Baghdad kuachia wimbo mpya wenye sauti za watu maarufu/mashuhuri 70 Ijumaa hii!
Rapper Baghdad anaachia wimbo mpya Ijumaa hii, wimbo ambao mwenywe anasema utavunja rekodi kutokana na kutumia sauti za watu maarufu/mashuhuri 70.
Katika wimbo huo unaoitwa ‘Unaakili wewe?” kamshirikisha Roma.
Kupitia Instagram Baghdad ambaye ameoa hivi karibuni na kupata mtoto wa kwanza, ameandika:
“Wimbo mpya wa baghdad na Roma unatoka tarehe….4th december Ijumaa!! Wimbo huo umevunja rekodi, kwakuwa wimbo uliohusisha watu maarufu/mashuhuri zaidi ya 50! Ndani ya wimbo huo utawasikia watu...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Nov
Naj kuachia video ya wimbo wake ‘No Going Home’ Ijumaa hii
![11906139_143102326048484_1476360288_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11906139_143102326048484_1476360288_n-300x194.jpg)
Akinadada wameamua. Wakati Shaa akiwa na silaha yake kutoka kwa Justin Campos, Naj anatarajia kuachia video ya wimbo wake ‘No Going Home’ Ijumaa hii.
Video hiyo itaoneshwa kwa mara ya kwanza kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV.
Hajasema ni muongozaji gani aliyeongoza video hiyo bado.
Hivi karibuni muimbaji huyo aliyewahi kufanya vizuri na wimbo wake ‘Don’t Let Me Go’ alionekana akiwa studio na Barnaba japo haijulikani kama alikuwa akirekodi wimbo huu mpya.
Jiunge na Bongo5.com...
9 years ago
Bongo521 Sep
Maurice Kirya kuachia wimbo maalum aliomuimbia marehemu mama yake Ijumaa hii
10 years ago
Bongo531 Oct
Ray C kuachia wimbo mpya MshumMshum (kiss kiss) November hii
10 years ago
Bongo511 Dec
Roma: ‘Mwanakondoo’ ni wimbo ambao umekaa kiupako kabisa, aizungumzia single mpya atakayoiachia Ijumaa hii (Dec.12)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MMkzzKgSLKc/VTcjo-7PitI/AAAAAAAHSTk/ie1GNKSXgBQ/s72-c/IMG-20150421-WA0000.jpg)
9 years ago
Bongo502 Oct
Baghdad atahadharisha watu wasijekuelewa vibaya wimbo wake ujao ‘Ninae’, amewataja Diamond na Alikiba
9 years ago
Bongo510 Sep
Ash Hamman kuachia video ya Wahala Ijumaa hii
9 years ago
Bongo526 Nov
Jay Moe kuachia ‘Hili Game’ Ijumaa hii
![Jaymoe](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/08/Jaymoe-300x194.jpg)
Jay Moe ataachia wimbo mpya uitwao ‘Hili Game.’ Huo utakuwa wimbo wa kwanza kuutoa tangu aachie wimbo miaka minne iliyopita.
Akizungumza na 255 ya XXL, Clouds FM, Jay Moe alisema wimbo huo umetayarishwa na P-Funk Majani.
“Mungu akipenda Ijumaa itakuwa birthday tunaweza tukaachia wimbo wangu wa kwanza Jay Mo baada ya miaka 4,” alisema.
“Wimbo unaitwa ‘Hili Game’ na utakuwa muda mzuri kwa sababu nimeelezea muziki ulipotokea mpaka ulipo sasa. Zamani ilivyokuwa na ugumu wake. Kwahiyo vitu kama...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Wangechi kuachia wimbo mpya na Ne-Yo
NAIROBI, KENYA
MSANII wa muziki nchini Kenya, Wangechi Mutu, anatarajia kuachia wimbo wake mpya ambao amefanya na mkali wa RnB kutoka nchini Marekani, Ne-Yo.
Wimbo huo uliandaliwa tangu Agosti mwaka huu, hivyo unatarajiwa kuachiwa mwishoni mwa wiki hii huku jina likitarajiwa kutajwa wakati wa utambulisho wa wimbo huo.
“Wimbo ulikuwa tayari muda mrefu, lakini mambo hayakuwa sawa, ila kwa sasa kila kitu kimekamilika na hii ni wiki ya kuachia ngoma hiyo, jina la wimbo litajulikana wakati wa...