Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jay Moe kuachia ‘Hili Game’ Ijumaa hii

Jaymoe

Jay Moe ataachia wimbo mpya uitwao ‘Hili Game.’ Huo utakuwa wimbo wa kwanza kuutoa tangu aachie wimbo miaka minne iliyopita.

Jaymoe

Akizungumza na 255 ya XXL, Clouds FM, Jay Moe alisema wimbo huo umetayarishwa na P-Funk Majani.

“Mungu akipenda Ijumaa itakuwa birthday tunaweza tukaachia wimbo wangu wa kwanza Jay Mo baada ya miaka 4,” alisema.

“Wimbo unaitwa ‘Hili Game’ na utakuwa muda mzuri kwa sababu nimeelezea muziki ulipotokea mpaka ulipo sasa. Zamani ilivyokuwa na ugumu wake. Kwahiyo vitu kama...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Music: Jay Moe Ft Deddy – Hili Game

jay Mo

Juma Mohamed Mchopanga a.k.a Jay Moe baada ya kimya karudi na wimbo mpya unaitwa “Hili Game”, Amemshirikisha Deddy Producer P-Funk Majani ndani ya studio za Bongo Records.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Bongo5

Roma a-tease wimbo mpya anaotarajia kuachia, aliowashirikisha Mwana FA, Jay Moe na Mwasiti

Miezi michache iliyopita Roma aliahidi kubadilisha mfumo aliokuwa akiutumia wa kutoa wimbo mmoja kwa mwaka, na kusema sasa ataanza utaratibu wa kutoa wimbo zaidi ya mmoja kwa mwaka ili kukata kiu ya mashabiki wake. Ahadi hiyo aliitoa wakati anaachia single yake ya ‘KKK’ mwezi March mwaka huu. Rapper huyo kutoka Tanga anaelekea kutimiza ahadi yake […]

 

9 years ago

Bongo5

Hii ni kazi nyingine inayomuingiza mkwanja Jay Moe

1390049_1490632847895369_3642028_n

Usipomsikia Jay Moe kwenye redio usidhani hayuko busy kutafuta mkwanja.

1390049_1490632847895369_3642028_n

Akizungumza na Planet Bongo ya EA Radio, Jay Moe alisema anajihusisha na masuala ya ujenzi.

“Fursa ziko nyingi ukiwa mtu fulani mashuhuri kwahiyo unaweza ukapata nafasi nyingi na unaweza ukazichagamkia kupitia celebrity status,” alisema.

“Mimi najihusisha na masuala ya ujenzi, kuinvest kwenye ardhi zaidi, kwahiyo napata pesa kwaajili hiyo.”

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...

 

9 years ago

Bongo5

Ash Hamman kuachia video ya Wahala Ijumaa hii

Mkali wa R&B, Ash Hamman wa Dubai, anatarajia kuachia video ya wimbo wake Wahala Ijumaa hii. Ash Hamman, ambaye ni ni mzaliwa wa Nigeria, anajulikana pia kwa nyimbo zake kali kama Body n Soul, I’m Sorry na Over. Video ya Wahala inatajwa kuja kuwa moja ya video ghali zaidi kutengenezwa. “Video hii ya Wahala itawapa […]

 

9 years ago

Bongo5

Naj kuachia video ya wimbo wake ‘No Going Home’ Ijumaa hii

11906139_143102326048484_1476360288_n

Akinadada wameamua. Wakati Shaa akiwa na silaha yake kutoka kwa Justin Campos, Naj anatarajia kuachia video ya wimbo wake ‘No Going Home’ Ijumaa hii.

11906139_143102326048484_1476360288_n

Video hiyo itaoneshwa kwa mara ya kwanza kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV.

Hajasema ni muongozaji gani aliyeongoza video hiyo bado.

12269800_320422231415171_1632077462_n

Hivi karibuni muimbaji huyo aliyewahi kufanya vizuri na wimbo wake ‘Don’t Let Me Go’ alionekana akiwa studio na Barnaba japo haijulikani kama alikuwa akirekodi wimbo huu mpya.

Jiunge na Bongo5.com...

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Ommy Dimpoz kuachia video ya ‘Tupogo Remix’ Ijumaa hii (Dec. 28)

Ommy Dimpoz anatarajiwa kuachia video ya hit single yake ya mwaka jana ‘Tupogo’, lakini hii ni Remix ambayo imepigwa katika mtindo mwingine. Jokate ndiye ‘mpenzi’ wa Ommy Dimpoz kwenye video hiyo iliyoongozwa na Adam Juma. “Umeshawahi kuona Mahaba ya Mswahili kwenye Treni? Subiri kesho ujionee kwenye – TUPOGO REMIX out tomorrow”- Ommy Dimpoz

 

9 years ago

Bongo5

Maurice Kirya kuachia wimbo maalum aliomuimbia marehemu mama yake Ijumaa hii

Maurice Kirya amepanga kuachia wimbo maalum aliomuimbia marehemu mama yake, aliyefariki dunia hivi karibuni. ‘Mama We Made it’ ni wimbo unaopatikana kwenye album ya 3 ya staa huyo wa Uganda iitwayo ‘Mwooyo’. Kupitia mitandao ya kijamii Kirya amesema kuwa wimbo huo utatoka Ijumaa hii Sept 25. “Next Friday, I will release ‘Mama We Made it’ […]

 

9 years ago

Bongo5

Baghdad kuachia wimbo mpya wenye sauti za watu maarufu/mashuhuri 70 Ijumaa hii!

baghdad

Rapper Baghdad anaachia wimbo mpya Ijumaa hii, wimbo ambao mwenywe anasema utavunja rekodi kutokana na kutumia sauti za watu maarufu/mashuhuri 70.

baghdad

Katika wimbo huo unaoitwa ‘Unaakili wewe?” kamshirikisha Roma.

Kupitia Instagram Baghdad ambaye ameoa hivi karibuni na kupata mtoto wa kwanza, ameandika:

“Wimbo mpya wa baghdad na Roma unatoka tarehe….4th december Ijumaa!! Wimbo huo umevunja rekodi, kwakuwa wimbo uliohusisha watu maarufu/mashuhuri zaidi ya 50! Ndani ya wimbo huo utawasikia watu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani