Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Reharsal ya Mwisho kwa wasanii katika uwanja wa jamhuri hapa Dodoma masaa machache kabla ile show kubwa. #Tanzania Naiaminia

wasanii wakielekea katika jukwaa kuu.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

CloudsFM

WASANII WAMWALIKA RAIS KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI YA ‘NAIAMINIA TANZANIA’,JUMAMOSI HII KWENYE UWANJA WA JAMHURI, DODOMA

Naiminia Tanzania ndiyo habari ya mjini, weekend hii siku ya Jumamosi ndani ya uwanja wa Jamhuri,Mkoani Dodoma wasanii wa fani mbalimbali hapa nchini wameandaa ufunguzi wa kampeni kubwa inayoitwa ‘Naiaminia Tanzania’.Ambayo ni muendelezo wa ile ngoma yao ya miaka 50 ya tanzania, ambayo waliirekodi wasanii 50, wakashuti na video.Msanii wa Bongo Fleva,Mwana FA pamoja na Nikki Wa Pili watatoa speech mbele ya mgeni rasmi, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, rais wa...

 

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT MAGUFULI AFUNGUA MKUTANO MKUU UCHAGUZI WA CHAMA CHA WALIMU TANZANIA CWT KATIKA UWANJA WA JAMHURI MJINI DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania MheshimiwaDkt. John Pombe Magufuli akipiga makofi pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Vijana, ajira na Wenye Ulemavu wakati Kwaya ya CWT ilipokuwa ikitumbuiza.Waalimu wakishangilia mara baada ya Hotuba ya Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

TRENI YA KASI KWENDA KIGOMA YAZINDULIWA, ITATUMIA MASAA 6 PUNGUFU YA ILE YA ZAMANI "KUTUA MWISHO WA RELI"

Treni mpya ya abiria yenye kufanya safari zake kati ya Dar es Salaam na mikoa ya Kigoma na Mwanza, ikiwa kwenye kituo kikuu cha reli (TRL), jijini Dar es Salaam leo Jumatano Aprili 1, 2015. Treni hiyo iliyopewa jina "Deluxe Coach" imezindua safari yake ya kwanza leo Aprili mosi, kuelekea Kigoma, ikiwa na mabehewa mapya yaliyoagizwa na serikali hivi karibuni. Injini zilizokarabatiwa na wamalaysia, zimeonekama kama mpya na sasa treni hiyo itakuwa ikisafiri kila Jumapili saa 2 usiku ikitumia...

 

10 years ago

Michuzi

KATIBA ILIYOPENDEKEZWA KUKABIDHIWA OKTOBA 08, 2014 KATIKA UWANJA WA JAMHURI MKOANI DODOMA


  Mkuu wa mkoa wa Dodoma Dkt, Rehema Nchimbi akitoa ufafanuzi kuhusu makabidhiano ya Rasimu ya katiba yatakayofanywa kati ya viongozi wa Bunge maalumu la katiba watakao kabidhi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt, Jakaya Kikwete na wa Zanzibar Dkt Mohamed Sheni kwa waandishi wa habari, makabidhiano hayo yatafanyika Oktoba 08, 2014 katika uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma.(Picha na John Banda wa Pamoja Blog)  Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa...

 

5 years ago

CCM Blog

MTANANGE WA YANGA NA JKT TANZANIA UWANJA WA JAMHURI DODOMA

 Shabiki wa Yanga akifanya minjonjo yake kushangilia Yanga kusawazisha bao dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu  uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma . Timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1. PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
 Wana Yanga wakifurahia  bao la kusawazisha lililofungwa na Patrick Sibomana
 Bao la kuswazisha lililofungwa na Sibomana
 Wachezaji wa Yhanga wakishangilia
 Ni furaha iliyoje kwa wana Yanga hao wakiongozwa na mtoto anayepuliza katarumbeta

 

11 years ago

Michuzi

Mashindano ya Klabu Bingwa ya Netiboli nchini yafunguliwa katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma

Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia aliyeshika mpira akilenga kapu(kufunga goli) akiashiria ufunguzi rasmi wa mashindano ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia akisalimiana na vikosi vya JKT na Kikosi cha Police Dodoma (waliovalia kijani).Timu hizi ndizo zilizo funguwa mashindano haya ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.Naibu Waziri wa...

 

11 years ago

Michuzi

Mhe Nkamia afungua michuano ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma

 Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia  katika picha ya pamoja na kikosi cha JKT  Dodoma mara baada ya kukagua vikosi hivyo.Timu hizi ndizo zilizo funguwa mashindano haya ya Klabu Bingwa ya Netiboli katika Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma. Naibu Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mhe Juma Nkamia  katika picha ya pamoja na Kikosi cha Police Dodoma  baada ya kukagua vikosi hivyo.Timu hizi ndizo zilizo funguwa mashindano haya ya Klabu Bingwa ya Netiboli...

 

10 years ago

Vijimambo

NesiWangu: YAMEBAKI MASAA MACHACHE KUPATA HUDUMA YA MENO KWA...

NesiWangu: YAMEBAKI MASAA MACHACHE KUPATA HUDUMA YA MENO KWA...: HUDUMA YA MENO KWA 50% OFF INAFIKIA KIKOMO JUMATATU TAREHE 1/6/2015 SAA 6:00 USIKU SHUKURANI ZA DHATI KWA DR. TAALIB ALI WA AV...



 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani