Enrico adai ubora wa muziki wa Bongo Flava umeshuka
Mtayarishaji wa muziki wa Sound Crafters, Enrico amesema nyimbo zote zinazotoka miaka ya hivi karibuni hazina ubora sababu ambayo anadai inasababisha zisidumu. “Mpaka sasa sijaona wimbo mkali, nyimbo zote ni sawa tu, zinakaa siku mbili, tatu au wiki nne zinapotea,” alisema. “Hakuna Bongo Flava ya kukaa miaka miwili,” Enrico aliambia E-Newz ya EATV Pia Enrico […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili16 Jan
Bongo flava muziki wa Tanzania unavyokua
9 years ago
Bongo505 Oct
Inspector Haroun adai Bongo Flava inapoteza utambulisho wake
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-F19iCo2NHtc/VkigXly1mkI/AAAAAAAIF8w/s4NzGrP9xos/s72-c/d033ae22-f21e-40a9-a81d-620481f5be13.jpg)
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Flava Luteni Karama aja kivingine
![](http://2.bp.blogspot.com/-F19iCo2NHtc/VkigXly1mkI/AAAAAAAIF8w/s4NzGrP9xos/s320/d033ae22-f21e-40a9-a81d-620481f5be13.jpg)
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Flava, Luteni Karama (kushoto), amefanya ujio mpya wa kimuziki baada ya kuachia ngoma moja kali iitwayo ‘The Way I Feel’ akimshirikisha msanii toka Ufaransa, Jerry Julian (chini) na tayari imeanza kufanya vema kwenye mitandao na vituo vya redio na runinga.
Karama amepasha kuwa, baada ya kimya kirefu, ameamua kurejea kwenye game kwa mtindo tofauti ambapo muelekeo wake unathibitika katika kazi yake mpya ya The Way I Feel ambayo tayari...
9 years ago
Bongo506 Nov
Temba adai mwaka 2015 umekuwa wa mafanikio kwa muziki wa Bongo
![10919100_282718041852156_79790684_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/10919100_282718041852156_79790684_n1-300x194.jpg)
Mheshimiwa Temba amesema mwaka 2015 ni mwaka ambao wasanii wengi wamewekeza zaidi kwenye muziki wao.
Temba ameiambia Bongo5 kuwa anauona mwaka huu kama wa mapinduzi kwenye muziki.
“Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwenye muziki wetu, video nyingi za wasanii wa ndani zimepata airtime kwenye TV kubwa za nje ambapo ni tofauti na miaka iliyopita,” amesema.
“Yaani wasanii wamejaribu ku-invest zaidi kwenye muziki wao. Ukiangalia kama sisi ‘Kaunyaka’ tumeifanyia Afrika Kusini, Chege bado yupo Afrika...
9 years ago
Bongo504 Sep
Enrico aeleza faida na hasara za kuwepo watayarishaji wengi wa muziki
9 years ago
Mtanzania06 Oct
Enrico: Hakuna Bongo Fleva siku hizi
NA HERIETH FAUSTINE
MTAYARISHAJI wa muziki kutoka studio ya Sound Crafters, Enrico Figueroa ‘Enrico’, amesema nyimbo zote
zinazotoka siku hizi hazina ubora, ndiyo maana haziwezi kudumu hata kwa miaka miwili.
“Mpaka sasa sijaona wimbo mkali, nyimbo zote ni sawa tu, zinakaa siku mbili, tatu au wiki nne zinapotea, hakuna
Bongo Fleva ya kukaa miaka miwili,” alisema Enrico, alipokuwa akihojiwa katika kipindi cha Planet Bongo
kinachorushwa na kituo cha runinga cha EATV.
Aliongeza kwamba ili wimbo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UCKR_h9Cez8/XunUMQedNbI/AAAAAAALuME/qrRRXHoh6QohptFhemO1PkL0WeMj5wdFQCLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot%2B2020-06-17%2Bat%2B11.24.16.png)
BONGO FLAVA COMING OF BONGO POLITICAL AGE
![](https://1.bp.blogspot.com/-UCKR_h9Cez8/XunUMQedNbI/AAAAAAALuME/qrRRXHoh6QohptFhemO1PkL0WeMj5wdFQCLcBGAsYHQ/s640/Screenshot%2B2020-06-17%2Bat%2B11.24.16.png)
When Joseph Mbilinyi alias Mr. Two, or Too Proud and now Sugu, was sworn in as Member of Parliament for Mbeya urban in 2010, he sent buzzing vibes to the Tanzania music industry. It was surreal to imagine that a Bongo Flava artist barred its reputation at the time, making it to its most potent legislative organ. Sugu, known for his strong lyrical messages, is regarded as an epitome of Bongo Fleva entrance into politics by being brave enough to challenge the status quo of...
9 years ago
Bongo503 Oct
Hakuna ngoma kali za Bongo fleva — Asema producer mkongwe Enrico