Ni kivumbi Serengeti Fiesta Musoma leo
BAADA ya kivumbi cha burudani ya Serengeti Fiesta 2014, kutikisa katika mikoa mitano na kuacha simulizi ya aina yake, leo ni zamu ya wakazi wa mji wa Musoma na vitongoji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--W_U7B0HpKw/VAnUuPB7LGI/AAAAAAAGfD8/CzDXpJpWJFg/s72-c/L.jpg)
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2014 MUSOMA LASITISHWA KUFUATIA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/--W_U7B0HpKw/VAnUuPB7LGI/AAAAAAAGfD8/CzDXpJpWJFg/s1600/L.jpg)
Kuaihirishwa huko kunafuatia ajali mbaya na ya aina yake iliyopelekea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Zf7js0lkpBrJugBcamrwRmxt9OhCKB4e-Bt1fvw5nw*JsQ-vyX5rEbOw7hIzNsWpe*Em9MH9B2D3oQ8sVKFB4xlyu7n6hJ-1/recho.jpg)
SERENGETI FIESTA MUSOMA YAFANA
Recho akifungua rasmi dimba la burudani. Wasanii Young Killer na Barnaba (katikati) wakiwa tayari muda mfupi kabla ya kupafomu'. Young Killer akikamua stejini.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08csMAtQ7T*pA58r-UGJ1jGOl2yLVk-QVVR7WQ9zIaI5hKiAEY5Y1DXDDfnPDXaIA4wDLusAYPTQNDZDO7E2aAeMV/breakingnews.gif)
SERENGETI FIESTA YAHARISHWA MUSOMA
Tamasha la Fiesta lililokuwa lifanyike leo Musoma limeahirishwa kutokana na ajali iliyotokea mkoani humo leo na kuua watu zaidi ya 20.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08csMAtQ7T*pA58r-UGJ1jGOl2yLVk-QVVR7WQ9zIaI5hKiAEY5Y1DXDDfnPDXaIA4wDLusAYPTQNDZDO7E2aAeMV/breakingnews.gif)
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA KUFANYIKA KESHO MUSOMA
Mkurugenzi wa Ufundi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba (wa tatu kutoka kushoto mbele) leo amesema Tamasha la Fiesta lililoahirishwa Musoma kutokana na ajali, litafanyika kesho, Jumapili. (PICHA NA MUSA MATEJA /GPL, MUSOMA)
10 years ago
Bongo508 Sep
Picha: Shangwe za Serengeti Fiesta 2014 zatawala Musoma
Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 Musoma lililofanyika usiku wa kuamkia leo Jumatatu (September 7) katika uwanja wa Karume limeacha historia kutokana na shangwe kutoka kwa wasanii mbalimbali ambapo kila mmoja alionyesha uwezo wake mbele ya mashabiki hao. Full shangwe Musoma Tamasha hilo lililoanza saa nne za usiku liliendana sambamba shughuli za maombolezo kwaajili ya watu […]
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ESy03VwS5ZlHLcyb3Rno72OT*glsgoQqQ2zZ8ifOSYX-UZlnuDmIEYuZp1dq1cXW4DUA*xBZYJA1Sr0HrIeEM98hZAvMSrpm/1.jpg?width=650)
SERENGETI FIESTA KAMATA FURSA YAWASISIMUA WAKAZI WA MUSOMA
Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mtahaba akifungua Semina ya Kamata Fursa Jitathimini, Jiamini kisha Jiongeze mapema leo kwenye Ukumbi wa Bwaro la Magereza mjini Musoma. Mkuu wa Mkoa wa Busega, Paul Mzindakaya akiwaonyesha fursa mbalimbali wakazi wa Musoma.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3u3td4YI5Ig-zucN5LYioOaOZRChI7vM*-mabJcsQU1nY3wmgsTLIFUccC*3SGsVXigLtGV-Ummnb5rhJON45kQEFp7x2a*T/MGANGAMKUUAKIPOKEAMSAADAWAWASANIIMUDAMFUPIBAADAYAKWENDAKUWAONAMAJERUHINAWATUWALIOPOTEZAMAISHANDANIYAHOSPITALIYAMUSOMA.jpg?width=6)
WASANII WA SERENGETI FIESTA WATOA MSAADA KWA MAJERUHI WA AJALI MUSOMA
Msanii Shiole na mtangazaji wa Clouds Fm Adam Mchomvu wakikabidhi misaada katika Hospitali ya Mkoa wa Mara kwa ajili ya majeruhi wa ajali iliyotokea mjini Musoma leo. Nay wa Mitego akikabidhi moja…
10 years ago
VijimamboSERENGETI FIESTA YAWATAMBULISHA T.I, DAVIDO, VICTORIA KIMANI NA WENGINEO LEO KABLA YA KUPANDA KWENYE JUKWAA LA FIESTA MUDA MFUPI UJAO
10 years ago
Bongo512 Sep
Serengeti Fiesta kufanyika leo Shinyanga
Baada ya kufanya maonyesho ya kuvutia katika zaidi ya mikoa sita nchini, Serengeti Fiesta inaendelea Ijumaa hii mjini Shinyanga. Onyesho la Serengeti Fiesta mjini humo lilipaswa kufanyika Septemba 6 mwaka huu kwenye Uwanja wa Kambarage, lakini likaahirishwa kutokana na ajali mbaya iliyotokea mkoani Mara ikihusisha magari matatu. Wakazi wengi wa Shinyanga wamefurahia na kuipongeza timu […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania