Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii wakifanya yao kwenye jukwaa la Jamhuri Dodoma #TanzaniaNaiamini

Diamond Platnumz ni mmoja ya wasanii ambao kiukweli walifanya show kali sana, uwanja mzima ulikuwa full kelele kinoma noma  yan wasanii zaidi ya 50 wakiwemo Bongo Movie walifanya yao... Ashlay...

Mh. Temba na Chegge

Diamond

Diamond Diamond na Martin Kadinda

Godzillah...

Madee na Raymond

Madaee...

Adam Mchovu....

Msami Beibyyy...

Shilole...

Wasanii wakiimba kwa pamoja....

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

WASANII WAMWALIKA RAIS KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI YA ‘NAIAMINIA TANZANIA’,JUMAMOSI HII KWENYE UWANJA WA JAMHURI, DODOMA

Naiminia Tanzania ndiyo habari ya mjini, weekend hii siku ya Jumamosi ndani ya uwanja wa Jamhuri,Mkoani Dodoma wasanii wa fani mbalimbali hapa nchini wameandaa ufunguzi wa kampeni kubwa inayoitwa ‘Naiaminia Tanzania’.Ambayo ni muendelezo wa ile ngoma yao ya miaka 50 ya tanzania, ambayo waliirekodi wasanii 50, wakashuti na video.Msanii wa Bongo Fleva,Mwana FA pamoja na Nikki Wa Pili watatoa speech mbele ya mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa...

 

11 years ago

CloudsFM

HII NDIYO LIST YA WASANII WATAKAOPAFOMU KWENYE JUKWAA LA FIESTA KAHAMA/BUKOBA.

Baada ya Mwanza kukata utepe wa Serengeti fiesta ya mwaka huu kwa siku ya jumamosi. harakati za kusambaza upendo sasa zinahamia bukoba kwa siku ya ijumaa hii ya tarehe 15 mwezi huu, na kahama ambapo itakuwa siku ya jumapili ya tarehe 17 mwezi huu. sasa nikupe mchongo wa mastaa wako utakaoweza kuwashuhudia; Ommy Dimpoz,
Young Killer,
Barnaba,
Madee,
Jux,
Ney wa Mitego,
Stamina,
Mr. Blue,
Recho,
Linah,
Super Nyota,
Khadija wa Maumivu na
BK sunday. kumbuka, shangwe hili lote utaweza kulifaidi...

 

11 years ago

CloudsFM

Hii ndio list ya wasanii watakao panda kwenye jukwaa la Fiesta Mwanza 2014

Msimu wa Fiesta 2014 umeshaanza na show ya kwanza itafanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba tarehe 9/8/2014o siku ya Jumamosi. Hii ni list ya wasanii watakaofanya show kwenye jukwaa la Fiesta.

Diamond Platinumz
Shaa
Mkubwa na Wanae
Young Killer
Ney Wa Mitego
Mr Blue
Linah
Makomando
Madee
Young Dee
Super Nyota

Pamoja na suprise mbalimbali kwenye jukwaa hilo. Watu wangu wa Mwanza kaeni tayari tutakutana maeneo ya huko

 

10 years ago

Michuzi

MH. SITTA ATEMBELEWA NA JUKWAA LA KATIBA NA JUKWAA LA WAHARIRI MJINI DODOMA LEO

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta, akizungumza na Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba (JUKATA), Deus Kibamba, alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Dodoma leo. Kushoto ni mjumbe wa Jukwaa hilo Hezron Kaaya. Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akizungumza na Viongozi wa Jukwaa la Wahariri (TEF), walipomtembelea ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma leo. Picha na Owen Mwandumbya.

 

10 years ago

GPL

LIPUMBA, MBATIA NA MWIGULU WAKIFANYA YAO

Mwenyekiti wa CUF Taifa Prof. Ibrahim Lipumba (kushoto), Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi taifa, James Mbatia (katikati) na Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba (kulia) wakicheka kwa pamoja jana katika uzinduzi wa Kituo cha Runinga cha Azam kilichopo maeneo ya Tabata jijini Dar es Salaam.…

 

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol waeleza kwanini hawajawashirikisha wasanii wa nje ya Afrika kwenye album yao mpya

bien

Sauti Sol wameachia album yao mpya ‘Live and Die in Afrika’ Ijumaa iliyopita (November 20). Katika kuhakikisha wanawaridhisha mashabiki wao, waliamua kutoa nafasi kwa mashabiki kupakua album hiyo bure kwenye website yao (www.sauti-sol.com), lakini ofa hiyo ilikuwa ni kwa saa 48 tu toka ilipotoka mpaka Jumapili Nov.22 saa 5:59 Usiku.

bien

Baada ya hapo album hiyo itauzwa katika maeneo watakayotangaza.

Kwenye album hiyo ambayo ni ya tatu kutoka kwa kundi hilo, ni nyimbo mbili pekee kati ya 15 za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani