Maurice Kirya kuachia wimbo maalum aliomuimbia marehemu mama yake Ijumaa hii
Maurice Kirya amepanga kuachia wimbo maalum aliomuimbia marehemu mama yake, aliyefariki dunia hivi karibuni. ‘Mama We Made it’ ni wimbo unaopatikana kwenye album ya 3 ya staa huyo wa Uganda iitwayo ‘Mwooyo’. Kupitia mitandao ya kijamii Kirya amesema kuwa wimbo huo utatoka Ijumaa hii Sept 25. “Next Friday, I will release ‘Mama We Made it’ […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo520 Nov
Naj kuachia video ya wimbo wake ‘No Going Home’ Ijumaa hii
Akinadada wameamua. Wakati Shaa akiwa na silaha yake kutoka kwa Justin Campos, Naj anatarajia kuachia video ya wimbo wake ‘No Going Home’ Ijumaa hii.
Video hiyo itaoneshwa kwa mara ya kwanza kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV.
Hajasema ni muongozaji gani aliyeongoza video hiyo bado.
Hivi karibuni muimbaji huyo aliyewahi kufanya vizuri na wimbo wake ‘Don’t Let Me Go’ alionekana akiwa studio na Barnaba japo haijulikani kama alikuwa akirekodi wimbo huu mpya.
Jiunge na Bongo5.com...
9 years ago
Bongo503 Dec
Baghdad kuachia wimbo mpya wenye sauti za watu maarufu/mashuhuri 70 Ijumaa hii!
Rapper Baghdad anaachia wimbo mpya Ijumaa hii, wimbo ambao mwenywe anasema utavunja rekodi kutokana na kutumia sauti za watu maarufu/mashuhuri 70.
Katika wimbo huo unaoitwa ‘Unaakili wewe?” kamshirikisha Roma.
Kupitia Instagram Baghdad ambaye ameoa hivi karibuni na kupata mtoto wa kwanza, ameandika:
“Wimbo mpya wa baghdad na Roma unatoka tarehe….4th december Ijumaa!! Wimbo huo umevunja rekodi, kwakuwa wimbo uliohusisha watu maarufu/mashuhuri zaidi ya 50! Ndani ya wimbo huo utawasikia watu...
9 years ago
Bongo524 Nov
Chris Brown abadili tarehe ya kuachia album yake ‘Royalty’ iliyokuwa itoke Ijumaa hii
Yale yaliyojitokeza kwenye album iliyopita ya Chris Brown, ‘X’ (kuahirisha tarehe ya kuachia) yameanza kujitokeza tena kwenye album yake mpya ‘Royalty’ ambayo hapo awali ilipagwa itoke Ijumaa hii November 27 lakini sasa imesogezwa mbele.
Chris Brown mwenyewe amethibitisha kuwa sasa album yake hiyo itatoka December 18 mwaka huu.
Hadi jana Nov 23. Breezy alikuwa akipromote tarehe 27 kuwa ndio angeachia ‘Royalty’, lakini taarifa za terehe mpya amezitoa kupitia mahojiano mapya aliyofanya na...
9 years ago
Bongo512 Nov
Nahreel ni ‘fashion killer’ — Maurice Kirya
Sifa kubwa aliyonayo Nahreel ni kutengeneza beats. Mwaka huu mtayarishaji huyo wa muziki ametengeneza hits kama ‘Nusu Nusu’ ya Joh Makini, Nana ya Diamond, Never Ever ya Vanessa Mdee na zingine.
Lakini kwa mujibu wa muimbaji wa Uganda, Maurice Kirya, member huyo wa kundi la Navy Kenzo ni mvaaji mahiri wa pamba kali.
“Pamoja na kuwa genius katika kutengeneza beats, naweza kumuita [Nahree] fashion killer,” Maurice aliambia website ya Coke Studio kuhusu jinsi alivyofanya kazi na Nahree. “Kila...
9 years ago
Bongo528 Sep
Music: Maurice Kirya Feat Ruyonga — Ghost
9 years ago
Bongo501 Sep
Audio: Sikiliza interview ya Maurice Kirya na Diva
9 years ago
Vijimambo10 years ago
Vijimambo9 years ago
Bongo526 Nov
Jay Moe kuachia ‘Hili Game’ Ijumaa hii
Jay Moe ataachia wimbo mpya uitwao ‘Hili Game.’ Huo utakuwa wimbo wa kwanza kuutoa tangu aachie wimbo miaka minne iliyopita.
Akizungumza na 255 ya XXL, Clouds FM, Jay Moe alisema wimbo huo umetayarishwa na P-Funk Majani.
“Mungu akipenda Ijumaa itakuwa birthday tunaweza tukaachia wimbo wangu wa kwanza Jay Mo baada ya miaka 4,” alisema.
“Wimbo unaitwa ‘Hili Game’ na utakuwa muda mzuri kwa sababu nimeelezea muziki ulipotokea mpaka ulipo sasa. Zamani ilivyokuwa na ugumu wake. Kwahiyo vitu kama...