COSOTA yaalika wasanii na watayarishaji wa muziki kwenye semina ya kujadili malipo ya matumizi ya kazi zao
Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kimewaalika wasanii wa muziki pamoja na watayarishaji katika semina ya kujadidi malipo ya matumizi ya kazi zao.
Semina hiyo itafanyika tarehe 25 siku ya jumatano, saa 4 asubuhi katika ukumbi wa Tanzania Commission For Science and Technology (COSTECH) Kijitonyama (Sayansi) jijini Dar es salaam.
Pia kwa msanii wa muziki pamoja na watayarishaji ambayo watapenda kushiriki wanatakiwa kuthibitisha uwepo wako kwa kutuma ujumbe mfupi (SMS) kwenda kwenye namba...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV17 Dec
Nape aonya vyombo vya habari kutumia muziki ya wasanii bila idhini ya COSOTA
Serikali imetoa tamko kwa vyombo vyote vya habari nchini kuanzia january mosi mwakani kutokutumia muziki wa aina yeyote ule wa ndani au nje bila kibali kutoka Cosota.
Wakitoa tamko hilo kwa pamoja waziri wa habari michezo na utamaduni Nape Nnauye na waziri wa viwanda na biashara Charles Mwijage wamewataka wamiliki wa vyombo vya habari kutoa ushirikiano.
Nape amesema atalisimamia zoezi hilo na kutoa tahadhari kwa chombo chochote cha habari kitachokiuka tamko hilo hatakionea haya kukifungia...
11 years ago
Tanzania Daima19 Apr
Best Records kuwapa semina wasanii wa muziki
MKURUGENZI wa studio ya Best Records iliyopo jijini Dar es Salaam, Benjamin Nzogu, amesema wanakusudia kuanza kutoa semina kwa wasanii wote wanaofika kurekodi nyimbo zao kwao, hasa kwa wale wanaoonekana...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9AYd56IeiR8/VcSJQt6x0KI/AAAAAAABTPc/P3TkA3QIw48/s72-c/11351952_951361521590111_1244190867_n.jpg)
WASANII WA MUZIKI WA BONGO FLAVOUR WAIKACHA SEMINA MUHIMU YA TCRA
![](http://2.bp.blogspot.com/-9AYd56IeiR8/VcSJQt6x0KI/AAAAAAABTPc/P3TkA3QIw48/s640/11351952_951361521590111_1244190867_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BV7loHXG008/VcSJQ8-_viI/AAAAAAABTPY/k1UKkc-zrhU/s640/11380286_1654921664791994_1455174282_n.jpg)
Nick amesema kati ya wasanii 70 waliokuwa wamealikwa kwenye semina hiyo, ni chini ya wasanii watano waliohudhuria.
“Tupo katika seminar ya wasanii wa bongo fleva iliyoandaliwa na TCRA….imeuzuriwa na viongozi wa juu na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eaexLD4YO2s/UwhSwvZpRsI/AAAAAAAAdrI/fe8G7la7X0k/s72-c/001.jpg)
SEMINA YA WASANII WA MBALIMBALI WA MUZIKI NA FILAMU YAFANYIKA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-eaexLD4YO2s/UwhSwvZpRsI/AAAAAAAAdrI/fe8G7la7X0k/s1600/001.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-JVypfWRIQXA/VEDpqAKw93I/AAAAAAAGrMA/I-_qNTbfTsM/s72-c/7.jpg)
Uongozi wa msanii T.I washiriki semina ya fursa Ndogo ya wasanii na wadau wa muziki ndani ya ukumbi wa Little Theather ,jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-JVypfWRIQXA/VEDpqAKw93I/AAAAAAAGrMA/I-_qNTbfTsM/s1600/7.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima03 Jan
Wasanii wetu waonyeshe ubunifu katika kazi zao
TUKIWA mwanzoni mwa mwaka tasnia ya filamu imeingia mwaka 2014 ikiwa imepiga hatua kiasi kutokana na wasanii kuboresha kazi zao, hasa baada ya kujifunza kutoka kwa wengine ambao wamepiga hatua...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hvFrApu-zuw/U5q2ZOJY5hI/AAAAAAAFqSg/_NGq2Za66OQ/s72-c/top-banner-amini.jpg)
WASANII WA TANZANIA WAPATA PA KUUZIA KAZI ZAO MTANDAONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-hvFrApu-zuw/U5q2ZOJY5hI/AAAAAAAFqSg/_NGq2Za66OQ/s1600/top-banner-amini.jpg)
KWA WASANII Tafadhali wasiliana na Mkito kwa simu namba +255 767 769 921 au kwa barua pepe support@mkito.com kwa mawasiliano zaidi.
Angalia banner hapo juu ya BLOG kama hiyo pichani na BOFYA uende kwenye mtandao huo moja kwa moja. La, kama vipi acha tukusaidie - BOFYA HAPA
9 years ago
Bongo517 Nov
P-Funk adai ‘CMEA’ itahakikisha wasanii wananufaika na kazi zao
![Professor Jay na Diamond wakiwa ndani studio ya P. Funk Majani](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/09/Professor-Jay-na-Diamond-wakiwa-ndani-studio-ya-P.-Funk-Majani-300x194.jpg)
Kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) imesema kasi mpya ya Rais Dk John Pombe Magufuli inaonesha matumaini mapya kwa wasanii.
Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni mkurugenzi mkuu wa CMEA, Paul Matthysse aka P-Funk alisema sheria za haki miliki zipo vizuri lakini tatizo ni utekelezaji.
“Sisi tunaimani sana na Rais mpya kwa kasi aliyoanza nayo. Tatizo lililopo siyo sheria tatizo ni utekelezaji. Mimi kama CEO wa CMEA niko mstari wa mbele...