Sauti Sol waonesha mpango wa kutaka kumshirikisha John Legend kwenye remix ya wimbo wao mpya ‘Isabella ’
Ikiwa ni wiki moja tu imepita toka Sauti Sol watoe wimbo mpya ‘Isabella’, ikiwa ni single yao ya sita kutoka kwenye album yao ijayo ya tatu, bendi hiyo imeonesha dalili kuwa ina mpango wa kumshirikisha mwimbaji wa kimataifa wa RnB, John Legend kwenye remix ya wimbo huo. Kupitia akaunti yao ya Instagram, Sauti Sol wamewashirikisha […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/J9jE6WL29pA/default.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/BS02l0cw140/default.jpg)
9 years ago
Bongo517 Sep
Video: Sauti Sol — Isabella (Official Music Video)
9 years ago
Bongo523 Nov
Sauti Sol waeleza kwanini hawajawashirikisha wasanii wa nje ya Afrika kwenye album yao mpya
![bien](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/bien-300x194.jpg)
Sauti Sol wameachia album yao mpya ‘Live and Die in Afrika’ Ijumaa iliyopita (November 20). Katika kuhakikisha wanawaridhisha mashabiki wao, waliamua kutoa nafasi kwa mashabiki kupakua album hiyo bure kwenye website yao (www.sauti-sol.com), lakini ofa hiyo ilikuwa ni kwa saa 48 tu toka ilipotoka mpaka Jumapili Nov.22 saa 5:59 Usiku.
Baada ya hapo album hiyo itauzwa katika maeneo watakayotangaza.
Kwenye album hiyo ambayo ni ya tatu kutoka kwa kundi hilo, ni nyimbo mbili pekee kati ya 15 za...
10 years ago
Bongo524 Oct
Video: Sauti Sol wamuimbisha Iyanya Kiswahili (Sura Yako Remix)
11 years ago
CloudsFM04 Aug
ZITTO KABWE AINGIZA SAUTI KWENYE WIMBO MPYA WA LINEX
Staa wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda hivi karibuni ataandika historia kwa kutambulisha video ya ngoma yake “wema kwa ubaya” katika ukumbi flani na tukio hilo kuonyeshwa live kwenye tv station mbili nchini Tanzania, na katika ngoma hiyo itaskika sauti ya mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mheshimiwa Zito Kabwe.
Kwa mara ya kwanza pia linex ameweka rekodi kwa kumlipa mkwanja mrefu director Adam Juma next lavel ambaye hivi karibuni aliwahi kufunguka kuwa tangu aanze kazi yake hajawahi kulipwa zaidi...
10 years ago
Bongo526 Nov
Jordin Sparks amdis ex-mchumba wake Jason Derulo kwenye wimbo mpya ‘How Bout Now’ remix
9 years ago
Bongo519 Nov
Exclusive: Sauti Sol waeleza kwanini hawajaweka collabo walizorekodi na Alikiba, Vanessa Mdee na Joh Makini kwenye album yao mpya
![Sauti-Sols-Album-Cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Sauti-Sols-Album-Cover1-300x194.jpg)
Kundi la Sauti Sol kutoka Kenya wiki hii wametoa cover pamoja na orodha ya nyimbo zitakazokuwemo kwenye album yao mpya, ‘Live And Die In Afrika’ itakayozinduliwa kwa vyombo vya habari Ijumaa ya Novemba 20.
Baada ya mimi binafsi kuiona ‘tracklist’ ya album hiyo yenye nyimbo 15, nilipata maswali kuhusu kwanini hawajaweka nyimbo walizowashirikisha wasanii wa Tanzania kwenye album yao.
Katika mahojiano waliyofanya na kipindi cha Mseto cha Radio Citizen na Willy M.Tuva mwezi August, 2015,...
9 years ago
Bongo528 Oct
Wimbo wa Alikiba na Sauti Sol upo njiani kuachiwa