Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sauti Sol waeleza kwanini hawajawashirikisha wasanii wa nje ya Afrika kwenye album yao mpya

bien

Sauti Sol wameachia album yao mpya ‘Live and Die in Afrika’ Ijumaa iliyopita (November 20). Katika kuhakikisha wanawaridhisha mashabiki wao, waliamua kutoa nafasi kwa mashabiki kupakua album hiyo bure kwenye website yao (www.sauti-sol.com), lakini ofa hiyo ilikuwa ni kwa saa 48 tu toka ilipotoka mpaka Jumapili Nov.22 saa 5:59 Usiku.

bien

Baada ya hapo album hiyo itauzwa katika maeneo watakayotangaza.

Kwenye album hiyo ambayo ni ya tatu kutoka kwa kundi hilo, ni nyimbo mbili pekee kati ya 15 za...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Exclusive: Sauti Sol waeleza kwanini hawajaweka collabo walizorekodi na Alikiba, Vanessa Mdee na Joh Makini kwenye album yao mpya

Sauti-Sols-Album-Cover

Kundi la Sauti Sol kutoka Kenya wiki hii wametoa cover pamoja na orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yao mpya, ‘Live And Die In Afrika’ itakayozinduliwa kwa vyombo vya habari Ijumaa ya Novemba 20.

Sauti-Sols-Album-Cover

Baada ya mimi binafsi kuiona ‘tracklist’ ya album hiyo yenye nyimbo 15, nilipata maswali kuhusu kwanini hawajaweka nyimbo walizowashirikisha wasanii wa Tanzania kwenye album yao.

sauti tracklist

Katika mahojiano waliyofanya na kipindi cha Mseto cha Radio Citizen na Willy M.Tuva mwezi August, 2015,...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Sauti Sol watoa orodha ya nyimbo za album yao mpya ‘Live And Die In Afrika’

Sauti-Sols-Album-Cover

Kundi maarufu la muziki Sauti Sol kutoka Kenya, baada ya kuzikonga nyoyo za mashabiki wao kwa single kama ‘Sura Yako’, ‘Nerea’ na ‘Isabella’, sasa wako tayari kuwapakulia album kamili yenye nyimbo 15.

Sauti-Sols-Album-Cover

Sauti Sol jana walitoa cover ya album hiyo mpya ‘Live And Die In Afrika’ na baadae kushare orodha ya nyimbo zinazokamilisha album hiyo ikiwa ni album yao ya tatu.

Kwa mujibu wa cover hiyo, ni nyimbo mbili tu kwenye album hiyo ambazo wameshirikisha wasanii wengine, ambazo ni ‘Nerea’...

 

9 years ago

Bongo5

Navy Kenzo waeleza watakavyouza album yao ‘Above In A Minute’

Navykenzo

Kundi la Navy Kenzo limesema kuwa album yao ya kwanza iitwayo ‘Above In A Minute’ tayari imekamilika na wanatarajia kuitoa mwanzoni mwa mwaka ujao 2015.

navy2

Wakizungumza kupitia XXL ya Clouds FM, waimbaji wa kundi hilo Aika na Nahreel wamesema kuwa, watauza album yao katika mfumo wa Cd pamoja na online, lakini utaratibu utakaotumika utakuwa ni wa kuweka oda pekee.

“Ila itakuwa ni oda tu, hata kama ni online unafanya oda tu ukishalipia siku ikitoka unapewa ya kwako baada ya hapo itakuwa ni ngumu...

 

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol waonesha mpango wa kutaka kumshirikisha John Legend kwenye remix ya wimbo wao mpya ‘Isabella ’

Ikiwa ni wiki moja tu imepita toka Sauti Sol watoe wimbo mpya ‘Isabella’, ikiwa ni single yao ya sita kutoka kwenye album yao ijayo ya tatu, bendi hiyo imeonesha dalili kuwa ina mpango wa kumshirikisha mwimbaji wa kimataifa wa RnB, John Legend kwenye remix ya wimbo huo. Kupitia akaunti yao ya Instagram, Sauti Sol wamewashirikisha […]

 

10 years ago

Bongo5

Rapper M.I wa Nigeria awashirikisha wasanii 27 kwenye album mpya

Rapper wa Nigeria M.I anatarajia kuachia album mpya ambayo amewashirikisha jumla ya wasanii 27 kutoka Nigeria, Jamaica na Ghana. M.I ameshare cover ya album hiyo iitwayo ‘Chairman’ kwenye akaunti yake ya Instagram. Wasanii 27 aliowashirikisha ni: Ice Prince, Sarkodie, Sound Sultan, Tuface, Wizkid, Beenie Man, Olamide, Phyno, Reminisce, Patoranking, Seyi Shay, Runtown, Frank Edwards, Storm […]

 

9 years ago

Bongo5

Pah One waeleza kwanini Navy Kenzo wamefanikiwa zaidi yao

PahOne

Baada ya Nahreel na Aika kujiondoa kwenye kundi la Pah One na kuunda kundi lao la Navy Kenzo linalofanya vizuri kwa sasa, Pah One wamesema Navy Kenzo wamefanikiwa zaidi kutokana na kufanya kazi muda mrefu, tofauti na wao ambao walikuwa hawafanyi kazi kutokana na kusafiri sana.

PahOne

Wakizungumza katika kipindi cha ‘Siz Kitaa’ cha Clouds TV, Pah One wamesema kuwa sasa wamerejea na watafanya kazi ili wafike wanapohitaji.

“Kwa sisi ni kwamba sisi tulikuwa hatupo, wao walikuwepo wanaendelea na...

 

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol release third album ‘Live And Die In Afrika’ in unique style

Sauti-Sols-Album-Cover

Kenyan award-winning group Sauti Sol release their anticipated third album: Live and Die in Afrika in unique style.

Sauti-Sols-Album-Cover

Following an exclusive Nairobi Listening Party & Press Conference, the album is available for fans in different forms and avenues. Sauti Sol are gifting their fans worldwide with free downloads of the new album for 48 hours via www.sauti-sol.com.

“You don’t have to wait any longer. The free album giveaway is our little gift to all our fans in advance of the physical copies...

 

9 years ago

Bongo5

Photo: Sauti Sol has finally revealed the cover for their ‘Live And Die In Afrika’ Album

sautiii

Sauti Sol has finally uncovered the album cover for their upcoming third studio album ‘Live And Die In Afrika’.

Sauti-Sols-Album-Cover

The cover has an African touch to it, it sees Polycarp Otieno and Bien-Aimé Baraza siting down on an African throne chair with Willis Chimano and Savara Mudigi standing up next to them in African attire; Willis Chimano wearing a fitted,Italian khaki suit with boots with an African fur coat over his shoulders with Savara Mudigi -as always- showing his ripped body with just an ankara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani