Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Baghdad kuachia wimbo mpya wenye sauti za watu maarufu/mashuhuri 70 Ijumaa hii!

baghdad

Rapper Baghdad anaachia wimbo mpya Ijumaa hii, wimbo ambao mwenywe anasema utavunja rekodi kutokana na kutumia sauti za watu maarufu/mashuhuri 70.

baghdad

Katika wimbo huo unaoitwa ‘Unaakili wewe?” kamshirikisha Roma.

Kupitia Instagram Baghdad ambaye ameoa hivi karibuni na kupata mtoto wa kwanza, ameandika:

“Wimbo mpya wa baghdad na Roma unatoka tarehe….4th december Ijumaa!! Wimbo huo umevunja rekodi, kwakuwa wimbo uliohusisha watu maarufu/mashuhuri zaidi ya 50! Ndani ya wimbo huo utawasikia watu...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Naj kuachia video ya wimbo wake ‘No Going Home’ Ijumaa hii

11906139_143102326048484_1476360288_n

Akinadada wameamua. Wakati Shaa akiwa na silaha yake kutoka kwa Justin Campos, Naj anatarajia kuachia video ya wimbo wake ‘No Going Home’ Ijumaa hii.

11906139_143102326048484_1476360288_n

Video hiyo itaoneshwa kwa mara ya kwanza kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV.

Hajasema ni muongozaji gani aliyeongoza video hiyo bado.

12269800_320422231415171_1632077462_n

Hivi karibuni muimbaji huyo aliyewahi kufanya vizuri na wimbo wake ‘Don’t Let Me Go’ alionekana akiwa studio na Barnaba japo haijulikani kama alikuwa akirekodi wimbo huu mpya.

Jiunge na Bongo5.com...

 

9 years ago

Bongo5

Maurice Kirya kuachia wimbo maalum aliomuimbia marehemu mama yake Ijumaa hii

Maurice Kirya amepanga kuachia wimbo maalum aliomuimbia marehemu mama yake, aliyefariki dunia hivi karibuni. ‘Mama We Made it’ ni wimbo unaopatikana kwenye album ya 3 ya staa huyo wa Uganda iitwayo ‘Mwooyo’. Kupitia mitandao ya kijamii Kirya amesema kuwa wimbo huo utatoka Ijumaa hii Sept 25. “Next Friday, I will release ‘Mama We Made it’ […]

 

10 years ago

Bongo5

Ray C kuachia wimbo mpya MshumMshum (kiss kiss) November hii

Licha ya kuwa nje ya muziki kwa muda mrefu lakini Ray C amesema anatarajia kuachia singo mpya aliyoipa jina la ‘MshumMshum (kiss kiss) Vovember hii. Kupitia Instagram Ray C ameandika jinsi alivyoimiss mic na jukwaa, “Hello to all my fans around the world!kiukweli nimemiss sana jukwaa na Mic……….I just can’t wait to release my new […]

 

10 years ago

Bongo5

Roma: ‘Mwanakondoo’ ni wimbo ambao umekaa kiupako kabisa, aizungumzia single mpya atakayoiachia Ijumaa hii (Dec.12)

Roma anatarajia kuachia single mpya Ijumaa hii iitwayo ‘Mwanakondoo’, ikiwa ni zawadi kwa mashabiki wake katika siku yake ya kuzaliwa Dec.12. “Kesho ni birthday yangu (Dec.12), kwahiyo nikaona katika zile stock za ngoma za Roma tuchukue moja wapo iwe kama zawadi hivi kwa mashabiki wangu, sijawahi kufanya chochote kile kwenye birthday yangu.” Roma ameiambia Bongo5 […]

 

9 years ago

Bongo5

Baghdad atahadharisha watu wasijekuelewa vibaya wimbo wake ujao ‘Ninae’, amewataja Diamond na Alikiba

Rapper Baghdad amewatahadharisha watu wasije kuuelewa vibaya wimbo wake ujao, ‘Ninae.’ Baghdad na mke wake Rapper huyo ambaye hivi ndoa July 25 mwaka huu na mchumba wake waliyedumu kwa miaka mitatu, ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo umefanyika kwenye studio za Kaburu Records na producer akiwa ni Islam Touches ‘Ninae’ unazungumzia mtu ambaye amepata mpenzi wa […]

 

9 years ago

Bongo5

Ash Hamman kuachia video ya Wahala Ijumaa hii

Mkali wa R&B, Ash Hamman wa Dubai, anatarajia kuachia video ya wimbo wake Wahala Ijumaa hii. Ash Hamman, ambaye ni ni mzaliwa wa Nigeria, anajulikana pia kwa nyimbo zake kali kama Body n Soul, I’m Sorry na Over. Video ya Wahala inatajwa kuja kuwa moja ya video ghali zaidi kutengenezwa. “Video hii ya Wahala itawapa […]

 

9 years ago

Bongo5

Jay Moe kuachia ‘Hili Game’ Ijumaa hii

Jaymoe

Jay Moe ataachia wimbo mpya uitwao ‘Hili Game.’ Huo utakuwa wimbo wa kwanza kuutoa tangu aachie wimbo miaka minne iliyopita.

Jaymoe

Akizungumza na 255 ya XXL, Clouds FM, Jay Moe alisema wimbo huo umetayarishwa na P-Funk Majani.

“Mungu akipenda Ijumaa itakuwa birthday tunaweza tukaachia wimbo wangu wa kwanza Jay Mo baada ya miaka 4,” alisema.

“Wimbo unaitwa ‘Hili Game’ na utakuwa muda mzuri kwa sababu nimeelezea muziki ulipotokea mpaka ulipo sasa. Zamani ilivyokuwa na ugumu wake. Kwahiyo vitu kama...

 

9 years ago

Mtanzania

Wangechi kuachia wimbo mpya na Ne-Yo

Wangechi na Ne YoNAIROBI, KENYA

MSANII wa muziki nchini Kenya, Wangechi Mutu, anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao amefanya na mkali wa RnB kutoka nchini Marekani, Ne-Yo.

Wimbo huo uliandaliwa tangu Agosti mwaka huu, hivyo unatarajiwa kuachiwa mwishoni mwa wiki hii huku jina likitarajiwa kutajwa wakati wa utambulisho wa wimbo huo.

“Wimbo ulikuwa tayari muda mrefu, lakini mambo hayakuwa sawa, ila kwa sasa kila kitu kimekamilika na hii ni wiki ya kuachia ngoma hiyo, jina la wimbo litajulikana wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani