Wasanii wakifanya yao kwenye jukwaa la Jamhuri Dodoma #TanzaniaNaiamini
Diamond Platnumz ni mmoja ya wasanii ambao kiukweli walifanya show kali sana, uwanja mzima ulikuwa full kelele kinoma noma yan wasanii zaidi ya 50 wakiwemo Bongo Movie walifanya yao...
Ashlay...
![](http://4.bp.blogspot.com/-3SY9XwnTUKg/U51RBRkTk1I/AAAAAAAAFCU/drk6NVeZ6TQ/s1600/Chege+an+Temba+1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z6zuGJzXbE0/U51RHIavLrI/AAAAAAAAFCc/wKKS_wBohVI/s1600/Diamond+1+.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pj9kn91cd6o/U51RLZuEcOI/AAAAAAAAFCs/GNNUXzXEr_w/s1600/Diamond+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-GVJCsthPO5k/U51RP-HC1gI/AAAAAAAAFC0/tEx6WHehCI0/s1600/Diamond+an+Martin.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8vPiWRXy3rs/U51RSJSvqTI/AAAAAAAAFC8/auvN-X_4YDQ/s1600/Godzilla+1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bb20cgMd0dY/U51RZb-shiI/AAAAAAAAFDE/u2hVlNUUVjI/s1600/Madee+1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_sQJ2GGyp4Y/U51R2vHx_qI/AAAAAAAAFDM/cUQFf-HivgA/s1600/Madee+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mkn2D9jUUVg/U51SXjvHWpI/AAAAAAAAFDo/93P6vrt2E6k/s1600/Mchomvu.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uTAoVMV2xbI/U51SWD-4_SI/AAAAAAAAFDg/xXv_eP54994/s1600/Msami+1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9AFjLWqm82U/U51SVMkBoQI/AAAAAAAAFDY/jSviHodcRvo/s1600/Pipo.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kBtxwVmIPxQ/U51ScUNXAuI/AAAAAAAAFDw/2s0y2RfZlgA/s1600/Shilole+1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qZDnel404lU/U51SjM1XitI/AAAAAAAAFD4/2yYm69wQedc/s1600/wasanii+.jpg)
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM11 Jun
WASANII WAMWALIKA RAIS KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI YA ‘NAIAMINIA TANZANIA’,JUMAMOSI HII KWENYE UWANJA WA JAMHURI, DODOMA
Naiminia Tanzania ndiyo habari ya mjini, weekend hii siku ya Jumamosi ndani ya uwanja wa Jamhuri,Mkoani Dodoma wasanii wa fani mbalimbali hapa nchini wameandaa ufunguzi wa kampeni kubwa inayoitwa ‘Naiaminia Tanzania’.
Ambayo ni muendelezo wa ile ngoma yao ya miaka 50 ya tanzania, ambayo waliirekodi wasanii 50, wakashuti na video.Msanii wa Bongo Fleva,Mwana FA pamoja na Nikki Wa Pili watatoa speech mbele ya mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa...
11 years ago
CloudsFM13 Jun
10 years ago
GPL01 Jan
11 years ago
CloudsFM11 Aug
HII NDIYO LIST YA WASANII WATAKAOPAFOMU KWENYE JUKWAA LA FIESTA KAHAMA/BUKOBA.
Baada ya Mwanza kukata utepe wa Serengeti fiesta ya mwaka huu kwa siku ya jumamosi. harakati za kusambaza upendo sasa zinahamia bukoba kwa siku ya ijumaa hii ya tarehe 15 mwezi huu, na kahama ambapo itakuwa siku ya jumapili ya tarehe 17 mwezi huu. sasa nikupe mchongo wa mastaa wako utakaoweza kuwashuhudia; Ommy Dimpoz,
Young Killer,
Barnaba,
Madee,
Jux,
Ney wa Mitego,
Stamina,
Mr. Blue,
Recho,
Linah,
Super Nyota,
Khadija wa Maumivu na
BK sunday. kumbuka, shangwe hili lote utaweza kulifaidi...
11 years ago
CloudsFM03 Aug
Hii ndio list ya wasanii watakao panda kwenye jukwaa la Fiesta Mwanza 2014
Msimu wa Fiesta 2014 umeshaanza na show ya kwanza itafanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba tarehe 9/8/2014o siku ya Jumamosi. Hii ni list ya wasanii watakaofanya show kwenye jukwaa la Fiesta.
Diamond Platinumz
Shaa
Mkubwa na Wanae
Young Killer
Ney Wa Mitego
Mr Blue
Linah
Makomando
Madee
Young Dee
Super Nyota
Pamoja na suprise mbalimbali kwenye jukwaa hilo. Watu wangu wa Mwanza kaeni tayari tutakutana maeneo ya huko
11 years ago
CloudsFM14 Jun
Reharsal ya Mwisho kwa wasanii katika uwanja wa jamhuri hapa Dodoma masaa machache kabla ile show kubwa. #Tanzania Naiaminia
wasanii wakielekea katika jukwaa kuu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-40QZOuhQ-ro/U-vLsJW3U4I/AAAAAAAF_Tk/AXC6Tq0Eylk/s72-c/unnamed%2B(15).jpg)
MH. SITTA ATEMBELEWA NA JUKWAA LA KATIBA NA JUKWAA LA WAHARIRI MJINI DODOMA LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-40QZOuhQ-ro/U-vLsJW3U4I/AAAAAAAF_Tk/AXC6Tq0Eylk/s1600/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ncWsUxrZikk/U-vLsPQ6EdI/AAAAAAAF_To/cx_qkowHZvI/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7F975s5rOKjMM8A1FkcYiMqZ43UJMMCkwbURzhwrYDAwoOCXwsLNMmEBqKHa9Gpp3OGijX7qQSpS4InbIeMa7PiRtsye*j0a/10553489_879214282140644_7334558439819393564_n.jpg?width=750)
LIPUMBA, MBATIA NA MWIGULU WAKIFANYA YAO
9 years ago
Bongo523 Nov
Sauti Sol waeleza kwanini hawajawashirikisha wasanii wa nje ya Afrika kwenye album yao mpya
![bien](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/bien-300x194.jpg)
Sauti Sol wameachia album yao mpya ‘Live and Die in Afrika’ Ijumaa iliyopita (November 20). Katika kuhakikisha wanawaridhisha mashabiki wao, waliamua kutoa nafasi kwa mashabiki kupakua album hiyo bure kwenye website yao (www.sauti-sol.com), lakini ofa hiyo ilikuwa ni kwa saa 48 tu toka ilipotoka mpaka Jumapili Nov.22 saa 5:59 Usiku.
Baada ya hapo album hiyo itauzwa katika maeneo watakayotangaza.
Kwenye album hiyo ambayo ni ya tatu kutoka kwa kundi hilo, ni nyimbo mbili pekee kati ya 15 za...