Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


COSOTA yaalika wasanii na watayarishaji wa muziki kwenye semina ya kujadili malipo ya matumizi ya kazi zao

Muziki Pesa

Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kimewaalika wasanii wa muziki pamoja na watayarishaji katika semina ya kujadidi malipo ya matumizi ya kazi zao.
Muziki Pesa

Semina hiyo itafanyika tarehe 25 siku ya jumatano, saa 4 asubuhi katika ukumbi wa Tanzania Commission For Science and Technology (COSTECH) Kijitonyama (Sayansi) jijini Dar es salaam.

Pia kwa msanii wa muziki pamoja na watayarishaji ambayo watapenda kushiriki wanatakiwa kuthibitisha uwepo wako kwa kutuma ujumbe mfupi (SMS) kwenda kwenye namba...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Nape aonya vyombo vya habari kutumia muziki ya wasanii bila idhini ya COSOTA

Serikali imetoa tamko kwa vyombo vyote vya habari nchini kuanzia january mosi mwakani kutokutumia muziki wa aina yeyote ule wa ndani au nje bila kibali kutoka Cosota.

Wakitoa tamko hilo kwa pamoja waziri wa habari michezo na utamaduni Nape Nnauye na waziri wa viwanda na biashara Charles Mwijage wamewataka wamiliki wa vyombo vya habari kutoa ushirikiano.

Nape amesema atalisimamia zoezi hilo na kutoa tahadhari kwa chombo chochote cha habari kitachokiuka tamko hilo hatakionea haya kukifungia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Best Records kuwapa semina wasanii wa muziki

MKURUGENZI wa studio ya Best Records iliyopo jijini Dar es Salaam, Benjamin Nzogu, amesema wanakusudia kuanza kutoa semina kwa wasanii wote wanaofika kurekodi nyimbo zao kwao, hasa kwa wale wanaoonekana...

 

10 years ago

Vijimambo

WASANII WA MUZIKI WA BONGO FLAVOUR WAIKACHA SEMINA MUHIMU YA TCRA

 Nick wa Pili na G-Nako walihudhuria semina hiyoRapper Nick wa Pili ambaye ni mmoja ya wasanii waliolikwa na mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA kwenye semina inayohusu masuala ya uhalifu wa mtandaoni Alhamis hii, ameshangazwa na muitikio hafifu wa wasanii wenzake.Viti vitupu!
Nick amesema kati ya wasanii 70 waliokuwa wamealikwa kwenye semina hiyo, ni chini ya wasanii watano waliohudhuria.
“Tupo katika seminar ya wasanii wa bongo fleva iliyoandaliwa na TCRA….imeuzuriwa na viongozi wa juu na...

 

11 years ago

Michuzi

SEMINA YA WASANII WA MBALIMBALI WA MUZIKI NA FILAMU YAFANYIKA JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji Kampuni ya Chief Promotion,Amoni Mkoga akizungumza wakati wa semina ya wasanii wa Muziki pamoja na wale wa Filamu iliofanyika katika ukumbi wa Vijana Kinondoni jijini Dar es Salaam 21 Februari-2014. lengo la semina hiyo ilikuwa ni kuzungumzia hakimili kwa wasanii pamoja na kujiunga na mifuko ya jamii ili kujiwekea akiba ya baadae (kushoto), Afisa Mwandamizi wa Huduma kwa Mlipa Kodi TRA, Msafiri Mbibo (watatu kulia), Kaimu Afisa Kumbumbuku COSOTA Bw Philemon...

 

10 years ago

Michuzi

Uongozi wa msanii T.I washiriki semina ya fursa Ndogo ya wasanii na wadau wa muziki ndani ya ukumbi wa Little Theather ,jijini Dar

 Meneja wa Msanii wa Kimataifa T.I anayetarajiwa kuwasili chini , kwa ajiri ya kutumbuiza kwenye Tamasha la Fiesta 2014 hapo kesho katika viwanja vya Lidaz Club jijini Dar, Jonson Geter wa kwanza kushoto akifafanua jambo moja ya swali lililoulizwa na mmoja  wasanii walioshiriki kwenye semina ya fursa ndogo ya Wasanii na wadau wa muziki iliyofanyika kwenye ukumbi wa Litle Theather,jijini Dar,Pichani kulia ni Prodyuza  mahiri wa Muziki wa hapa nchini anayemiliki studioo yake ya Bongo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii wetu waonyeshe ubunifu katika kazi zao

TUKIWA mwanzoni mwa mwaka tasnia ya filamu imeingia mwaka 2014 ikiwa imepiga hatua kiasi kutokana na wasanii kuboresha kazi zao, hasa baada ya kujifunza kutoka kwa wengine ambao wamepiga hatua...

 

11 years ago

Michuzi

WASANII WA TANZANIA WAPATA PA KUUZIA KAZI ZAO MTANDAONI

Baada ya kuhaha kwa muda mrefu kutafuta jinsi ya kuuza kazi zao, mkombozi wa swala la kuibiwa jasho lao amekuja kwa njia ya MKITO, mtandao ambao unauza kazi za wasanii mtandaoni kirahisi kabisa. 
KWA WASANII Tafadhali wasiliana na Mkito kwa simu namba +255 767 769 921 au kwa barua pepe support@mkito.com kwa mawasiliano zaidi.
Angalia banner hapo juu ya BLOG kama hiyo pichani na BOFYA uende kwenye mtandao huo moja kwa moja. La, kama vipi acha tukusaidie - BOFYA HAPA 

 

9 years ago

Bongo5

P-Funk adai ‘CMEA’ itahakikisha wasanii wananufaika na kazi zao

Professor Jay na Diamond wakiwa ndani studio ya P. Funk Majani

Kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) imesema kasi mpya ya Rais Dk John Pombe Magufuli inaonesha matumaini mapya kwa wasanii.

Professor Jay na Diamond wakiwa ndani studio ya P. Funk Majani

Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni mkurugenzi mkuu wa CMEA, Paul Matthysse aka P-Funk alisema sheria za haki miliki zipo vizuri lakini tatizo ni utekelezaji.

“Sisi tunaimani sana na Rais mpya kwa kasi aliyoanza nayo. Tatizo lililopo siyo sheria tatizo ni utekelezaji. Mimi kama CEO wa CMEA niko mstari wa mbele...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani