Serengeti Fiesta kufanyika leo Shinyanga
Baada ya kufanya maonyesho ya kuvutia katika zaidi ya mikoa sita nchini, Serengeti Fiesta inaendelea Ijumaa hii mjini Shinyanga. Onyesho la Serengeti Fiesta mjini humo lilipaswa kufanyika Septemba 6 mwaka huu kwenye Uwanja wa Kambarage, lakini likaahirishwa kutokana na ajali mbaya iliyotokea mkoani Mara ikihusisha magari matatu. Wakazi wengi wa Shinyanga wamefurahia na kuipongeza timu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CWRwFfvur*DOG3SSKLCTR5BVn8RhoHcHnXNI2mmQXkiMlzeMTxvxMHr3eI6tX91HWz6UaM2op1dDFyaSFluG*9nkNNw7PedY/IMG_0554.jpg?width=650)
SERENGETI FIESTA SHINYANGA FUNIKA BOVU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iRGkQSu08csMAtQ7T*pA58r-UGJ1jGOl2yLVk-QVVR7WQ9zIaI5hKiAEY5Y1DXDDfnPDXaIA4wDLusAYPTQNDZDO7E2aAeMV/breakingnews.gif)
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA KUFANYIKA KESHO MUSOMA
10 years ago
VijimamboSERENGETI FIESTA YAWATAMBULISHA T.I, DAVIDO, VICTORIA KIMANI NA WENGINEO LEO KABLA YA KUPANDA KWENYE JUKWAA LA FIESTA MUDA MFUPI UJAO
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Ni kivumbi Serengeti Fiesta Musoma leo
BAADA ya kivumbi cha burudani ya Serengeti Fiesta 2014, kutikisa katika mikoa mitano na kuacha simulizi ya aina yake, leo ni zamu ya wakazi wa mji wa Musoma na vitongoji...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjU8xD8NUlJ9NNq9EcVOa2KsgJLeMrX*6LgHrh2KfqoydOyYh18*kaNu5Jc5FemXXFLrodjjY7TzuUPRyb5ZCW4O/RECHO.jpg?width=650)
SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA KAHAMA USIKU WA KUAMKIA LEO
10 years ago
Tanzania Daima30 Aug
Tamasha la Serengeti Fiesta kuwasha moto Moshi leo
UHONDO wa burudani ya aina yake kutoka kwa wasanii mahiri waliopo katika msafara wa Serengeti Fiesta 2014, leo ni zamu ya wapenzi na mashabiki wa mji wa Moshi na vitongoni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--W_U7B0HpKw/VAnUuPB7LGI/AAAAAAAGfD8/CzDXpJpWJFg/s72-c/L.jpg)
TAMASHA LA SERENGETI FIESTA 2014 MUSOMA LASITISHWA KUFUATIA AJALI MBAYA ILIYOTOKEA LEO.
![](http://3.bp.blogspot.com/--W_U7B0HpKw/VAnUuPB7LGI/AAAAAAAGfD8/CzDXpJpWJFg/s1600/L.jpg)
Kuaihirishwa huko kunafuatia ajali mbaya na ya aina yake iliyopelekea...
10 years ago
Dewji Blog17 Oct
T.I, Waje, Ash Hamman na Kimani kuwasili leo Dar kwa ajili Tamasha la Serengeti Fiesta 2014
Baada ya kuzunguka maelfu ya maili, tamasha la Serengeti Fiesta 2014 litafunga ziara yake katika viwanja vya leaders jijini Dar es Salaam kesho kutwa jumamosi.
Rapa wa kimataifa toka Marekani T.I, pamoja na Waje toka Nigeria, Ash Hamman toka Dubai na nyota mwingine wa muziki wa kizazi kipya toka nchini Kenya, Victoria Kimani wanatarajiwa kutua leo nchini kwa ajili kuburudisha katika tamasha la Serengeti Fiesta.
T.I toka Marekani, Waje wa Nigeria, Ash Hamman toka Dubai na Victoria Kimani wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s72-c/5.jpg)
WAKAZI WA SHINYANGA WAKUNWA NA UJIO WA TAMASHA LA FIESTA,LEO KUSAMBAZA UPENDO KWA WAKAZI WA GEITA
![](http://3.bp.blogspot.com/-0cPmGNgf51M/VBNloT72_bI/AAAAAAACquM/1WIpqy1LTpo/s1600/5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qvJtI-FXRpE/VBNpzXDxTgI/AAAAAAACquk/NcynDHmhNvE/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-txkv9zEdcDM/VBNp0e6MWFI/AAAAAAACqu0/xzNCMXQVVRg/s1600/4.jpg)