Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Neylee aeleza alichokiimba kwenye wimbo mpya ‘Hasara Roho’

Mshindi wa Serengeti Super Nyota 2012 kutoka mkoani Mbeya, Neylee amesema wimbo wake mpya ujao ‘Hasara Roho’ unaelezea changamoto mbalimbali za maisha ya binadamu na jinsi ya kuachana nazo. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa katika maisha ya binadamu kuna vitu unaweza kukutana navyo na vikakuvunja moyo. “Hasara Roho ni wimbo ambao kwanza unajieleza katika hali […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Bongo5

Kala Jeremiah kuachia wimbo mpya mwezi ujao, pia aeleza sababu za kumtumia director Pablo kwenye video nyingi

Kala

Baada ya kipindi cha kampeni kupita Kala Jeremiah pia yuko kwenye foleni ya wasanii wanaotaka kutoa kazi mpya za kufungua mwaka.

Kala

Kala ameiambia Bongo5 kuwa tayari video ya kazi mpya imekamilika na anatarajia kuitoa hivi karibuni.

“Video ya wimbo mpya na nimeshoot na PABLO ila nisingependa kwanza kutaja jina la wimbo, lakini mwezi wa 12 lazima itoke”.

Video nne zilizopita za Kala (Nchi ya Ahadi, Usikate Tamaa, Simu Ya Mwisho, Wale Wale) zote zimeongozwa na Pablo, kuhusu kwanini ameamua...

 

9 years ago

Bongo5

Nick wa Pili aeleza kwanini wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’ umekuwa gumzo mapema

10475068_580578882090207_1870253540_n

Rapper wa kundi la Weusi, Nick wa Pili amesema wimbo wake mpya ‘Baba Swalehe’ umekuwa gumzo mapema kutokana na ujumbe wake na jinsi alivyobadilika kwenye aina ya uchanaji.

10475068_580578882090207_1870253540_n

Rapper huyo ameiambia Bongo5 kuwa wimbo huo utakuwa ni miongoni mwa nyimbo zake zitakazoishi kwa muda mrefu zaidi.

“Kichwa cha jina la wimbo kimechangia wimbo kwenda haraka, utofauti wa kilichoimbwa, ujumbe ni wa kufurahisha sana, muundo wa chorus ni mpya, beat hata michano ni vipya ndio kitu ambacho kimewagusa watu,”...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

OYA MWANA HASARA ROHO, PESA MAKARATASI!

Inakuwaje watu wangu wa nguvu? Ama nini? Imekaaje kitaa hiyo ya kona mbaya kwa fasi ya Roki Siti? Kipande hii Bongo tambarare nini na nini sema ndo hivo washkaji wanakaza kidizaini f’lani hivi. Enewei, kama vipi barida!
Wazazi ishu za ajali zinazingua kinoma wanangu. Nini kimehapeni masela? Ngoja nitumie chansi hii kuwapa sori wale wote mliolosti ndugu, jamaa na mafrendis. Tugetha tuseme r.i.p kwa wana waliolosti laifu....

 

11 years ago

CloudsFM

ZITTO KABWE AINGIZA SAUTI KWENYE WIMBO MPYA WA LINEX

Staa wa Bongo Fleva,Linex Sunday Mjeda hivi karibuni ataandika historia kwa kutambulisha video ya ngoma yake “wema kwa ubaya” katika ukumbi flani na tukio hilo kuonyeshwa live kwenye tv station mbili nchini Tanzania, na katika ngoma hiyo itaskika sauti ya mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mheshimiwa Zito Kabwe.Kwa mara ya kwanza pia linex ameweka rekodi kwa kumlipa mkwanja mrefu director Adam Juma next lavel ambaye hivi karibuni aliwahi kufunguka kuwa tangu aanze kazi yake hajawahi kulipwa zaidi...

 

9 years ago

Bongo5

Enrico aeleza faida na hasara za kuwepo watayarishaji wengi wa muziki

Mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa nchini, Enrico Figueiro wa studio za Sound Crafters, amezitaja faida na hasara zilizojitokeza kutokana na kuongezeka kwa watayarishaji wa muziki. Enrico amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa wasanii wamenufaika zaidi lakini muziki umeshuka kiwango. “Watayarishaji wa muziki wa sasa wengi ni vijana na hali ya computerized […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: K.O aachia wimbo mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake

K.O

Rapper wa Afrika Kusini K.O aka Cashtime ameachia wimbno mpya ‘Ding Dong’ kutoka kwenye album yake iitwayo ‘Skhanda Republic’.

K.O

K.O alisema video ya wimbo huu anategemea kuiachia mwishoni mwa mwezi huu.

Miezi michache iliyopita K.O ambaye amewahi kushirikishwa kwenye wimbo wa Vanessa Mdee ‘ No Body But Me’ alikuja Tanzania kufanya media tour.

Ding Dong | tayotv

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose...

 

10 years ago

Bongo5

Jordin Sparks amdis ex-mchumba wake Jason Derulo kwenye wimbo mpya ‘How Bout Now’ remix

Jordin Sparks ametoa wimbo mpya ambao ndani yake amemzungumzia aliyekuwa mchumba wake Jason Derulo ambaye waliachana September mwaka huu baada ya kudumu kwa miaka mitatu. Haya ni baadhi ya mashairi ya wimbo huo yanayozungumzia uhusiano wao: “Remember I deleted all my other guys’ numbers out my phone for ya? / Remember when you broke your […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani