Wasanii wetu waonyeshe ubunifu katika kazi zao
TUKIWA mwanzoni mwa mwaka tasnia ya filamu imeingia mwaka 2014 ikiwa imepiga hatua kiasi kutokana na wasanii kuboresha kazi zao, hasa baada ya kujifunza kutoka kwa wengine ambao wamepiga hatua...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo22 Jan
NHC yaendesha kongamano na kuwataka watendaji wake kuongeza ubunifu katika kazi zao
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hvFrApu-zuw/U5q2ZOJY5hI/AAAAAAAFqSg/_NGq2Za66OQ/s72-c/top-banner-amini.jpg)
WASANII WA TANZANIA WAPATA PA KUUZIA KAZI ZAO MTANDAONI
![](http://4.bp.blogspot.com/-hvFrApu-zuw/U5q2ZOJY5hI/AAAAAAAFqSg/_NGq2Za66OQ/s1600/top-banner-amini.jpg)
KWA WASANII Tafadhali wasiliana na Mkito kwa simu namba +255 767 769 921 au kwa barua pepe support@mkito.com kwa mawasiliano zaidi.
Angalia banner hapo juu ya BLOG kama hiyo pichani na BOFYA uende kwenye mtandao huo moja kwa moja. La, kama vipi acha tukusaidie - BOFYA HAPA
9 years ago
Bongo517 Nov
P-Funk adai ‘CMEA’ itahakikisha wasanii wananufaika na kazi zao
![Professor Jay na Diamond wakiwa ndani studio ya P. Funk Majani](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2014/09/Professor-Jay-na-Diamond-wakiwa-ndani-studio-ya-P.-Funk-Majani-300x194.jpg)
Kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) imesema kasi mpya ya Rais Dk John Pombe Magufuli inaonesha matumaini mapya kwa wasanii.
Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni mkurugenzi mkuu wa CMEA, Paul Matthysse aka P-Funk alisema sheria za haki miliki zipo vizuri lakini tatizo ni utekelezaji.
“Sisi tunaimani sana na Rais mpya kwa kasi aliyoanza nayo. Tatizo lililopo siyo sheria tatizo ni utekelezaji. Mimi kama CEO wa CMEA niko mstari wa mbele...
9 years ago
Bongo528 Sep
Mona G adai nguvu inayotumika kuwaadhibu wasanii wanapokosea, itumike pia kulinda kazi zao
9 years ago
Bongo523 Nov
COSOTA yaalika wasanii na watayarishaji wa muziki kwenye semina ya kujadili malipo ya matumizi ya kazi zao
![Muziki Pesa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Muziki-Pesa-300x194.jpg)
Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA) kimewaalika wasanii wa muziki pamoja na watayarishaji katika semina ya kujadidi malipo ya matumizi ya kazi zao.
Semina hiyo itafanyika tarehe 25 siku ya jumatano, saa 4 asubuhi katika ukumbi wa Tanzania Commission For Science and Technology (COSTECH) Kijitonyama (Sayansi) jijini Dar es salaam.
Pia kwa msanii wa muziki pamoja na watayarishaji ambayo watapenda kushiriki wanatakiwa kuthibitisha uwepo wako kwa kutuma ujumbe mfupi (SMS) kwenda kwenye namba...
9 years ago
Mtanzania23 Sep
Wasanii wa kike walio katika mapenzi na wadogo zao
NA GEORGE KAYALA
NICK Cannon na Mariah Carey walifunga ndoa mwaka 2008, licha ya Mariah kuwa na umri mkubwa zaidi ya Nick.
Maisha yao yalikuwa na furaha na kila mmoja alimfurahia mwenzake, huku wakijivunia uhusiano wao uliopelekea ndoa yao kiasi kwamba wakapata watoto wawili mapacha, Monroe na Moroccan Scott Cannon.
Lakini baadaye wawili hao waliachana katika hali ya kutatanisha, kwa kuwa hakuna aliyewahi kuweka wazi kilichosababisha kutengana kwao, ingawa zipo tetesi kwamba wawili hao...
9 years ago
Bongo529 Sep
Hofu ya wasanii wengine kutoa kazi zao kipindi cha uchaguzi imenipa mimi uwanja wa kujidai — Belle 9
11 years ago
GPLWAZIRI WA KAZI NA AJIRA MH. GAUDENTIA KABAKA ATEMBELEA BANDA LA GEPF NA KUSIFU UBUNIFU WA MFUKO WA GEPF KATIKA KUTOA HIFADHI YA JAMII KWA WAJASIRIAMALI
11 years ago
MichuziVYUO mbalimbali nchini Vyashauriwa kujenga mahusiano ya kirafiki ili kubadilishana uzoefu katika kufanya kazi zao.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10