumamosi.
Rapa wa kimataifa toka Marekani T.I, pamoja na Waje toka Nigeria, Ash Hamman toka Dubai na nyota mwingine wa muziki wa kizazi kipya toka nchini Kenya, Victoria Kimani wanatarajiwa kutua leo nchini kwa ajili kuburudisha katika tamasha la Serengeti Fiesta.
T.I toka Marekani, Waje wa Nigeria, Ash Hamman toka Dubai na Victoria Kimani wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-xPtyBiBFF3c/VEX3WFmZqZI/AAAAAAACR4w/lTpvgLXu5-E/s72-c/IMG_43399519162233.jpeg)
DIAMOND MATATANI KWA KUPANDA JUKWAA LA FIESTA NA MAVAZI YA JWTZ
![](http://2.bp.blogspot.com/-xPtyBiBFF3c/VEX3WFmZqZI/AAAAAAACR4w/lTpvgLXu5-E/s640/IMG_43399519162233.jpeg)
Katika Onyesho hilo lililofanyika kwenye Viwanja vya Leaders Club Kinondoni, mwishoni mwa wiki iliyopita, pia wasanii kadhaa akiwapo Ney wa Mitego pia walipanda jukwaani na wanenguaji wao wakiwa wametinga mavazi kama hayo aliyotinga Diamond.
Kutokana na tukio hilo, Kamanda wa...
10 years ago
GPLDAVIDO AKAMUA SERENGETI FIESTA DAR
10 years ago
Bongo519 Oct
Picha: T.I, Davido, Waje na wengine waacha historia Serengeti Fiesta Dar 2014
10 years ago
Bongo519 Oct
Videos: T.I., Davido, Waje, Diamond na wengine wakitumbuiza kwenye Fiesta Dar
11 years ago
CloudsFM11 Aug
HII NDIYO LIST YA WASANII WATAKAOPAFOMU KWENYE JUKWAA LA FIESTA KAHAMA/BUKOBA.
Baada ya Mwanza kukata utepe wa Serengeti fiesta ya mwaka huu kwa siku ya jumamosi. harakati za kusambaza upendo sasa zinahamia bukoba kwa siku ya ijumaa hii ya tarehe 15 mwezi huu, na kahama ambapo itakuwa siku ya jumapili ya tarehe 17 mwezi huu. sasa nikupe mchongo wa mastaa wako utakaoweza kuwashuhudia; Ommy Dimpoz,
Young Killer,
Barnaba,
Madee,
Jux,
Ney wa Mitego,
Stamina,
Mr. Blue,
Recho,
Linah,
Super Nyota,
Khadija wa Maumivu na
BK sunday. kumbuka, shangwe hili lote utaweza kulifaidi...
10 years ago
Bongo512 Sep
Serengeti Fiesta kufanyika leo Shinyanga
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Ni kivumbi Serengeti Fiesta Musoma leo
BAADA ya kivumbi cha burudani ya Serengeti Fiesta 2014, kutikisa katika mikoa mitano na kuacha simulizi ya aina yake, leo ni zamu ya wakazi wa mji wa Musoma na vitongoji...
10 years ago
Bongo520 Oct
‘Kwaheri Tanzania’ Davido atoa shukrani zake baada ya kutumbuiza kwenye Fiesta!