Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maurice Kirya kuachia wimbo maalum aliomuimbia marehemu mama yake Ijumaa hii

Maurice Kirya amepanga kuachia wimbo maalum aliomuimbia marehemu mama yake, aliyefariki dunia hivi karibuni. ‘Mama We Made it’ ni wimbo unaopatikana kwenye album ya 3 ya staa huyo wa Uganda iitwayo ‘Mwooyo’. Kupitia mitandao ya kijamii Kirya amesema kuwa wimbo huo utatoka Ijumaa hii Sept 25. “Next Friday, I will release ‘Mama We Made it’ […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Naj kuachia video ya wimbo wake ‘No Going Home’ Ijumaa hii

11906139_143102326048484_1476360288_n

Akinadada wameamua. Wakati Shaa akiwa na silaha yake kutoka kwa Justin Campos, Naj anatarajia kuachia video ya wimbo wake ‘No Going Home’ Ijumaa hii.

11906139_143102326048484_1476360288_n

Video hiyo itaoneshwa kwa mara ya kwanza kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV.

Hajasema ni muongozaji gani aliyeongoza video hiyo bado.

12269800_320422231415171_1632077462_n

Hivi karibuni muimbaji huyo aliyewahi kufanya vizuri na wimbo wake ‘Don’t Let Me Go’ alionekana akiwa studio na Barnaba japo haijulikani kama alikuwa akirekodi wimbo huu mpya.

Jiunge na Bongo5.com...

 

9 years ago

Bongo5

Baghdad kuachia wimbo mpya wenye sauti za watu maarufu/mashuhuri 70 Ijumaa hii!

baghdad

Rapper Baghdad anaachia wimbo mpya Ijumaa hii, wimbo ambao mwenywe anasema utavunja rekodi kutokana na kutumia sauti za watu maarufu/mashuhuri 70.

baghdad

Katika wimbo huo unaoitwa ‘Unaakili wewe?” kamshirikisha Roma.

Kupitia Instagram Baghdad ambaye ameoa hivi karibuni na kupata mtoto wa kwanza, ameandika:

“Wimbo mpya wa baghdad na Roma unatoka tarehe….4th december Ijumaa!! Wimbo huo umevunja rekodi, kwakuwa wimbo uliohusisha watu maarufu/mashuhuri zaidi ya 50! Ndani ya wimbo huo utawasikia watu...

 

9 years ago

Bongo5

Chris Brown abadili tarehe ya kuachia album yake ‘Royalty’ iliyokuwa itoke Ijumaa hii

Breezy2

Yale yaliyojitokeza kwenye album iliyopita ya Chris Brown, ‘X’ (kuahirisha tarehe ya kuachia) yameanza kujitokeza tena kwenye album yake mpya ‘Royalty’ ambayo hapo awali ilipagwa itoke Ijumaa hii November 27 lakini sasa imesogezwa mbele.

Breezy2

Chris Brown mwenyewe amethibitisha kuwa sasa album yake hiyo itatoka December 18 mwaka huu.

Hadi jana Nov 23. Breezy alikuwa akipromote tarehe 27 kuwa ndio angeachia ‘Royalty’, lakini taarifa za terehe mpya amezitoa kupitia mahojiano mapya aliyofanya na...

 

9 years ago

Bongo5

Nahreel ni ‘fashion killer’ — Maurice Kirya

12132685_1665005287102888_1813246967_n

Sifa kubwa aliyonayo Nahreel ni kutengeneza beats. Mwaka huu mtayarishaji huyo wa muziki ametengeneza hits kama ‘Nusu Nusu’ ya Joh Makini, Nana ya Diamond, Never Ever ya Vanessa Mdee na zingine.

12132685_1665005287102888_1813246967_n

Lakini kwa mujibu wa muimbaji wa Uganda, Maurice Kirya, member huyo wa kundi la Navy Kenzo ni mvaaji mahiri wa pamba kali.

“Pamoja na kuwa genius katika kutengeneza beats, naweza kumuita [Nahree] fashion killer,” Maurice aliambia website ya Coke Studio kuhusu jinsi alivyofanya kazi na Nahree. “Kila...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Maurice Kirya Feat Ruyonga — Ghost

Msanii Maurice Kirya kutoka Uganda ametoa wimbo mpya unaitwa “Ghost” amemshirikisha Ruyonga Studio Mwooyo Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Sikiliza interview ya Maurice Kirya na Diva

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva The Bawse amefanya interview na staa wa Uganda, Maurice Kirya. Wasikilize hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Bongo5

Jay Moe kuachia ‘Hili Game’ Ijumaa hii

Jaymoe

Jay Moe ataachia wimbo mpya uitwao ‘Hili Game.’ Huo utakuwa wimbo wa kwanza kuutoa tangu aachie wimbo miaka minne iliyopita.

Jaymoe

Akizungumza na 255 ya XXL, Clouds FM, Jay Moe alisema wimbo huo umetayarishwa na P-Funk Majani.

“Mungu akipenda Ijumaa itakuwa birthday tunaweza tukaachia wimbo wangu wa kwanza Jay Mo baada ya miaka 4,” alisema.

“Wimbo unaitwa ‘Hili Game’ na utakuwa muda mzuri kwa sababu nimeelezea muziki ulipotokea mpaka ulipo sasa. Zamani ilivyokuwa na ugumu wake. Kwahiyo vitu kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani