DIAMOND MATATANI KWA KUPANDA JUKWAA LA FIESTA NA MAVAZI YA JWTZ
![](http://2.bp.blogspot.com/-xPtyBiBFF3c/VEX3WFmZqZI/AAAAAAACR4w/lTpvgLXu5-E/s72-c/IMG_43399519162233.jpeg)
UFUATIA picha zilizoenea katika mitandao ya Kijamii, kuhusiana na msanii huyo kutinga mavazi hayo, hivi sasa Jeshi la Polisi limemfungulia mashitaka msanii huyo kwa tuhuma za kupanda jukwaani akiwa na sare za jeshi.
Katika Onyesho hilo lililofanyika kwenye Viwanja vya Leaders Club Kinondoni, mwishoni mwa wiki iliyopita, pia wasanii kadhaa akiwapo Ney wa Mitego pia walipanda jukwaani na wanenguaji wao wakiwa wametinga mavazi kama hayo aliyotinga Diamond.
Kutokana na tukio hilo, Kamanda wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboSERENGETI FIESTA YAWATAMBULISHA T.I, DAVIDO, VICTORIA KIMANI NA WENGINEO LEO KABLA YA KUPANDA KWENYE JUKWAA LA FIESTA MUDA MFUPI UJAO
9 years ago
MichuziMartha Mwaipaja, Jesca BM, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi
Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo ambalo lina mlengo wa kurudisha Shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa...
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Martha Mwaipaja, Jesca, Mwahangila kupanda jukwaa la Krismasi
NA MWANDISHI WETU
WAIMBAJI nyota wa muziki wa Injili hapa nchini, Martha Mwaipaja, Jesca BM na Christopher Mwahangila, wanatarajia kupanda katika jukwaa la Tamasha la Krismasi linalotarajiwa kufanyika Desemba 25, kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, jijini Dar es Salaam.
Waimbaji hao wanaungana na wenzao waliotangulia kuthibitisha kushiriki tamasha hilo, ambalo lina malengo ya
kurudisha shukrani kwa Mungu baada ya kufanikisha uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 kwa amani na utulivu.
Mwenyekiti...
9 years ago
Bongo517 Dec
Linah na Feza Kessy kupanda jukwaa moja na Davido, Iyanya Lagos
![12301250_207304429604231_67909760_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12301250_207304429604231_67909760_n-300x194.jpg)
Feza Kessy na Linah watapanda jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015 Ijumaa hii.
Msanii wa Kenya, Victoria Kimani naye atatumbuiza.
“Nigeria I hope your ready cos Ive been so ready. Tanzanian angels about to rock Lagos soon. Ayeee,” ameandika Feza kwenye Instagram.
Shilole pia ameongoza na wasanii hao japo haijulikani kama naye atatumbuiza.
Feza akiwa na meneja wa Panamusiq Doreen Estazia
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Lisu ashambulia jukwaa kwa saa mbili Diamond
MWIMBAJI nguli wa muziki wa Injili Tanzania, John juzi alikonga nyoyo za mamia ya wadau waliojitokeza katika uzinduzi wa albamu yake ya Uko Hapa yenye nyimbo 18, uliofanyika katika Diamond...
10 years ago
Dewji Blog05 Sep
Mtoto wa Baba wa Taifa na Vitalis Maembe kupanda Mlima Kilimanjaro kuchangia jukwaa la sanaa
Afisa Habari wa shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Mandolin Kahindi akitambulisha viongozi wa CDEA kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) pamoja na dhumuni la kuitisha mkutano huo.
Na Mwandishi wetu
Madaraka Nyerere, Mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere, pamoja na Mwanamuziki Mzalendo Vitali Maembe wameteuliwa na shirika lisilo la kiserikali Culture and Development East Africa (CDEA) kuwa mabalozi wa kushiriki kampeni ya kupanda Mlima...
9 years ago
Bongo528 Sep
Sauti Sol kupanda jukwaa moja na Beyonce, Usher kwenye Global Citizen Festival
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/DSC_0009.jpg)
MTOTO WA BABA WA TAIFA NA VITALIS MAEMBE KUPANDA MLIMA KILIMANJARO KUCHANGIA JUKWAA LA SANAA
11 years ago
CloudsFM11 Aug
HII NDIYO LIST YA WASANII WATAKAOPAFOMU KWENYE JUKWAA LA FIESTA KAHAMA/BUKOBA.
Baada ya Mwanza kukata utepe wa Serengeti fiesta ya mwaka huu kwa siku ya jumamosi. harakati za kusambaza upendo sasa zinahamia bukoba kwa siku ya ijumaa hii ya tarehe 15 mwezi huu, na kahama ambapo itakuwa siku ya jumapili ya tarehe 17 mwezi huu. sasa nikupe mchongo wa mastaa wako utakaoweza kuwashuhudia; Ommy Dimpoz,
Young Killer,
Barnaba,
Madee,
Jux,
Ney wa Mitego,
Stamina,
Mr. Blue,
Recho,
Linah,
Super Nyota,
Khadija wa Maumivu na
BK sunday. kumbuka, shangwe hili lote utaweza kulifaidi...