Enrico aeleza faida na hasara za kuwepo watayarishaji wengi wa muziki
Mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa nchini, Enrico Figueiro wa studio za Sound Crafters, amezitaja faida na hasara zilizojitokeza kutokana na kuongezeka kwa watayarishaji wa muziki. Enrico amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa wasanii wamenufaika zaidi lakini muziki umeshuka kiwango. “Watayarishaji wa muziki wa sasa wengi ni vijana na hali ya computerized […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Oct
Enrico adai ubora wa muziki wa Bongo Flava umeshuka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3pbaBKayUO8MGpgMaSuJoQ3pu2FxjcIePmToRnslBkDuj4cznfp8I6YETbxzE18tm2LrioHTNB3sHyXprU-ImTLzdLkRkE1V/Latinostudentgroup.jpg?width=650)
FAIDA NA HASARA YA LIKIZO NA MUONGOZO WAKE-2
10 years ago
Mwananchi22 Mar
Faida na Hasara za majibizano katika mahusiano
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Faida, hasara usajili ghali wa Man U
11 years ago
Mwananchi27 Feb
Faida na hasara za kuuza hisa wakati wa gawio
9 years ago
Mwananchi05 Sep
Wasanii kujihusisha na siasa, ni faida ama hasara?
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Faida na hasara za Serikali ya Magufuli kubana matumizi
11 years ago
Mwananchi27 May
Elimu iwakumbushe vijana faida na hasara za ukoloni (2)
9 years ago
Bongo523 Nov
COSOTA yaalika wasanii na watayarishaji wa muziki kwenye semina ya kujadili malipo ya matumizi ya kazi zao
![Muziki Pesa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Muziki-Pesa-300x194.jpg)
Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kimewaalika wasanii wa muziki pamoja na watayarishaji katika semina ya kujadidi malipo ya matumizi ya kazi zao.
Semina hiyo itafanyika tarehe 25 siku ya jumatano, saa 4 asubuhi katika ukumbi wa Tanzania Commission For Science and Technology (COSTECH) Kijitonyama (Sayansi) jijini Dar es salaam.
Pia kwa msanii wa muziki pamoja na watayarishaji ambayo watapenda kushiriki wanatakiwa kuthibitisha uwepo wako kwa kutuma ujumbe mfupi (SMS) kwenda kwenye namba...