Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hofu ya wasanii wengine kutoa kazi zao kipindi cha uchaguzi imenipa mimi uwanja wa kujidai — Belle 9

Wasanii wengi wa Bongo wamesitisha kutoa kazi zao katika kipindi hiki cha uchaguzi kwa kuhofia kuzipoteza kwa kumezwa na kampeni za siasa, lakini Belle 9 aliamua kujitosa na kutoa video yake mpya ‘Shauri Zao’ wiki iliyopita. Belle 9 ameiambia Bongo 5 kuwa hajutii kutoa video katika kipindi hiki kwasababu kutokana na wasanii wengi kuogopa kutoa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video yangu ‘Shauri Zao’ kuchezwa Trace Tv imenipa changamoto mpya — Belle 9

Staa wa RnB, Belle 9 ameelezea furaha aliyoipata baada ya kuanza kuona ndoto zake zimeanza kutimia. “Kiukweli nimejiskia amani, nimejiskia furaha sana yaani nina vibe ambayo aisee yaani niko very surprised mpaka sasa hivi ninavyoongea hapa bado sijatulia kabisa,” hayo ni maneno ya Belle 9 alipozungumza na Bongo5 baada ya video yake kutambulishwa na Tv […]

 

9 years ago

Bongo5

Audio: Sikiliza kipindi cha Chill na Sky kikiwa na Belle 9

11899652_1643124802633842_393297353_nKwenye kipindi cha Chill na Sky wiki hii, Fredrick ‘Skywalker’ Bundala, amechill na muimbaji wa R&B, Belle 9 kuzungumza mambo kibao. Sikiliza kipindi hicho hapo chini. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Wangalizi wa uchaguzi wa kimataifa tayari wameanza kuendelea na kazi zao kuelekea uchaguzi mwezi huu oktoba 25

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Liberata Mulamula, na Balozi wa Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania, Mhe. Filiberto Sebregondi, wakitia sign ya Makubaliano ya kuruhusu waangalizi wa uchaguzi kutoka […]

The post Wangalizi wa uchaguzi wa kimataifa tayari wameanza kuendelea na kazi zao kuelekea uchaguzi mwezi huu oktoba 25 appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Michuzi

WASANII WA TANZANIA WAPATA PA KUUZIA KAZI ZAO MTANDAONI

Baada ya kuhaha kwa muda mrefu kutafuta jinsi ya kuuza kazi zao, mkombozi wa swala la kuibiwa jasho lao amekuja kwa njia ya MKITO, mtandao ambao unauza kazi za wasanii mtandaoni kirahisi kabisa. 
KWA WASANII Tafadhali wasiliana na Mkito kwa simu namba +255 767 769 921 au kwa barua pepe support@mkito.com kwa mawasiliano zaidi.
Angalia banner hapo juu ya BLOG kama hiyo pichani na BOFYA uende kwenye mtandao huo moja kwa moja. La, kama vipi acha tukusaidie - BOFYA HAPA 

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii wetu waonyeshe ubunifu katika kazi zao

TUKIWA mwanzoni mwa mwaka tasnia ya filamu imeingia mwaka 2014 ikiwa imepiga hatua kiasi kutokana na wasanii kuboresha kazi zao, hasa baada ya kujifunza kutoka kwa wengine ambao wamepiga hatua...

 

5 years ago

BBCSwahili

Hofu ya kuenea kwa corona kipindi cha Ramadhani

Kuanzia Alhamisi wiki hii Waislamu wanataraji kuingia katika mfungo wa Ramadhani.

 

9 years ago

Bongo5

P-Funk adai ‘CMEA’ itahakikisha wasanii wananufaika na kazi zao

Professor Jay na Diamond wakiwa ndani studio ya P. Funk Majani

Kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) imesema kasi mpya ya Rais Dk John Pombe Magufuli inaonesha matumaini mapya kwa wasanii.

Professor Jay na Diamond wakiwa ndani studio ya P. Funk Majani

Akizungumza na Bongo5 hivi karibuni mkurugenzi mkuu wa CMEA, Paul Matthysse aka P-Funk alisema sheria za haki miliki zipo vizuri lakini tatizo ni utekelezaji.

“Sisi tunaimani sana na Rais mpya kwa kasi aliyoanza nayo. Tatizo lililopo siyo sheria tatizo ni utekelezaji. Mimi kama CEO wa CMEA niko mstari wa mbele...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Tazama kionjo cha video mpya ya Belle 9 — ‘Shauri Zao’

Belle 9 amekamilisha video ya wimbo wake ‘Shauri Zao’ iliyoongozwa na Hanscana. Lakini kabla hajaiachia rasmi, msanii huyo kutoka mji kasoro bahari, Morogoro amekupa kionjo cha sekunde 15 cha video hiyo. Itazame Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia […]

 

10 years ago

Dewji Blog

Kipindi cha “Mimi na Tanzania” chawashukuru watanzania kwa kuchangia matibabu

10311052_1940774076061511_5395068416549286320_n

Pichani ni Zuhura Matata mgonjwa mwenye uhitaji wa upasuaji  utakaofanyika nchini India.

Kipindi cha “Mimi na Tanzania” kinachoongozwa na mrembo aliyewahi kushika taji Miss Tanzania mwaka 1999 Hoyce Temu, kinatoa shukrani kwa watanzania wote walioguswa na kufanikisha michango ya matibabu ya Zuhura Matata mwenye tatizo la kuvimba mguu ambao unahitaji Oparesheni nchini India.

Kupitia Akaunti yake ya mtandao wa kijamii Facebook muongozaji wa kipindi hicho Hoyce Temu ameandikia ujumbe wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani