Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA KAHAMA USIKU WA KUAMKIA LEO

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Kahama. Staa aliyetambulika zaidi kwa wimbo wake wa Maumivu, Khadija akiangusha shoo yake.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SHANGWE ZA TAMASHA LA SERENGETI FIESTA USIKU HUU

Msanii wa Bongo Fleva, Mwana FA akifanya yake usiku huu. Nyomi baada ya kukongwa nyoyo na burudani za Serengeti Fiesta Leaders Club. …

 

10 years ago

GPL

SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA BUKOBA‏

MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Bukoba.
Rachel akiendelea kutoa burudani.…

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Shangwe za Serengeti Fiesta 2014 zatawala Musoma

Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 Musoma lililofanyika usiku wa kuamkia leo Jumatatu (September 7) katika uwanja wa Karume limeacha historia kutokana na shangwe kutoka kwa wasanii mbalimbali ambapo kila mmoja alionyesha uwezo wake mbele ya mashabiki hao. Full shangwe Musoma Tamasha hilo lililoanza saa nne za usiku liliendana sambamba shughuli za maombolezo kwaajili ya watu […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Shangwe za Serengeti Fiesta 2014 zatawala Dodoma

Wakazi wa Dodoma na viunga vyake wamepokea shangwe za burudani ya Serengeti iesta 2014 iliyofanyika Jumapili (October 5) ndani ya viwanja vya Jamhuri Dodoma. Ali Kiba akiwa kwenye pozi ndani ya jukwaa la fiesta Dodoma Tamasha hilo ambalo lilihudhuriwa na wakazi wengi wa mjini Dodoma lilipambwa na wasanii, Young Killer, Jux, Stamina, Fid Q, K. […]

 

10 years ago

CloudsFM

10 years ago

Vijimambo

SERENGETI FIESTA YAWATAMBULISHA T.I, DAVIDO, VICTORIA KIMANI NA WENGINEO LEO KABLA YA KUPANDA KWENYE JUKWAA LA FIESTA MUDA MFUPI UJAO

Msanii TI akiingia katika Ukumbi wa Bongoyo uliopo katika Hoteli ya Sea Cliff Jijini Dar Es Salaam kwaajili ya kufanya mkutano na waandishi wa Habari kabla ya kupanda kwenye jukwaa la Serengeti Fiesta muda mfupi ujaoMkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Bia ya Serengeti, Bw Steve Ganon akiongea na wanahabari leo katika ukumbi wa mikutano wa Bongoyo uliopo katika Hoteli ya Sea Cliff Jijini Dar wakati timu nzima ya Serengeti na Prime Time Promotions ambao ndio waandaaji wa Tamasha la Fiesta walipokuwa...

 

10 years ago

GPL

ALI KIBA AVAMIWA USIKU WA KUAMKIA LEO

Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba. MSANII wa Bongo Fleva, Ali Kiba usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam, alivamiwa na kundi la watu wapatao 20 wanaodhaniwa kuwa ni majambazi. Ali Kiba akiwa katika pozi. Watu hao waliokuwa na silaha za aina tofauti yakiwemo mapanga, visu na silaha za moto walifanikiwa kuvunja kuingia ndani na kuwadhuru baadhi ya ndugu wa Ali Kiba na kuiba mali na kila kitu ambacho...

 

10 years ago

GPL

YALIYOJIRI NDANI YA BILLS USIKU WA KUAMKIA LEO

Barnaba Boy akifanya yake. Baraka Da Prince (kushoto),  akifanya makamuzi na msanii mwenzake, Ice Boy.
Bob Junior akipagawisha.…

 

11 years ago

GPL

EXTRA BONGO ILIVYOKAMUA USIKU WA KUAMKIA LEO

Super Nyamwela (kushoto) na Ally Choki wakionyesha mbwembwe wakati wa shoo yao Meeda Club. Prezidaa wa Mashujaa Musica, Chaz Baba (katikati) naye alivamia jukwaa la Extra Bongo kunogesha mambo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani