Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Enrico adai ubora wa muziki wa Bongo Flava umeshuka

Mtayarishaji wa muziki wa Sound Crafters, Enrico amesema nyimbo zote zinazotoka miaka ya hivi karibuni hazina ubora sababu ambayo anadai inasababisha zisidumu. “Mpaka sasa sijaona wimbo mkali, nyimbo zote ni sawa tu, zinakaa siku mbili, tatu au wiki nne zinapotea,” alisema. “Hakuna Bongo Flava ya kukaa miaka miwili,” Enrico aliambia E-Newz ya EATV Pia Enrico […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Bongo flava muziki wa Tanzania unavyokua

Aina mpya ya muziki unaojulikana nchini Tanzania kama BONGO FLAVA umejipatia umaarufu barani Afrika.

 

9 years ago

Bongo5

Inspector Haroun adai Bongo Flava inapoteza utambulisho wake

Msanii mkongwe, Inspector Haroun amesema muziki wa Bongo Flava unaenda ukipotea kutokana na wasanii kudokoa vionjo vya muziki wa nje. Hitmaker huyo wa Mtoto wa Geti Kali, alikiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio wiki iliyopita kuwa wasanii wanafanya vizuri kwa melody za kudokoa hivyo wanatakiwa kuchukua tahadhari. “Siku hizi vijana wanafanya vizuri, […]

 

9 years ago

Michuzi

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Flava Luteni Karama aja kivingine

Na Kaka Mwinyi


Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Flava, Luteni Karama (kushoto), amefanya ujio mpya wa kimuziki baada ya kuachia ngoma moja kali iitwayo ‘The Way I Feel’ akimshirikisha msanii toka Ufaransa, Jerry Julian (chini) na tayari imeanza kufanya vema kwenye mitandao na vituo vya redio na runinga.


Karama amepasha kuwa, baada ya kimya kirefu, ameamua kurejea kwenye game kwa mtindo tofauti ambapo muelekeo wake unathibitika katika kazi yake mpya ya The Way I Feel ambayo tayari...

 

9 years ago

Bongo5

Temba adai mwaka 2015 umekuwa wa mafanikio kwa muziki wa Bongo

10919100_282718041852156_79790684_n

Mheshimiwa Temba amesema mwaka 2015 ni mwaka ambao wasanii wengi wamewekeza zaidi kwenye muziki wao.

10919100_282718041852156_79790684_n

Temba ameiambia Bongo5 kuwa anauona mwaka huu kama wa mapinduzi kwenye muziki.

“Mwaka huu umekuwa mzuri sana kwenye muziki wetu, video nyingi za wasanii wa ndani zimepata airtime kwenye TV kubwa za nje ambapo ni tofauti na miaka iliyopita,” amesema.

“Yaani wasanii wamejaribu ku-invest zaidi kwenye muziki wao. Ukiangalia kama sisi ‘Kaunyaka’ tumeifanyia Afrika Kusini, Chege bado yupo Afrika...

 

9 years ago

Bongo5

Enrico aeleza faida na hasara za kuwepo watayarishaji wengi wa muziki

Mtayarishaji mkongwe wa muziki hapa nchini, Enrico Figueiro wa studio za Sound Crafters, amezitaja faida na hasara zilizojitokeza kutokana na kuongezeka kwa watayarishaji wa muziki. Enrico amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio kuwa wasanii wamenufaika zaidi lakini muziki umeshuka kiwango. “Watayarishaji wa muziki wa sasa wengi ni vijana na hali ya computerized […]

 

9 years ago

Mtanzania

Enrico: Hakuna Bongo Fleva siku hizi

NA HERIETH FAUSTINE

MTAYARISHAJI wa muziki kutoka studio ya Sound Crafters, Enrico Figueroa ‘Enrico’, amesema nyimbo zote
zinazotoka siku hizi hazina ubora, ndiyo maana haziwezi kudumu hata kwa miaka miwili.

“Mpaka sasa sijaona wimbo mkali, nyimbo zote ni sawa tu, zinakaa siku mbili, tatu au wiki nne zinapotea, hakuna
Bongo Fleva ya kukaa miaka miwili,” alisema Enrico, alipokuwa akihojiwa katika kipindi cha Planet Bongo
kinachorushwa na kituo cha runinga cha EATV.

Aliongeza kwamba ili wimbo...

 

5 years ago

Michuzi

BONGO FLAVA COMING OF BONGO POLITICAL AGE

By Godwin Semunyu.
When Joseph Mbilinyi alias Mr. Two, or Too Proud and now Sugu, was sworn in as Member of Parliament for Mbeya urban in 2010, he sent buzzing vibes to the Tanzania music industry. It was surreal to imagine that a Bongo Flava artist barred its reputation at the time, making it to its most potent legislative organ. Sugu, known for his strong lyrical messages, is regarded as an epitome of Bongo Fleva entrance into politics by being brave enough to challenge the status quo of...

 

9 years ago

Bongo5

Hakuna ngoma kali za Bongo fleva — Asema producer mkongwe Enrico

Ukiwataja watayarishaji wakongwe wa muziki wa Bongo ambao mpaka sasa bado wapo na wanaendelea na kazi hiyo, huwezi kumuacha Enrico Figueiro wa studio ya Sound Crafters. Enrico ambaye kwasasa hasikiki kutokana na kutofanya sana Bongo Fleva ambayo ndio inapewa nafasi zaidi ya kutangazwa, amesema kuwa nyimbo zote zinazotoka siku hizi hazina ubora ndio maana hazidumu […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani