HII NDIYO LIST YA WASANII WATAKAOPAFOMU KWENYE JUKWAA LA FIESTA KAHAMA/BUKOBA.
Baada ya Mwanza kukata utepe wa Serengeti fiesta ya mwaka huu kwa siku ya jumamosi. harakati za kusambaza upendo sasa zinahamia bukoba kwa siku ya ijumaa hii ya tarehe 15 mwezi huu, na kahama ambapo itakuwa siku ya jumapili ya tarehe 17 mwezi huu. sasa nikupe mchongo wa mastaa wako utakaoweza kuwashuhudia; Ommy Dimpoz,
Young Killer,
Barnaba,
Madee,
Jux,
Ney wa Mitego,
Stamina,
Mr. Blue,
Recho,
Linah,
Super Nyota,
Khadija wa Maumivu na
BK sunday. kumbuka, shangwe hili lote utaweza kulifaidi...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM03 Aug
Hii ndio list ya wasanii watakao panda kwenye jukwaa la Fiesta Mwanza 2014
Msimu wa Fiesta 2014 umeshaanza na show ya kwanza itafanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba tarehe 9/8/2014o siku ya Jumamosi. Hii ni list ya wasanii watakaofanya show kwenye jukwaa la Fiesta.
Diamond Platinumz
Shaa
Mkubwa na Wanae
Young Killer
Ney Wa Mitego
Mr Blue
Linah
Makomando
Madee
Young Dee
Super Nyota
Pamoja na suprise mbalimbali kwenye jukwaa hilo. Watu wangu wa Mwanza kaeni tayari tutakutana maeneo ya huko
10 years ago
VijimamboSERENGETI FIESTA YAWATAMBULISHA T.I, DAVIDO, VICTORIA KIMANI NA WENGINEO LEO KABLA YA KUPANDA KWENYE JUKWAA LA FIESTA MUDA MFUPI UJAO
10 years ago
Michuzi15 Aug
WASANII WATUA BUKOBA TAYARI KWA UFUNGUZI WA FIESTA 2014 LEO UWANJA WA KAITABA
11 years ago
CloudsFM15 Jun
Wasanii wakifanya yao kwenye jukwaa la Jamhuri Dodoma #TanzaniaNaiamini
![](http://2.bp.blogspot.com/-pdEPTk-_R3A/U51QV8CRQlI/AAAAAAAAFCE/BOojfJZSfUo/s1600/Diamond+3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-snYt25XRdfE/U51Q6dERDWI/AAAAAAAAFCM/F7CRyL4a3jg/s1600/Ashlay+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-3SY9XwnTUKg/U51RBRkTk1I/AAAAAAAAFCU/drk6NVeZ6TQ/s1600/Chege+an+Temba+1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z6zuGJzXbE0/U51RHIavLrI/AAAAAAAAFCc/wKKS_wBohVI/s1600/Diamond+1+.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pj9kn91cd6o/U51RLZuEcOI/AAAAAAAAFCs/GNNUXzXEr_w/s1600/Diamond+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GVJCsthPO5k/U51RP-HC1gI/AAAAAAAAFC0/tEx6WHehCI0/s1600/Diamond+an+Martin.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8vPiWRXy3rs/U51RSJSvqTI/AAAAAAAAFC8/auvN-X_4YDQ/s1600/Godzilla+1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bb20cgMd0dY/U51RZb-shiI/AAAAAAAAFDE/u2hVlNUUVjI/s1600/Madee+1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_sQJ2GGyp4Y/U51R2vHx_qI/AAAAAAAAFDM/cUQFf-HivgA/s1600/Madee+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mkn2D9jUUVg/U51SXjvHWpI/AAAAAAAAFDo/93P6vrt2E6k/s1600/Mchomvu.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uTAoVMV2xbI/U51SWD-4_SI/AAAAAAAAFDg/xXv_eP54994/s1600/Msami+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9AFjLWqm82U/U51SVMkBoQI/AAAAAAAAFDY/jSviHodcRvo/s1600/Pipo.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kBtxwVmIPxQ/U51ScUNXAuI/AAAAAAAAFDw/2s0y2RfZlgA/s1600/Shilole+1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qZDnel404lU/U51SjM1XitI/AAAAAAAAFD4/2yYm69wQedc/s1600/wasanii+.jpg)
10 years ago
Bongo530 Aug
Picha: Wasanii watakaotumbuiza kwenye Serengeti Fiesta Moshi waahidi makamuzi ya nguvu
10 years ago
Bongo520 Oct
Alichokisema Mwana FA baada ya kile alichokiona kwenye Fiesta Dar kuhusu wasanii wa Bongo
11 years ago
CloudsFM11 Jun
WASANII WAMWALIKA RAIS KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI YA ‘NAIAMINIA TANZANIA’,JUMAMOSI HII KWENYE UWANJA WA JAMHURI, DODOMA
Naiminia Tanzania ndiyo habari ya mjini, weekend hii siku ya Jumamosi ndani ya uwanja wa Jamhuri,Mkoani Dodoma wasanii wa fani mbalimbali hapa nchini wameandaa ufunguzi wa kampeni kubwa inayoitwa ‘Naiaminia Tanzania’.
Ambayo ni muendelezo wa ile ngoma yao ya miaka 50 ya tanzania, ambayo waliirekodi wasanii 50, wakashuti na video.Msanii wa Bongo Fleva,Mwana FA pamoja na Nikki Wa Pili watatoa speech mbele ya mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10