Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZITTO KABWE AINGIZA SAUTI KWENYE WIMBO MPYA WA LINEX

Staa wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda hivi karibuni ataandika historia kwa kutambulisha video ya ngoma yake “wema kwa ubaya” katika ukumbi flani na tukio hilo kuonyeshwa live kwenye tv station mbili nchini Tanzania, na katika ngoma hiyo itaskika sauti ya mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mheshimiwa Zito Kabwe.Kwa mara ya kwanza pia linex ameweka rekodi kwa kumlipa mkwanja mrefu director Adam Juma next lavel ambaye hivi karibuni aliwahi kufunguka kuwa tangu aanze kazi yake hajawahi kulipwa zaidi...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Sauti Sol waonesha mpango wa kutaka kumshirikisha John Legend kwenye remix ya wimbo wao mpya ‘Isabella ’

Ikiwa ni wiki moja tu imepita toka Sauti Sol watoe wimbo mpya ‘Isabella’, ikiwa ni single yao ya sita kutoka kwenye album yao ijayo ya tatu, bendi hiyo imeonesha dalili kuwa ina mpango wa kumshirikisha mwimbaji wa kimataifa wa RnB, John Legend kwenye remix ya wimbo huo. Kupitia akaunti yao ya Instagram, Sauti Sol wamewashirikisha […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Hatimaye Linex aachia wimbo wake mpya ‘Salima’ akimshirikisha Diamond Platnumz, usikilize hapa

Image00003

Pichani ni Linex na Diamond Platnumz wakati wa utengenezaji wa video ya ‘Salima’.

Linex akimshirikisha Diamond Platnumz katika wimbo wake mpya Salima ambao leo hii ameuachia katika media mbalimbali. Video na audio ametoa kwa pamoja, Linex anaonekana kutulia sana katika wimbo huu, kama kawaida yake ametumia lugha 3 ndani ya wimbo, amepanga mashairi mazito yenye hisia hakika wimbo upo sawa, na utunzi na ghani za mashairi yamepangiliwa katika ubora wa aina yake, lugha imetumika kihufasaha ...

 

10 years ago

Vijimambo

YALIYOJIRI KWENYE MKUTANO WA ZITTO KABWE MKOANI TABORA

 Zitto akionyesha nguo za chama za Mwenyekiti wa Wazee wa CCM Wilaya ya Urambo Bakari Humbe, aliyeamua kuhama Chama Cha Mapinduzi. (Picha na Said Powa)Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Urambo Mkoani Tabora huku akinyeshewa mvua majira ya mchana jana, ambapo chama hicho kinaendelea na ziara ya kusaka uungwaji mkono na wananchi. Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Tabora kwenye viwanja vya Shule ya...

 

9 years ago

Dewji Blog

VIDEO: Kemea Udini kwenye kampeni za Uchaguzi — Zitto Kabwe

Zitto+Kabwe+PHOTO

Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe.

 

11 years ago

Michuzi

MSIMAMO WA MH. ZITTO KABWE KUHUSU MCHAKATO WA KUANDIKA KATIBA MPYA

Jana tarehe 29 Julai, 2014 nimefanya mahojiano katika kipindi cha PowerBreakFast kinachorushwa na Clouds FM. Baadhi ya vyombo vya habari vimeandika mahojiano yale. Napenda nitoe ufafanuzi kidogo kuhusu msimamo wangu kuhusu mchakato wa Katiba.
Kwanza, Mimi sijawahi kuwa UKAWA wala kundi lolote lile katika Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa kundi linalotaka maridhiano. Msimamo wangu kuhusu Muungano ni Serikali Tatu Zilizoboreshwa (S3z) ili kuwa na Muungano imara usio tegemezi wala egemezi kwa...

 

11 years ago

Zitto Kabwe, MB

MSIMAMO WA NDUGU ZITTO KABWE KUHUSU MCHAKATO WA KUANDIKA KATIBA MPYA

MSIMAMO WA NDUGU ZITTO KABWE KUHUSU MCHAKATO WA KUANDIKA KATIBA MPYA

Jana tarehe 29 Julai, 2014 nimefanya mahojiano katika kipindi cha PowerBreakFast kinachorushwa na Clouds FM. Baadhi ya vyombo vya habari vimeandika mahojiano yale. Napenda nitoe ufafanuzi kidogo kuhusu msimamo wangu kuhusu mchakato wa Katiba.

Kwanza, Mimi sijawahi kuwa UKAWA wala kundi lolote lile katika Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa kundi linalotaka maridhiano. Msimamo wangu kuhusu Muungano ni Serikali Tatu...

 

9 years ago

Bongo5

Baghdad kuachia wimbo mpya wenye sauti za watu maarufu/mashuhuri 70 Ijumaa hii!

baghdad

Rapper Baghdad anaachia wimbo mpya Ijumaa hii, wimbo ambao mwenywe anasema utavunja rekodi kutokana na kutumia sauti za watu maarufu/mashuhuri 70.

baghdad

Katika wimbo huo unaoitwa ‘Unaakili wewe?” kamshirikisha Roma.

Kupitia Instagram Baghdad ambaye ameoa hivi karibuni na kupata mtoto wa kwanza, ameandika:

“Wimbo mpya wa baghdad na Roma unatoka tarehe….4th december Ijumaa!! Wimbo huo umevunja rekodi, kwakuwa wimbo uliohusisha watu maarufu/mashuhuri zaidi ya 50! Ndani ya wimbo huo utawasikia watu...

 

10 years ago

Bongo5

Neylee aeleza alichokiimba kwenye wimbo mpya ‘Hasara Roho’

Mshindi wa Serengeti Super Nyota 2012 kutoka mkoani Mbeya, Neylee amesema wimbo wake mpya ujao ‘Hasara Roho’ unaelezea changamoto mbalimbali za maisha ya binadamu na jinsi ya kuachana nazo. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa katika maisha ya binadamu kuna vitu unaweza kukutana navyo na vikakuvunja moyo. “Hasara Roho ni wimbo ambao kwanza unajieleza katika hali […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani