SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA KAHAMA USIKU WA KUAMKIA LEO
![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjU8xD8NUlJ9NNq9EcVOa2KsgJLeMrX*6LgHrh2KfqoydOyYh18*kaNu5Jc5FemXXFLrodjjY7TzuUPRyb5ZCW4O/RECHO.jpg?width=650)
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Kahama. Staa aliyetambulika zaidi kwa wimbo wake wa Maumivu, Khadija akiangusha shoo yake.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLSHANGWE ZA TAMASHA LA SERENGETI FIESTA USIKU HUU
Msanii wa Bongo Fleva, Mwana FA akifanya yake usiku huu. Nyomi baada ya kukongwa nyoyo na burudani za Serengeti Fiesta Leaders Club. …
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p1hCpNEYWCLwLv0vjktk2DVXmOtMc1hrB-0Tfe2nupn4hP0Gw7m0a-d33Jb3yQfj4GiFVoYFDxwqBLkCa5TQEEMiEdIiX759/IMG_0036.jpg?width=650)
SHANGWE ZA SERENGETI FIESTA BUKOBA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Winfrida Josephat 'Rachel' akitoa burudani katika Tamasha la Serengeti Fiesta usiku wa kuamkia leo, Bukoba.
Rachel akiendelea kutoa burudani.…
10 years ago
Bongo508 Sep
Picha: Shangwe za Serengeti Fiesta 2014 zatawala Musoma
Tamasha la Serengeti Fiesta 2014 Musoma lililofanyika usiku wa kuamkia leo Jumatatu (September 7) katika uwanja wa Karume limeacha historia kutokana na shangwe kutoka kwa wasanii mbalimbali ambapo kila mmoja alionyesha uwezo wake mbele ya mashabiki hao. Full shangwe Musoma Tamasha hilo lililoanza saa nne za usiku liliendana sambamba shughuli za maombolezo kwaajili ya watu […]
10 years ago
Bongo506 Oct
Picha: Shangwe za Serengeti Fiesta 2014 zatawala Dodoma
Wakazi wa Dodoma na viunga vyake wamepokea shangwe za burudani ya Serengeti iesta 2014 iliyofanyika Jumapili (October 5) ndani ya viwanja vya Jamhuri Dodoma. Ali Kiba akiwa kwenye pozi ndani ya jukwaa la fiesta Dodoma Tamasha hilo ambalo lilihudhuriwa na wakazi wengi wa mjini Dodoma lilipambwa na wasanii, Young Killer, Jux, Stamina, Fid Q, K. […]
10 years ago
CloudsFM18 Aug
10 years ago
VijimamboSERENGETI FIESTA YAWATAMBULISHA T.I, DAVIDO, VICTORIA KIMANI NA WENGINEO LEO KABLA YA KUPANDA KWENYE JUKWAA LA FIESTA MUDA MFUPI UJAO
10 years ago
GPLALI KIBA AVAMIWA USIKU WA KUAMKIA LEO
Msanii wa Bongo Fleva, Ali Kiba. MSANII wa Bongo Fleva, Ali Kiba usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake Kunduchi jijini Dar es Salaam, alivamiwa na kundi la watu wapatao 20 wanaodhaniwa kuwa ni majambazi. Ali Kiba akiwa katika pozi. Watu hao waliokuwa na silaha za aina tofauti yakiwemo mapanga, visu na silaha za moto walifanikiwa kuvunja kuingia ndani na kuwadhuru baadhi ya ndugu wa Ali Kiba na kuiba mali na kila kitu ambacho...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-7-17Ut3vwoQDUWSEmV8NdOEp2dtHIeg5lJiLJZCFux3lOlUrrrO066WdylvyfgTA0t6xGzHWtANo3M8r3iqB0tMhvOWvQ2t/6.jpg)
YALIYOJIRI NDANI YA BILLS USIKU WA KUAMKIA LEO
Barnaba Boy akifanya yake. Baraka Da Prince (kushoto), akifanya makamuzi na msanii mwenzake, Ice Boy.
Bob Junior akipagawisha.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*rywFRf11Vn*F9QXBvTb3osAK1A13*qPEee09372UOezbQ4lYytPMJLADjbTnWJORiCFPR4leKd5DermlwKH0*s/EXTRABONGO1.jpg?width=650)
EXTRA BONGO ILIVYOKAMUA USIKU WA KUAMKIA LEO
Super Nyamwela (kushoto) na Ally Choki wakionyesha mbwembwe wakati wa shoo yao Meeda Club. Prezidaa wa Mashujaa Musica, Chaz Baba (katikati) naye alivamia jukwaa la Extra Bongo kunogesha mambo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania